ROHO YA MPINGA KRISTO
Maana yake
ni kwenda kinyume na Kristo au kugeuza ukweli wa Yesu Kristo kuwa uongo.1Yohana
2:18,1Yohana 2:22,1Yohana 4:1-3,2Yohana 1:7,2Wathesalonike 2:4,Mathayo 10:16
Dalili za roho ya mpinga Kristo
zinazonyemelea mtu/watu
i.
Kulizoea
Neno la Mungu
ii.
Kutokumuamini
Yesu
iii.
Kumkana
Yesu Kristo
iv.
Kuchukia
mambo ya Mungu mfano maombi
v.
Kuanza
kuamini vitu ambavyo sio vitu vya Kimungu
vi.
Kufanya
uovu bila kuumia moyoni
vii.
Kutokusamehe
na kuachilia 1Yohana 4:20-21
viii.
Kutokuzifuata
sheria na kanuni za Yesu Kristo
MTUMAINI BWANA
Tumaini
maana yake kumtegemea Mungu Baba Mithali 3:5-10
·
Kwa
moyo wako wote
·
Usizitegemee
akili zako mwenyewe
·
Katika
njia zako mkiri (mtaje Yesu/Mungu)
·
Usiwe
mwenye hekima machoni pako mwenyewe
·
Utajiepusha
na uovu
·
Mheshimu
BWANA kwa mali zako
KUIPINGA ROHO YA UMASIKINI
Umasikini ni
hali ya kupungukiwa .Kuna umasikini wa mtu binafsi na kuna umasikini wan
chi,kata,tarafa,mtaa n.k Torati 15:4----,Torati 15:7,Mwanzo 13:2,Mithali
19:17,Yakobo 1:27
NIMEWEKA MLINZI
Ezekieli
3:17,Danieli 4:13,Zaburi 121:4-5,Zaburi 141:3
KUFUTA MASHIMO YA KIROHO
Zaburi
119:85,Yeremia 2:6,Waebrania 11:36
UNAJULIKANA MBINGUNI
Kujulikana ni hali ya kufahamika
·
Kufahamika
na Mungu
·
Kufahamika
na wanadamu
·
Kufahamika
na mashetani
Yeremia
1:4-10
Faida za kujulikana na Mungu
·
Utapata
msaada/watakusaidia
·
Utazawadiwa
·
Utapata
kibali
·
Utapata
neema
NABII WA MATAIFA
Nabii ni
sauti ya Mungu duniani anayepewa ujumbe na Mungu kupeleka kwa wanadamu Yeremia
1:4-10,Hesabu 12:6,Torati 34:10,Waamuzi 4:4
No comments:
Post a Comment