Monday, January 31, 2022

MTIHANI WA MWISHO WA MWEZI

SOMO:  MAARIFA YA JAMII. 
DARASA LA VII


1.       Mnyama wa kwanza kufugwa na binadamu alikuwa ………a) . ng’ombe b). mbwa c). mbuzi

2.       Inasadikika kua binadamu wa   kwanza aliishi  ……….a). afrika b).ulaya   c). Amerika

3.       Watu wa afrika mashariki walijifunza teknolojia ya chuma kutoka…………a).Moroko  b). meroe  c).Libya

4.       Idadi ya watu katika nchi hupatikana kwa ………a).kufanya sensa  b). kupiga kura c).kuandikisha

5.       Dunia hujizungusha kwenye muhimili wake kwa muda wa ……….a).saa 24  b).siku 365   c).saa 12

6.       Shughuli kubwa wanayoifanya watu wa kando kando ya mito ,maziwa na bahari ni ……… a).kilimo   b). ufugaji      c). uvuvi 

7.       Ujiuji uliopo katika volcano hai kabla ya mlipuko kutokea huitwa….  a) .magma     b). ujiuji   c).Lava

8.       Jua  ni chanzo  kikubwa  cha…. a) .dunia b).mwanga na joto   c).maji  na mwanga

9.       Volcano  inayo  endelea  kulipuka huitwa ….. a).volkano  tuli  b).volkano  hai  c).volkano  mfu

10.    Mzigo wa  antaktika  upo  nyuzi 661/2 upande wa…………  a).kaskazini  mwa  ikweta .  b).kusini  mwa   ikweta  c).magharibi mwa ikweta

11.    Ikiwa  mstari  wa latitudo wenye  nyuzi  0 unaitwa  ikweta.je mstari  wa  longitudo  wenye nyuzi  0 unaitwaj? a).Greenwich  b).tropiki  c).antic

12.    Ni  kisiwa gani  kati  ya  vifuatavyo kinapatikana  ndani  ya bahari  ya  hindi?..............  a).havana  b).mafia  c).ukerewe

