Thursday, May 1, 2025

MAJINA YALIYOANDIKWA KWENYE KITABU

 

MAJINA YALIYOANDIKWA KWENYE KITABU

Kuna  aina mbalimbali za vitabu

-vitabu vya kiroho

-vitabu vya kimwili

Na kila kitabu kinalenga kutoa maarifa kwa mtu,Mathayo 1:1---kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo.Wafilipi 4:3,kitabu cha uzima,Ufunuo 3:5-6,Ufunuo 13:8,Ufunuo 20:12

JE,ATAKUPA RUHUSA?

Ruhusa ni ombi linalofanywa na watu wawili au kikundi cha watu ili muende mahali Fulani.Katika kuomba ruhusa kuna mambo mawili,ukubaliwe au ukataliwe Kutoka 5:1----nyoka,damu,vyura,chawa,mainzi,tauni,majipu,mvua yam awe na moto,nzige,giza

 

KIPOFU TANGU KUZALIWA

Kipofu:Ni mtu asiyeweza kuona/ni mtu asiyejua siri za ufalme wa mbinguni.Yohana 9:1-41 Bethaida,Marko 10:46-52 Yeriko-Bartimayo,2Petro 1:9------

 

MAUTI ILIYOPANDWA KWENYE ARDHI

Ardhi-nchi-inamipaka halali ya umiliki Mwanzo 3:17-18

·        Ardhi inasikia,ardhi ina masikio Yeremia 22:29

·        Ardhi inakinywa,Ufunuo 12:15-17,Mwanzo 4:12

·        Ardhi ni store,kuna ardhi zimeandikiwa habari chafu,mbaya n.k 2Nyakati 7:14-18

 

HATA WAKUSEME,SONGA MBELE

1Samweli 17:23,Mwanzo 37:18---,Kutoka 2:13---,Kutoka 14:15----,Zaburi 124:1-----Mathayo 27:39

 

NGUVU YA UFUFUO

Nguvu ni uweza wa kutenda jambo Fulani isivyo kawaida

Ufunuo kukomboa/kuvunja,Luka 20:36,Isaya 26:19,Yohana 11:25----,Ezekieli 37:1-10

 

MALIKIA WA BAHARI

Ni pepo anayetawala dunia kwenye Nyanja zote,kwenye ndoa,uchumi.Anatawala mashariki,kaskazini,magharibi,kusini,Na kwenye anga kuna mkuu wa pepo,huyu pepo malkia wa bahari ni mungu mke kule Efeso walikuwa wanamwita atemi,Matendo 19:27,1Wafalme 11:33

Kazi anazozitenda

·        Anashikilia anasa zote

·        Anashikilia fedha za dunia

·        Ni pepo la uharbifu

·        Anatawala kwenye maji

·        Linazuia maombi Danieli 10:13

·        Hasira za kupitiliza

·        Kuwekea vitu moyoni

Ufunuo 17:1-18

 

KINYWA CHAKO ATAKIJAZA KICHEKO

Kicheko:ni namna ya kupata furaha kwa mtu,lakini kicheko hicho kinaweza kuwa kibaya au kizuri ila hapa nazungumzia kicheko kizuri cha furaha cha habari njema,Ayubu 8:19-22,Zaburi 126:2,Mwanzo 21:5-7

 

KUHARIBU MIZIMU YA UKOO

Mizimu ni mashetani wanaoendana na mila na desturi za jamii.wachawi wanajuana kutokana na mizimu katika shughuli zako Kutoka 23:32-33,Isaya 8:19,torati 18:10-12

 

RATIBA ZA KISHETANI

Ni utaratibu uliowekwa kwa ajili ya jambo Fulani.Utaratibu huo unawekwa kwa lengo na makusudi Fulani kwa kufuata hatua baada ya hatua.Waamuzi 13:2-5,Waamuzi 13:24,Waamuzi 16:1-3,Waamuzi 16:4---

Yuda,Othnieli,Ehudi,Deborah,Gideoni,Tola,Yairi,Yefta

 

MOYO ULIOJERUHIWA

Moyo kujeruhiwa unatokana na sababu mbalimbali mfano kuachwa,kupigwa,kusalitiwa n.k Mithali 15:13-15 moyo uliyojeruhiwa mtu anakuwa na hasira sana na ugomvi Mithali 15:18,Mithali 15;28,Mithali 15:1,Mithali 16:1

 

MASHAMBA YA KIROHO

Shamba ni sehemu inayotumika kupanda mbegu

Luka 8:5-8

        i.            Njia

      ii.            Mwamba

    iii.            Miiba

   iv.            Udongo mzuri

-Mpanzi ni mtumishi wa Mungu

-Shamba ni moyo

-Mbegu ni Neno la Mungu

Luka 8:11-15,1Wakorinko 3:8-9

No comments:

Post a Comment