Thursday, May 15, 2025

KURA HUKOMESHA MASHINDANO

 

KURA HUKOMESHA MASHINDANO

Kura ni kuchagua mtu au kitu,Matendo 1:23-26,Mithali 18:18,Mithali 16:33

UNAONA NINI?

Katika maisha watu wengi wamefichwa macho ya rohoni.Ninapozungumzia macho,nazungumzia

·        Ufahamu,uzima,afya,uweza

·        Fikra,kumtafuta Yesu

·        Akili

·        Nguvu,maono yako

·        Hatua

·        Mafanikio

Yeremia 1:11-12,Yeremia alikuwa kuhani(mmoja wa makuhani)kwenye nchi ya Benyamini.Nenola BWANA lilimjia wakati wa kutawala kwake mfalme Yosia (Mfalme wa Yuda) Hesabu 13:33,Hesabu 14:6-10

MUNGU AKUKUMBUKE TENA

Kukumbukwa ni hali ya kuonekana kwa mtu/kitu(kutolewa/kukubaliwa) ulikuwa umesahaulika sasa umeonekana Mwanzo 8:1---.Mungu alimuambia Nuhu ajenge safina,urefu mikono 300

,upana mikono 50

,urefu kwenda juu mikono 30

.Tarehe 17/02/600 mvua ikaanza kunyesha mpaka

 tarehe 26/03/600 mvua iliacha.Maji yalitulia siku 150 (miezi 5),

tarehe 17/07/600 safina ikatua mlima Ararati (Uturuki ya leo)

,tarehe 01/10/600 maji yalipungua pungua

,tarehe 07/10/600 alimtoa kunguru na njiwa,

tarehe 14/10/600 alimtoa njiwa,

tarehe 01/01/601 nchi ilikuwa kavu

,Mungu akamwambia Nuhu toka kwenye safina

WAZAZI WETU WALITENDA MAOVU

Maombolezo 5:7,Yeremia 16,Mhubiri 3:1,Mhubiri 9:11

WAKATI NA BAHATI UWAPATA WOTE

Bahati ni kukipata kitu bila kutegemea au kuepuka kitu ambacho hukutegemea.Mhubiri 9:11,Mhubiri 11:5-6

BONDE LA MATESO

Mateso ni matatizo yaliyopo ndani au nje ya mtu Luka 3:1-6

JITAMKIE UNABII

Unabii ni kitendo cha kutabiri,yaliyopo,yaliyopita,yaliyopo na yanayokuja

Nabii ni mteule/mteuliwa wa Mungu aliyeitwa kupeleka ujumbe kwa watu.1Wakoritho 12:10,2Petro 1:20-21,Ufunuo 1:1-3,Ufunuo 1:19

KUFUTA PICHA ZILIZOKUWA KWENYE AKILI YAKO

Katika maisha kuna mambo yamesimama kama picha mbaya,inaweza ikawa ugonjwa,umasikini,taabu,mateso,balaa n.k 1Samweli 17:1-5

·        Goliath alikuwa na urefu futi 6

·        Chepeo ya shaba shekel elfu 5

·        Mabampa miguuni

·        Mkuki kwenye begani

1Samweli 17:42---,1Samweli 18:6,Hesabu 13:17,hesabu 14:1

 

No comments:

Post a Comment