13.    Wajerumani  walianza  kuitawala  Tanganyika mwaka  ………….a).1890   b).1894   c).1895  d).1885

14.    Masalia  ya  zana za  binadamu  yakale  yana patikana  wapi? a).bagamoyo  b).ismila  iringa  c).kondoa  Dodoma

15.    Mlima  mrefu  kuliko  yote  balani  afrika ni ……………………a).kilimnjaro  b).atlas  c).everest

16.    Eneo  linalo chibwa  madini  huitwaje ……………… a).machimbo  b).mgodi  c). shimo 

17.    Mstari  wa  ikweta  unanyuzi  ngapi  …….. a.)360  b).00  c).1800

18.    Mklutano  wa  berlin  ulianza  mwaka  …………….  Na kumalizika mwaka …   a).1884-1895 b).1885-1896  c)1884-1885

19.    Vita  vya maumau  vilifanyika wapi?.......... a).Kenya  b).Uganda c).kongo

20.    Afrika mashariki ipo  bara  gani? …………….. a).afrika   b).ulaya  c).asia 

21.    Mfumo  wa jua  umeundwakwa  sayari  ngapi ?.......   a).8   . b).7       c).9

22.    Madini  maarufu  yanayo  chimbwa katika  eneo la  uvinza  hapa  Tanzania ………….a).chuma  b).chumvi  c).tanzanite

23.    Tanganyika  na  Zanzibar  ziliungana  mwaka  …….  a).1961   b).1963   c).1964

24.    Sultani  wa  kiarabu said  sayyid alihamia  zanzibari  mwaka …………… a).1884  b).1964  c).1840

25.    Sayari  inayo  fanya  mizunguko ya  aina  mbili  ni ………………  a).sumbula  b).dunia  c).utaridi

26.    Pareto  ni zao ambalo hutumika  kutengenezea nini …………………. a).chakula  cha mifugo  c).dawa  za mifugo

27.    Kifaa  kinacho  pima  unyevuunyevu kinaitwa  a).haigrometa   b).barometa  c).anemometa 

28.    Moto  uligunduliwa  katika  kipindi kipi  cha  zama za mawe ?...............  a).kati  b).mwanzo  c). mwisho

29.    Rangi nyeusi  katika  bendera  yetu  huwakilisha  huwakilisha …………………..  a).mimea  b). watu  c).madini

30.    ……………  ni  lugha  rasmi  ya taifa  inayo  waunganisha wa Tanzania …………a).kisukuma  d).kinyakyusa  c) .Kiswahili

31.    Zao  kuu  la  biashara  katka  visiwa  vya  unguja  na pemba  ni ………………… a).mpunga  c).karafuu  c).pamba 

32.    Zaidi  ya asilimia  80 ya wa Tanzania  ni  …………… a).wavivu  b).wafugaji   c).wakulima

33.    Shirika  la umoja  wa  mataifa linalo  shughulikia  elimu, sayansi  na  teknolojia ni ….. a).UNICEF   b). UNIDO   c).UNESCO

34.    Bonde  la olduvai  linapatikana  katika  mkoa wa …………………. Hapa  Tanzania  a).kagera   b).iringa   c). arusha

35.    Ukabaila  katika  mwambao   wa  pwani   uliitwa …………….  a).nyarubanja  b).omukama  c).umwinyi

36.    Wanadamu   walianza  kujihusisha  na biashara  katika  zama  za …….a).mwisho  za mawe  b).chuma  c).mwanzo  za mawe

37.    Waarabu  walifika  pwani  ya  afrika  mnamo  karne  ya ……………………  a).6   b.)8  c).10

38.    Soko  kuu la watumwa  afrika  mashariki  lilikuwa   a).Zanzibar   b).bagamoyo  c).kilwa

39.    Wajerumani  walianza  kuitawala  Tanganyika  baada  ya  ………………  a).vita  kuu  ya kwanza  b).mkutano  wa berlin   c).vita  vya pili 

40.    Azimio  la Aarusha  lilitangazwa  mwaka………………….  a).1972  b).1977  c).1990

SEHEMU B: jaza  nafasi  zilizo achwa  wazi  

41.    Madini  ya  tanzanite  hupatikana katika nchi  ya  ………

42.    Zao  la majini  ambalo ni  mahususi  kwa   chakula  ni……

43.    ………….tukio  linalo  sababisha  maafa  balaa  au  madhara  makubwa

44.    Reli  ya  TAZARA  huunganisha  usafiri  wa treni kati  ya Tanzaia  na …………………..

45.    Dk. leakey aligundua  fuvu  la  mtu  wa kale  mwaka ……


 

MTIHANI WA MWISHO WA MWEZI DARASA LA IV

SOMO:MAARIFA YA JAMII

Chagua herufi ya jibu sahihi

1.     Inasadikika binadamu wa kwanz aliishi……   .a ) afrika   b).Australia   c). ulaya    d). amerika

2.     Nchini Tannzania sehemu zenye michoro ya mapango ni singida na ………………a).lindi        b).kondoa iringa   c).kigoma     d). kagera

3.     Zama za mawe zimegawanyika katika vipindi vikuu……………..a).vitano b) .vitatu c). vine d). kimoja

4.     Binadamu aliwinda wanyama na kuwatumia kwa ………….a). kulima b). chakula c). kufuga d). kuogelea

5.     Viongozi wa familia ni……………a).kaka na dada   b).dada na mama   c). baba na mama

6.     Wimbo wa taifa unapoimbwa tunatakiwa ……   ….  a). kusimama na kutulia  b).kukimbia   c). kucheza  

7.     Fedha zetu ni ……………. A). sarafu b) .noti tu  c).sarafu na noti

8.     Jua huchomoza upande wa   a).kusini   b).mashariki c).kaskazini    d).magharibi

9.     Dira ni …………..a).ramani    b).skeli      c).ufunguo     d).pande kuu za dunia

10.                        Sifa ya kiongozi ni ………………a. mwenye kulewa pombe b).mwenye tabia nzuri   c).mtu mporaji

 

