Thursday, May 15, 2025

FUNZA WA KIROHO

 

FUNZA WA KIROHO

Katika maisha kuna funza wapo wa kiroho ambao wanatesa maisha yako bila kujua,iwe kwenye uchumi,ndoa,familia,huduma,biashara,kazi n.k.anaweza kuingia na kuleta uharibifu katika maisha yako.

·        Anaweza akakuletea mateso na kila aina ya uharibifu,Isaya 14:11,Isaya 51:8,Marko 9:44

·        Ili adui atomize mpango wake anaandaa njama au mpango Danieli 6:3-4,Danieli 3:4-6,Danieli 3:28---- Shadraka,Meshaki na Abednego

 

ROHO WA MUNGU ATULIE JUU YAKO

Roho wa Mungu

Ø Nafsi ya Mungu

v Mungu Baba

v Mungu Mwana

v Mungu Roho Mtakatifu

1Yohana 5:7-9,Mwanzo 1:1--,Mwanzo 2:1-6,Zaburi 67:1---,Zaburi 65:9

 

CHACHU YA KIROHO

Chachu ni kitu kinachoweza kubadilisha kitu.

Maana kiroho:chachu ni mafundisho (maneno/neon) yanayoweza kubadilisha moyo na roho ya mtu, Mathayo 13:33

Ø Chachu-mafundisho

Ø Mwanamke-mchungaji

Ø Unga-moyo (mtu)

Mathayo 16:5-12

Aina za chachu

Ø Chachu ya Mungu yaani ya kweli

Ø Chachu ya shetani yaani uongo

Wagalatia 4:19 Kristo aumbike

1Wakorintho 5:6-8,Waefeso 4:21-24

 

BWANA AKUANGAZIE NURU ZA USO WAKE

Hesabu 6:22-27

Zaburi 4:6

Zaburi 31:16

Isaya 60:1-2

Isaya 58:8

 

KUFUTA RAMANI ZA UBAYA

Ramani ni mchoro unaoonyesha mfano wa kitu Fulani.Kuna wachoraji,kuna vipimo vyake,mipaka unapotaka kujenga nyumba lazima mchoro uwepo

Kila kitu unachokiona kiwe kizuri au kibaya kimeanzia rohoni Luka 6:45-49.Ubaya wowote unaopangwa unakuwa na ramani zake,ubaya unachorwa.Mathayo 12:33 wachawi wanakuchorea mchoro wa magonjwa,umasikini,matatizo,mauti, n.k

Ø Kuna mafundi wa ujenzi

Ø Kuna misingi na nguzo

Ø Wachora ramani

Ø Kuna wasimamizi wa ujenzi

Hapa namaanisha rohoni na kama vile katika ulimwengu wa kimwili na kiroho vile vile mambo haya yapo.

Hebu sasa anza kuchora/kujichorea michoro mizuri na kuifuta michoro mibaya

Chora michoro ya Baraka na mafanikio

 

MUNGU AKUZIDISHE NA KUKUONGEZA

Mwanzo 28:1-4,

Mwanzo 28:12----

Mwanzo 28:20-----

Mwanzo 32:24------

Torati 28:1-14

No comments:

Post a Comment