Thursday, May 15, 2025

KUSAMBARATISHA UCHAWI NA UGANGA WA KIENYEJI

 

KUSAMBARATISHA UCHAWI NA UGANGA WA KIENYEJI

Uchawi:Ni nguvu zinazotumiwa na watu kwa nia ya uharibifu.Kuna uchawi mweupe na kuna uchawi mweusi

Uganga:Ni elimu ya kichawi inayohusiana na magonjwa

Ucawi na uganga ni kampuni moja ila sekta tofauti mfano jeshi.Uchawi na uganga lengo lao ni kuwatesa watu Isaya 47:12,Mika 5:12,Walawi 26:31,Torati 18:9-13,Kutoka 7:22,2Wafalme 21:6,2Nyakati 33:6

MOTO WA MADHABAHU

Madhabahu:Ni sehemu ambayo roho kwa roho hukutana au zinakutana.Ni mahakama ya kiroho ambapo kesi za kiroho zinaletwa na kutolewa hukumu Ufunuo 8:3-5,Ufunuo 5:8,Luka 12:49

 Chetezo ni mtu

Moto ni (neno,kuchoma) kufanya maombi

Moshi wa uvumba ni sauti ya maombi

Uvumba ni maombi

KUONDOA ROHO ZA ULEMAVU KATIKA MAISHA YETU

Ulemavu:Ni hali ya kutokuwa na nguvu au upungufu wa viungo au kutokuwa katika hali ya utimilifu

Aina za ulemavu

-kuna ulemavu wa kiroho

-kuna ulemavu wa kimwili

Matendo 3;1-2,Matendo 3:3-7,Matendo 3:8-10,Matendo 3:11-16

WANA NI URITHI

Zaburi 127:3,Torati 28:4,11

Wana ni watoto,kwa wanawake wao ndiyo wanaobeba watoto.Muunganiko anaoufanya Mungu ni wa ajabu sana,sisi binadamu tunatumika kama kiwanda cha uzalishaji (production)

NITAKUWA UKUTA WA MOTO

Ukuta ni kitu Fulani kinachojengwa ili kuzuia vitu Fulani visipite au kuingia kwa urahisi Zekaria 2:4-5,Isaya 4:5,Waebrania 1:7

KUFUTA KURASA MBAYA ZA ZAMANI

Kurasa ni sura za kwenye kitabu zikiwa na maana Fulani 2Wakorintho 5:17,2Wakoritho 5:18-19,2Wakorintho 5:20-21

No comments:

Post a Comment