SEHEMU  B ;  Jaza nafasi zilizo  achwa  wazi  

11.                        Kuna aina ngapi za demokrasia ………………………

12.                        Taja haki moja wapo ya mtoto …………………………

13.                        Kuna kiongozi wa kuchaguliwa na …………………

14.                        Bendera ya Rais hupepea wapi…………………………

15.                        Katika zama za mawe za kati binadamu aligundua …

 

SEHEMU  :   C      Andika ndio au hapana 

16.                        Umbile la binadamu wa kwanza halikufanana na lile la sokwe …………………………

17.                        Katika zama za chuma binadamu aliweza kuwinda wanyama wakubwa ……………………………..

18.                        Kazi ya kamati ya shule ni kuleta fedha shuleni ……………………………………..

19.                        Ardhi, madini,misitu, wanyama poli ,mito na maziwa ni maliasili ……………………………………

20.                        Fedha ni moja ya hela za taifa…………………………

SEHEMU     D.     Oanisha maneno ya orodha A na B ili kupata sentesi yenye maana

           ORODHA      A

21.                        Mimea iliyopo juu ya ardhi katika eneo Fulani ni

22.                        Makundi matatu ya uoto

23.                        Karafuu

24.                        Hupimwa kwa kutumia kipima mvua

25.                        Satilaiti moja wapo iliyopo angani ni

              ORODHA      B

A.    Mwezi

B.     Mvua

C.     Misitu ,nyasi na vichka

D.    Unguja na pemba

E.     Utoto wa asili

F.     Miomboni,mikoko na savanna

 

HALMASHAURI  YA   MJI  TUNDUMA

SHULE   YA MSINGI  UHURU

MTIHANI WA  SAYANSI

 

Sehemu   A:chagua  herufi  ya  jibu  sahihi

1.     Kipi  ni chakula   cha wanga  kati   ya   hivi  a.   Ugali       b.  Mtindi    c. Mayai

2.     Chanzo  cha  vitamin  ni pamoja na          a.    Chapatti      b. Embe      c.   Nyama

3.     Ukosefu  wa protini  husababisha …………. Kwa watoto  a.  Upele      b.  Unyafuzi      c.  Uvimbe

4.     Seli  hai  za damu  zinazo shambulia  viini  vya  magonjwa ni …………


a.      Seli  hai  nyeupe    b. Seli  hai sahani    c. Seli  hai za damu

5.     Ngozi haiwezi kubaini kati ya hivi …………………..a).harufu     b) .baridi    c). joto

6.     Msaada wa awali na wa haraka kwa mtu aliye jeruhiwa huitwa nini ?…….a).matibabu  b).dawa c).huduma ya kwanza

7.     Tunatunza mazingira ili……………..a).tuepuke na magonjwa   b). kuepuka upepo c). tupate ajira

8.     Ili mbegu iweze kuota inahitaji hewa joto la wastani na nini?..............a).udongo b). maji   c). mwanga

9.     …………….. ni jumla ya vitu vyote vinavyo mzunguka mwanadamu ………… a). mazingira b). misitu c). vichaka

10. ……………ni nishati inayo tokana na vyanzo mbalimbalivikiwemo jua,upepo, maji nafuel   a).umeme   b).mawimbi         c). sauti

11. ……………ni mchanganyiko wa gesimbalimbali   a). joto    b)  barid   c). gesi

12. Majanga ya asili ni yapi kati ya yafuatayo a). kimbunga, radi, mafuriko   b). upepo mkali,radi,umeme   c). umeme, ajali na moto

