Thursday, May 15, 2025

WIMBO MPYA

 

WIMBO MPYA

Tunapozungumzia wimbo kiroho ni neno la unabii

Aina za nyimbo kiroho

·        Wimbo wa Musa

·        Wimbo wa Mwanakondoo

·        Wimbo Mpya

1.     Wimbo wa Musa ni unabii wa Agano la kale

2.     Wimbo wa Mwanakondoo ni unabii wa Agano Jipya

3.     Wimbo Mpya ni injili ya milele (Neno lililofunuliwa)

Ufunuo 15:2-4,Ufunuo 14:6-7,Zaburi 119:54,172

MJUMBE WA MUNGU ALIYETUMWA KWAKO

Mjumbe ni mtu anayewakilisha watu wengine kwa shughuli Fulani Marko 1:1-3,Luka 3:4-6,Yeremia 49:14,Malaki 3:1-2,Waebrania 12:2 4 na Yesu mjumbe,Hagai 1:13

NIPE RUHUSA NIENDE

Ruhusa ni maombi au ombi linalofanywa na mtu kuhusiana na jambo Fulani mfano unaomba ruhusa kwenda sehemu Fulani na katika kuomba ruhusa kuna mambo mawili

         i.            Kukubaliwa

       ii.            Kukataliwa

Mwanzo 24:56

Mwanzo 30:25

Kutoka 4:18,Kutoka 7:14,Kutoka 8:1,Kutoka 14:3,Kutoka 14:13

BWANA AKUINULIE USO WAKE

Hesabu 6:22-27

         i.            BWANA akubarikie

       ii.            BWANA akulinde

     iii.            BWANA akuangazie nuru za uso wake

     iv.            BWANA akufadhili

       v.            BWANA akupe amani

KUFUKUA VISIMA VYA BARAKA

Mwanzo 26:25,Mwanzo 26:32,Mwanzo 21:22,Hesabu 21:17

KUFUTA AJALI ILIYOPANGWA JUU YAKO

Isaya 62:10-------

KUONDOA NIRA ZA KISHETANI

Nira ni kifaa ambacho huvikwa shingoni mwa mnyama.mfano ng’ombe,punda,farasi n.k kwa kusudi la kuvuta mzigo uliyo nyuma yake.Nira huwa na lijamu na hatamu ili kuweza kumuongoza mnyama njia ambayo mtu wake amekusudia kupita

Lijamu ni kifaa ambacho hufungwa mdomoni

Hatamu ni kamba ambazo zimefungwa kwenye lijamu ili kumwongoza mnyama kwa mwendo anaotaka Mathayo 11:27-30,Isaya 10:27

No comments:

Post a Comment