Thursday, May 15, 2025

BIBLIA NI AGANO

 

BIBLIA NI AGANO

Maana ya Biblia:Ni agano kati ya Mungu na wanadamu

Muundo wa Biblia

·        Ina vitabu 66

·        Ina sura 1186

·        Ina mistari 31101

Mgawanyo wa Biblia

1.     Agano la kale lina vitabu 39,lina sura 929,lina mistari 23144,yaani kutoka kitabu cha Mwanzo hadi Malaki.Kiunganishi hapa alikuwa ni Musa

2.     Agano jipya lina vitabu 27,lina sura 260,lina mistari 7959,yaani kutoka kitabu cha Mthayo hadi Ufunuo na kiunganishi hapa ni Yeshu Kristo

Lengo la Agano

        i.            Ni kupata Baraka

      ii.            Ni kuwa mwaminifu

    iii.            Kutimiza ahadi yake

Kazi ya Mungu ni kuchagua wajibu wa mteule ni kutunza Agano

Mashariti ya Agano

        i.            Mlengwa

      ii.            Madhumuni/yaliyomo

    iii.            Muda

   iv.            Matokeo

Kwenye Agano kuna sheria

Kutoka 19:5-6,Kutoka 28:1-14(matokeo),Kutoka 20:1----,Waebrania 9:28,Mathayo 22:36-39,Yohana 1:11-14,Yohana 1:1-10

 

MCHORO WA UBAYA

 

Mchoro ni ramani inayowekwa kwa makusudi ya jambo Fulani.Michoro hiyo mibaya mara nyingi ni kuleta uharibifu.Wachawi wanatumia sna michoro kwa lengo la kuharibu maisha ya mtu/watu.Kitu chochote unachokiona mwilini kimeanzia kupangwa katika ulimwengu wa roho na likatokea ulimwengu wa mwili

Luka 6:45,mchoro huo uanzia moyoni,Mathayo 12:33,Warumi 12:21,1Samweli 17:28,Yohana 1:11,Zaburi 36:4,Ezekieli 33:19

 

ROHO YA UMASIKINI SI MALI YANGU

Umasikini:Ni uhitaji wa chakula,mavazi na malazi/ni hali ya kupungukiwa .Kuna umasikini wa mtu binafsi na umasikini wan chi.Torati 15:4-8,Mwanzo 13:2,Isaya 45:3,Mithali 19:17,Mithali 29:7,2Wakorintho 8:9,Wagalatia 2:10,Yakobo 1:27

Yesu alikuja kupindua mifumo na taratibu za dunia,unatakiwa uanze kujisemea bila kusema ni sawa na kutokuamini

No comments:

Post a Comment