Thursday, May 15, 2025

FIMBO YA MUNGU

 

FIMBO YA MUNGU

Fimbo ni kifaa kinachotumika katika kutegemea mfano wapanda milima huwa wanatumia fimbo kama kitegemezi ambacho kinawarahisishia kupanda mlima vizuri.

Fimbo kiroho ni mtu aliye na neno la Mungu ambalo linaweza likamsaidia kwenye utegemezi.Kutoka 17:9---,Zaburi 2:8-9,Mithali 22:15,Mithali 23:13-14,Waebrania 1:7-8.Yesu Kristo ni fimbo tembelea

KUONDOA NGUVU YA KABURI YA KISHETANI

Hosea 13:14,Zaburi 49:15,Zaburi 6:5

KUWAANGAMIZA WATAABISHAJI WETU

Mtaabishaji linatokana na neno taabika.Mtaabishaji ni mtu anayeumiza,teas,haribu,anayekukosesha amani,raha n.k anataabisha kazi,ndoa,biashara,masomo na elimu,watoto,huduma n.k 1Wafalme 18:13-40.Omri alikuwa ni Jemedari wa jeshi alitawala Israeli,baada ya kufa akashikilia motto wake Ahabu ambaye alitawala miaka 22 wakati wa kipindi cha mfalme Asa.Baadaye alimuoa Yezebeli binti Ethbaali mfalme wa Sidoni.

Ahabu alifanya mabaya machoni pa Mungu alimjengea baali madhabahu na Ashera.1Wafalme 19:15-17,2Wafalme 10:18-28

Maombi

-kuwakusanya wataabishaji

-kuwapiga wataabishaji

KUONDOA ROHO ZA MAGONJWA

Kutoka 23:25,Kutoka 7:15,2Wafalme 1:2,Mathayo 4:23

UTAITWA MBARIKIWA

Mbarikiwa ni mtu aliye na Baraka/aliyepata Baraka (mafanikio) mfano fedha,ndoa,elimu,kazi,afya njema,mali,ustawi n.k Luka 1:42-48,Luka 1:49-50,Luka 1:26-41,Luka 3:3-6

SIRI YA MAOMBI

2Wafalme 20:3-9,Zaburi 54:2

KUMFUNGA MKUU WA KUZIMU

Ufunuo 20:1-10,Mathayo 16:19

KILA ULITENDALO LITAFANIKIWA

Zaburi 1:1-3,Isaya 55:11,Torati 6:3,Torati 6:18,Torati 12:28,Yoshua 1:7,1Wafalme 2:3,Ayubu 12:16,Zaburi 122:7

UTAPATA SHANGWE NA FURAHA

Isaya 51:11,Zaburi 126:5,Isaya 25:8

UPEPO WA UHARIBIFU

Upepo ni hali Fulani isiyoweza kuonekana wala kushikika.Yohana 3:8,Mhubiri 11:5,Marko 4:35-41

UZIMA NDANI YAKO

1Yohana 5:11-14,Mathayo 7:7----

YESU NI MWAMINIFU

1Wathesalonike 5:16----

NURU IMEWAANGAZA

Isaya 9:1-7

KUWA JUU YA FALME

Yeremia 1:4----

Maana yake Mungu amekuumba kwa makusudi,kuna kusudi juu yako ,atakupa na kazi ya kufanya.

NAIENDEA NCHI YENYE MAZIWA NA ASALI

Maana yake ni kumiliki mafanikio,Hesabu 13:25-33,Hesabu 14:1-9,Torati 1:21,Yoshua 1:3-9,Yoshua 2:24

UTUMISHI (MTUMISHI)

Utumishi ni uwezo wa kutumika kwa ajili yaw engine

Mtumishi ni mtu anayetumika kwa ajili yaw engine au kuwa mtumwa kwa wengine.Marko 10:42-45,Luka 22:24-27,Yohana 31:12-16,1Petro 5:2-6

Kanuni za utumishi (mtumishi)

·        Mnyenyekevu na mpole Mathayo 11:29

·        Mwenye heshima 1Petro 3:7

·        Mwenye Roho Mtakatifu Matendo 2:4

·        Anauwezo wa kufundisha na mvumilivu 2Timotheo 2:24-26

·        Mtii Waefeso 6:5

·        Mwaminifu na mwenye imani Luka 16:10,Waebrania 11:29

No comments:

Post a Comment