13. Zifuatazo ni sifa za viumbe hai isipokua …………..a).  kupumua    b). kutoa taka mwili   c). kulala

14. Mimea imegawanyika katika sehemu kuu tatu ambazo ni ……………a ) shina, majani na mizizi   b) matunda, shina na majani     c). mbegu,majani na matunda

15. Sauti inayo akisiwa huitwa ………….a).radi   b) .mwagwi   c). baridi


SEHEMU B.    Oanisha sehemu Ana B ili kupata maana

      Sehemu      A

16. Ogani za fahamu

17. Unyafuzi

18. Msitari mnyoofu

19. Sabuni ya maji

20. Kichocho 

Sehemu      B

a.      Mwanga husufiri

b.      Vifaa vya usafi

c.       Kukojoa damu mwishoni mwa mkojo

d.      Ni vifaa vya usafi

e.      Ugonjwa unao sababishwa na ukosrfu wa protini

 


SEHEMU C:  Andika ndio au hapana 

21. Kifua kikuu na surua ni maganjwa yanayo enezwa kwa njia ya hewa……………………

22. Hewa y oksijeni husaidia kuzima moto ……………………………………

23. Mmea una sehemu kuu nne …………………………………

24. Maji si muhimu kwa afya zetu ……………………………………

25. Usanisinuru ni kitendo cha mmea kujitengenezea chakula chake ………………………………



                                                                                                                         

MTIHANI WA MWEZI  2

SOMO: HISABATI

DARASA: IV

 

1.     Andika 999 kwa maneno

2.     Anika tisini  na tisa elfu miamoja tisini na tisa kwa numeral

3.     Andika XLIX kwa namba za kiarabu

4.     Andika 39 kwa namba za kirumi

5.     Andika kwa maneno XXXVIII

6.     Andika thamani  ya 7 katika namba ifuatayo 23679

7.     XX + IX = jibu kwa  kirumi

8.     Ipi ni kubwa kati ya  XXI  au XIX ?

9.     18 + 23= jibu liwe kwa namba za kirumi

10.                        Andika kwa kifupi  20000 +9000 +500 +60 +7=

11.                        Andika namba inayofuata 11,22,33,44,…………………………………

12.                        5476 + 3465=

13.                        4798 – 2455=

14.                        44346 – 37016

15.                        11 x 2=

16.                        40 x 4 =

17.                        1/9   + 3/9 =

             

 

 

 

 

 

 

18.                        8/12  - 3/12 =

19.                        Ni sehemu gani iliyotiwa kivuli

 

20.                        Mapera 14, ukigawia watoto 7 kila mtoto atapata mangapi?

21.                        70 ÷ 7 =

22.                        Andika kwa namba saa moja na nusu

23.                        Andika saa  7: 20 kwa maneno

24.                        Saa               dakika
   4                    30
+ 5                    28
_____________

 

25.                           Saa                   dakika
        6                       25
   -   5                        15
_________________

 

 

 

 

