NAPANDA MBEGU YA MAFANIKIO
Kitu
chochote chenye uhai asili yake ni mbegu,mfano mparachichi au mwembe,n.k mbegu
ninayozungumzia hapa ni mafanikio ya mtu
Mwanzo
26:12-14
Mwanzo
26:15-17
Mwanzo
26:18-19
Mwanzo
26:20-21
Mbegu
inawezwa kuzuiwa au kukwama,kukwamishwa
Yoeli 1:17
Mwanzo 2:4-6
NGUVU YA KUITA
Kuita:ni
kitendo cha kuhamuru kile unachokitaka kitokee au kije kwako
v Uhusiano wa mtu na mtu unaanzia
kwenye mawasiliano
v Tunapoomba mara kwa mara tunaweka
mahusiano yetu na Mungu yawe ya karibu.Na ni tofauti na mtu ambaye haombi
(asiyeomba) Mwanzo 3:20,Mwanzo 16:13,Mwanzo 17:5-7,15, Mwanzo
28:12----,2Wafalme 20:1-5
v Ezekia aliamini maombi yanaweza
kubadili maamuzi ya Mungu,maamuzi ya bosi wako,mumeo,mkeo,watawala,matamko ya
laana,magonjwa
v Kuita kunafungua milango
iliyofungwa,Yesu alimwita Lazaro.Isaya 62:6-7
v Kuita ni kutawala (kibali) Zaburi
`19:14,Isaya 57:19,Mhubiri 8:4
v Kiashiria Mungu anachotumia ni kuita
Zaburi 138:3,1Samweli 3:1-11,2:1-10,Isaya 42:6-7
No comments:
Post a Comment