KUKATAA SIKU ZA KUCHOKESHA
Kuchokesha
linatokana na neon kuchoka.Kuchoka maana yake ni kukata tama kwenye ndoa,kwenye
kazi,kwenye biashara,kwenye huduma,kwenye maisha,kwenye mashamba n.k Ayubu
7:3-4,Ayubu 3:1-----Ayubu 42:1-----,Ayubu 42:16
KUHARIBU MAFURIKO YA MAUTI
Mauti:Ni
roho inayoharibu jambo Fulani,roho hii inaweza kutembea,kukaa,kuishi sehemu
mbalimbali. 2Samweli 22:5-8,Zaburi 9:13,Zaburi 78:50,Zaburi 23:4,2Wafalme 4:40
WALIOMPOKEA ALIWAPA UWEZO
Yohana
1:11-14,1Yohana 5:6-12
Washuhudiao Mbinguni
·
Mungu
·
Neon
(Yesu)
·
Roho
Mtakatifu
Washuhudiao duniani
·
Roho
–mtu
·
Maji
–ubatizo
·
Damu
–ukombozi/utakaso
KUMILIKI MILANGO YA BARAKA ALIYOKUWA
AMEISHIKILIA ADUI
Mlango:Ni
kifaa kinachotumika kwa ajili ya kuingia na kutoka.Utabarikiwa uingiapo na
utokapo Torati 28:6,Isaya 60:11,Mwanzo 22:17,Ufunuo 3:8 kumtoa aliyekuwa kwenye
mlango wa Baraka.Nyumba ni kama ulimwengu,kiti ni kama Baraka yako.
PASAKA (PASSOVER)
Pita juu
ya.Ni sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu.Kutoka 12:27,Mathayo 26:17,Luka 22:1,
1Wakorintho 5:7
UFALME WAKO UJE
Mathayo
6:9-13,Kutoka 19:5-6,Zaburi 103:19,Mhubiri 4:14,Matendo 8:12,Matendo
28:31,Mathayo 7:21,Luka 4:43
UWE NA MOYO WA USHUJAA
YOSHUA 1:5-9
YESU APELEKWA MBELE YA PILATO
Mathayo
27:1-2,Mathayo 27:11-18
BWANA MUNGU AKUONGOZE NJIA
Mwanzo 24:24
MAUTI ILIYOPANDWA
Ufunuo 6:8
BWANA NI MTU WA VITA
Kutoka
15:3-8,Kutoka 15:1-2,Yoshua 17:1
KUOMBA KWAKO KUMESIKIWA
Matendo
10:31
KUVUNJA ROHO YA KIUME KWA MWANAMKE NA
ROHO YA KIKE KWA MWANAUME
Walawi 17:7
UNAPOINGIA KWENYE MAOMBI SAMEHE
Mathayo
6:14-15,Isaya 59:1-4
WALIOKUTENGENEZEA ULIE
Zaburi
69:1-3,Zaburi 69:6,Isaya 65:19,1Samweli 30:4,Waamuzi 21:2
TWENDE NG’AMBO
Marko
4:35-41,Marko 5:1----,Yoshua 9:1
KAZA MWANDO
Wafilipi
3:12-14
No comments:
Post a Comment