Thursday, May 15, 2025

ROHO YA MPINGA KRISTO

 

ROHO YA MPINGA KRISTO

Maana yake ni kwenda kinyume na Kristo au kugeuza ukweli wa Yesu Kristo kuwa uongo.1Yohana 2:18,1Yohana 2:22,1Yohana 4:1-3,2Yohana 1:7,2Wathesalonike 2:4,Mathayo 10:16

Dalili za roho ya mpinga Kristo zinazonyemelea mtu/watu

        i.            Kulizoea Neno la Mungu

      ii.            Kutokumuamini Yesu

    iii.            Kumkana Yesu Kristo

   iv.            Kuchukia mambo ya Mungu mfano maombi

     v.            Kuanza kuamini vitu ambavyo sio vitu vya Kimungu

   vi.            Kufanya uovu bila kuumia moyoni

 vii.            Kutokusamehe na kuachilia 1Yohana 4:20-21

viii.            Kutokuzifuata sheria na kanuni za Yesu Kristo

MTUMAINI BWANA

Tumaini maana yake kumtegemea Mungu Baba Mithali 3:5-10

·        Kwa moyo wako wote

·        Usizitegemee akili zako mwenyewe

·        Katika njia zako mkiri (mtaje Yesu/Mungu)

·        Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe

·        Utajiepusha na uovu

·        Mheshimu BWANA kwa mali zako

KUIPINGA ROHO YA UMASIKINI

Umasikini ni hali ya kupungukiwa .Kuna umasikini wa mtu binafsi na kuna umasikini wan chi,kata,tarafa,mtaa n.k Torati 15:4----,Torati 15:7,Mwanzo 13:2,Mithali 19:17,Yakobo 1:27

NIMEWEKA MLINZI

Ezekieli 3:17,Danieli 4:13,Zaburi 121:4-5,Zaburi 141:3

KUFUTA MASHIMO YA KIROHO

Zaburi 119:85,Yeremia 2:6,Waebrania 11:36

UNAJULIKANA MBINGUNI

Kujulikana ni hali ya kufahamika

·        Kufahamika na Mungu

·        Kufahamika na wanadamu

·        Kufahamika na mashetani

Yeremia 1:4-10

Faida za kujulikana na Mungu

·        Utapata msaada/watakusaidia

·        Utazawadiwa

·        Utapata kibali

·        Utapata neema

NABII WA MATAIFA

Nabii ni sauti ya Mungu duniani anayepewa ujumbe na Mungu kupeleka kwa wanadamu Yeremia 1:4-10,Hesabu 12:6,Torati 34:10,Waamuzi 4:4

No comments:

Post a Comment