Thursday, May 15, 2025

KUKATAA SIKU ZA KUCHOKESHA

 

KUKATAA SIKU ZA KUCHOKESHA

Kuchokesha linatokana na neon kuchoka.Kuchoka maana yake ni kukata tama kwenye ndoa,kwenye kazi,kwenye biashara,kwenye huduma,kwenye maisha,kwenye mashamba n.k Ayubu 7:3-4,Ayubu 3:1-----Ayubu 42:1-----,Ayubu 42:16

KUHARIBU MAFURIKO YA MAUTI

Mauti:Ni roho inayoharibu jambo Fulani,roho hii inaweza kutembea,kukaa,kuishi sehemu mbalimbali. 2Samweli 22:5-8,Zaburi 9:13,Zaburi 78:50,Zaburi 23:4,2Wafalme 4:40

WALIOMPOKEA ALIWAPA UWEZO

Yohana 1:11-14,1Yohana 5:6-12

Washuhudiao Mbinguni

·        Mungu

·        Neon (Yesu)

·        Roho Mtakatifu

Washuhudiao duniani

·        Roho –mtu

·        Maji –ubatizo

·        Damu –ukombozi/utakaso

KUMILIKI MILANGO YA BARAKA ALIYOKUWA AMEISHIKILIA ADUI

Mlango:Ni kifaa kinachotumika kwa ajili ya kuingia na kutoka.Utabarikiwa uingiapo na utokapo Torati 28:6,Isaya 60:11,Mwanzo 22:17,Ufunuo 3:8 kumtoa aliyekuwa kwenye mlango wa Baraka.Nyumba ni kama ulimwengu,kiti ni kama Baraka yako.

PASAKA (PASSOVER)

Pita juu ya.Ni sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu.Kutoka 12:27,Mathayo 26:17,Luka 22:1, 1Wakorintho 5:7

UFALME WAKO UJE

Mathayo 6:9-13,Kutoka 19:5-6,Zaburi 103:19,Mhubiri 4:14,Matendo 8:12,Matendo 28:31,Mathayo 7:21,Luka 4:43

UWE NA MOYO WA USHUJAA

YOSHUA 1:5-9

YESU APELEKWA MBELE YA PILATO

Mathayo 27:1-2,Mathayo 27:11-18

BWANA MUNGU AKUONGOZE NJIA

Mwanzo 24:24

 

MAUTI ILIYOPANDWA

Ufunuo 6:8

BWANA NI MTU WA VITA

Kutoka 15:3-8,Kutoka 15:1-2,Yoshua 17:1

KUOMBA KWAKO KUMESIKIWA

Matendo 10:31

KUVUNJA ROHO YA KIUME KWA MWANAMKE NA ROHO YA KIKE KWA MWANAUME

Walawi 17:7

UNAPOINGIA KWENYE MAOMBI SAMEHE

Mathayo 6:14-15,Isaya 59:1-4

WALIOKUTENGENEZEA ULIE

Zaburi 69:1-3,Zaburi 69:6,Isaya 65:19,1Samweli 30:4,Waamuzi 21:2

TWENDE NG’AMBO

Marko 4:35-41,Marko 5:1----,Yoshua 9:1

KAZA MWANDO

Wafilipi 3:12-14

No comments:

Post a Comment