Thursday, May 15, 2025

UVUNJA ROHO ZA SODOMO NA GOMORA

 

KUVUNJA ROHO ZA SODOMO NA GOMORA

Sodoma na Gomora hii ilikuwa ni miji iliyokuwa ikitenda mambo mabaya mbele za Mungu,kwa wanaume kuwakiana tama na wanawake vile vile kuwakiana tama yaani kwenda kinyume na maumbile.Kutumia miili yao kinyume na asili ya viungo vya uzazi kwa matumizi yake.Mwanzo 13:13,Warumi 1:26-27,Warumi 1:24-25,Warumi1:28-32,Mwanzo 18:1-15,Mwanzo 19:4-11

HATA WAKUZUIE UTAVUKA

Torati 9:1-5,Torati 11:30-30,Marko 4:35-41,Marko 5:1---,Matendo 16:9-21

Kushukuru Zaburi 50:23,Wafilipi 4:4-7

-kusali –prayer

-kuomba- supplication

-kushukuru- thanksgiving

(humbly,begging,asking)

JIUNGANISHE NA MADHABAHU YAKO

Madhabahu (Altare,Alta) ni sehemu yoyote ile mtu anapokutana na roho inaweza kuwa ni roho ya Mungu au shetani

Ndani ya madhabahu kuna

·        Kutoa sifa-nyimbo

·        Kutoa sadaka

·        Kuomba (kupeleka mahitaji)

Ezra 3:1-6

Faida ya madhabahu

·        Ni upatanisho

·        Inafungua Baraka

·        Inatupa ulinzi wa Ki-Mungu Mwanzo 8:18-22

·        Madhabahu inasema mbele za Mungu

·        Inamdhihirisha Mungu unayemuabudu

 

No comments:

Post a Comment