HALMASHAURI YA WILAYA YA  MOMBA

MTIHANI WA  MWEZI  FEBRUARY 2021

SOMO: HISABATI DRS- VII


1.      1 1/3  ÷12 ½ =

2.      9 ¾  X 1 11/13 =

3.      21 5/8  + 34 4/5 =

4.      27 4/5 – 18 5/7 =

5.      16.9 +  27. 87 =

6.      23.21 – 19. 768 =

7.      2.76 X 3.8 =

8.      5.4 ÷ 0.018=

9.      987 + 3659 =

10.  14596 – 8789 =

11.  324 X 78 =

12.  (-49)  + ( +56)=

13.  2817 ÷ 36=

14.  (-27) – ( -39)=

15.  (-49) X ( -27)=

16.  (-105)  ÷ ( +7)=

17.  Badili 3 17/20 kuwa asilimia

18.  Geuz 1 8/25 kuwa desimali

19.  Badili 2.45 kuwa sehemu

20.  Geuza 0.0759 kuwa asilimia

21.  Andika 11 ¼% kuwa desimali

22.  Badili 7 ½ % kuwa sehemu

23.  Tafuta kigawo kikubwa cha shirika KKS  ya 72,108 na 162

24.  Tafuta kigawe kidogo cha shirika ( KDS) cha 27, 36 na 45

25.  Andika  MCMXLIV katika namba za kawaida

26.  Badili tani 31/4 kuwa kilogramu

27.  Je  meta 9250 ni sawa na kilometa ngapi

28.  Kunasekunde ngapi katika dakika 5

29.  Orodhesha namba tasa zote  zilizopo kati ya 120 na 130

30.  Andika namba inayofuata katika mfuatano huu 3,7,15,31…………

31.  Tafuta wastani wa uzito wa vijana wafuatao kg21,27,18,26,27,22,29,22.

32.  Tafuta thamani ya “x”       x  +  x  - 8 =6
                                              3      4

33.  Ikiwa 1/3 :8 ni sawa  N: 48. Tafuta thamani ya  “N”

34.  Ikiwa  a =8,b = -6,c= 4. Tafuta thamani ya     ab2 + bc
                                                                                   a-c

35.  Rahisisha  45mnx – 27mn
                           9mn

36.  Tafuta  ukubwa wa n     230

 

 


                             n      

37.  Tafuta thamani ya m

 

100

2m
  5

           

2m
  5

2m
  5

 

 

 

 


38.  Tafuta kipeuo cha pili cha 729

39.  Tafuta thamani ya “k”                      k

                                     Sm12
                                                    sm16

 

40.  Ikiwa bei ya kitenge ni Tsh. 5000/=, mteja  akipewa punguzo  la asilimia 30% je atalipa kiasi gani?

41.  Hamisi aliweka benki Tsh 60000/= kwa benki inayotoa faida 22 ½ % je baada ya  muda wa miaka 2 atakuwa na kiasi gani  benki.

42.  Marry alikwenda  sokoni kununua  mahitaji yafuatayo mchele  kg  8  @600/=  sukari kg 4 @900/= nyanya kg21/2   @ 800/=  mafuta lita6 @720=/  miche 8 @600/=  ikiwa  alitumia nauli Tsh 1500/=  je  jumla  alitumia  kiasi gani?

43.  Bei ya kg 18  za mchele ni  sh 32400  tafuta  bei ya kg 29  za mchele wa aina hiyo.


MITIHANI YA SHULE ZA MSINGI

 

MTIHANI WA DARASA LA II

SOMO: KUHESABU

 


Andika namba hizi kwa Tarakimu

1. Mia tano………………………

2. Mia nne tisini……………………

3. Mia tatu………………………….

4. Mia mbili na ishirini………………

5. Elfu moja……………………………..

6.    3  2  5
+ 1  4  3
  _____
       

7.    7  1  6
+ 2   3  1
______

8.   5  6 1
+ 4 2 3
_____

9.    1 2 8
+ 2 8 3
______

10.    3 3 6
+  4 8 6
_____

11.     635  - 213 =

12.    287  + 113 =

13.    6  2 4
_   3  2  1
______

14.    9 7 5
_   2  3 0
______

15.    5 7 6
-   2 6 8
______

Andika sehemu iliyotiwa kivuli

16.   
                                                                             
                                        

17.                                                                  
                                                    
                                            

18.                                               
                 

19.                                 

20.         Namba   mamia   makumi    mamoja
      263      …………       ………..          …………


SHULE YA AWALI NA MASOMO YA ZIADA

 

SHULE YA AWALI NA MASOMO YA ZIADA YA BRIGHT

MTIHANI  WA HISABATI WA MAJARIBIO

IJUMAA 12/11/2021

MUDA: SAA 1

 

JIBU MASWALI YOTE.

 

ANDIKA NAMBA ZIFUATAZO KWA TARAKIMU

1. Themanini na nne…………………………

2. Tisini na tisa……………………………….

3. Thelathini na tano………………………..

ANDIKA NAMBA ZIFUATAZO KWA MANENO

4. 27=…………………………………………………….

