KUVUNJA ROHO ZA SODOMO NA GOMORA
Sodoma na
Gomora hii ilikuwa ni miji iliyokuwa ikitenda mambo mabaya mbele za Mungu,kwa
wanaume kuwakiana tama na wanawake vile vile kuwakiana tama yaani kwenda
kinyume na maumbile.Kutumia miili yao kinyume na asili ya viungo vya uzazi kwa
matumizi yake.Mwanzo 13:13,Warumi 1:26-27,Warumi 1:24-25,Warumi1:28-32,Mwanzo
18:1-15,Mwanzo 19:4-11
HATA WAKUZUIE UTAVUKA
Torati
9:1-5,Torati 11:30-30,Marko 4:35-41,Marko 5:1---,Matendo 16:9-21
Kushukuru
Zaburi 50:23,Wafilipi 4:4-7
-kusali
–prayer
-kuomba-
supplication
-kushukuru-
thanksgiving
(humbly,begging,asking)
JIUNGANISHE NA MADHABAHU YAKO
Madhabahu
(Altare,Alta) ni sehemu yoyote ile mtu anapokutana na roho inaweza kuwa ni roho
ya Mungu au shetani
Ndani ya madhabahu kuna
·
Kutoa
sifa-nyimbo
·
Kutoa
sadaka
·
Kuomba
(kupeleka mahitaji)
Ezra 3:1-6
Faida ya madhabahu
·
Ni
upatanisho
·
Inafungua
Baraka
·
Inatupa
ulinzi wa Ki-Mungu Mwanzo 8:18-22
·
Madhabahu
inasema mbele za Mungu
·
Inamdhihirisha
Mungu unayemuabudu
No comments:
Post a Comment