5. 3/4 =…………………………………………………..

6. 33=…………………………………………………..

ANDIKA NAMBA ZINAZOKOSEKANA

7. 3,  4,  5,      ,    7,            ,    9 
 

8. 12,   14,  16,          20,      , 24,       , 30     

9.   31  +  4 =   

10.   48  -  18=

11.   87  - 49 =

12.    7 9
+
1 2
   ___

13.    6 8
- 
2 9
   ___

14.   6 4
+1 6
____

15.   9 8
- 1 9 
____ 

16.   342   +  436  =

17.    3 5 6
+ 2 7 5
_____ 

18.   247  -  123 =

19.  7 2 8
-4 0 9
____ 

20. 2  X   8=

21. 3   X   4 =

Umbo hili linaitwaje?             

Sunday, January 30, 2022

SOLUTION TO RESOLVE GREAT DEPRESSION IN COLONOES

 1.Introduction of labour instate 

2.Land conservation programmed 

3.Emphasis peasant economy 

4.Imrove of infrastructure 

5.Launching progressive farmers 

6.To ontroduce focal point approach peasant we're given assistance by the colonial 




EFFECT OF GREAT DEPRESSION IN AFRICA

 1.Drastically fall of price of cash crops 

2.Reduction in provi 

7.Increase of low wages to workers 

8.Intensive nature of seggregation and exploitationsion of social services 

3.Massive unemployment 

4.Higher level of emphasis of cash crops 

5.Intensively land annotation and propertie

CAUSES OF GREAT DEPRESSION

 1.Protection 

2.The impacts of Russia revolution 

3.Post war economic recoveries in Europe 

4.Over production 

5.Collapse of New York stock exchange 

6.Nature of the economy with business cycle 

7.Bank failures 

8.Uneven distribution of income

EFFECTS OF FIRST WORLD WAR ON AFRICA

 1.Spread and occurrence of diseases 

2.Intensifications of exploitation to the African 

3.Hunger and starvation 

4.The rise of great depression 

5.Emergence of league of nation 

6.Decline of agricultural production 

7.Poor social services for Africa 

8.Death of African soldiers

CAUSES OF FIRST WORLD WAR

1. Development of capitalism to highest stage.2.Militarism in Europe.3.Formation of antegonestic alliance in Europe.4.Economic competition among imperialist power.5.Assassination in Sarajevo Archiduke

CRISES IN THE CAPITALIST SYSTEM

 THE RISE OF FIRST WORLD WAR 1914-1918.The first world war was an imperialist war which had it's roots in European imperialist activities in Europe,Asia and Africa.The war broke out due to an agonistic classes two imperialist camp as control power-.Germy,Italy,Austral-Hungary and Turkey and allied power- Britain,France,Russia, and USA.The first world war broke out from 1914-1918 accelerate d with the association of Archduke Ferdinand and his wife by when they visit Ed Bosnia the capital of Sarajevo

Saturday, January 29, 2022

MAOMBI YA KUJIKOMBOA

 MAOMBI ya KUJIKOMBOA                              Kila mshale was mauti,magonja nauteketeza 

Kwa jina la Yesu.kila ukuta was laana juu yangu nauangusha Kwa jina la Yes.kila roho ya mauti na magonjwa pigwa Kwa jina la Yes.kila shimo la mauti na magonjwa teketea Kwa jina la Yes.kila mateso maishani mwangu toweka ka jina la Yes.kila nguvu ya kifo pigwa Kwa damu ya Yesu.nakataa Kila ugonjwa na shida kwenye maisha yangu Kwa jina la Yes.nafsi yangu pokea uponyaji Kwa damu ya Yes.kila mbegu ya mauti toweka Kwa jina la Yesu.kila wakala was mauti pigwa Kwa jina la Yes.kila funza was mauti na magonjwa nakuchoma Moto Kwa jina la Yesu

Kila matatizo kwenye maisha yangu toweka Kwa jina la Yesu