KUONDOA ROHO ZA HASIRA
Hasira ya
mtu siku zote haitendi haki.Na hasira inaendana na vitu vitatu,moyo,akili na
matendo.Hasira inaweza ikafanya maamuzi mabaya yaani haitendi haki hata mara
moja.Siku zote ukiwa na hasira jaribu kujidhibiti,usifanye jambo baya au
kufanya maamuzi mabaya na kamwe usiongee maneno mabaya siku zote Yakobo
1:20,Waefeso 4:26,Mhubiri 7:9,Mithali 19:11,Mithali 15:1,18,Mithali 14:17
MTAABISHAJI WA MAISHA YAKO
Mtaabishaji
linatokana na neno taabika.Mtaabishaji ni mtu anayeumiza,teas,haribu,anayekukosesha
amani,anayekukosesha raha n.k 1Wafalme 18:17-------
MTI WA KIROHO
Mathayo
13:31-32
Mti ni mtu
Ndege ni neno
Shamba ni moyo
Mungu
anapanda mbegu kwa Yesu (amepanda ndani ya moyo wa Yesu).Yesu alikuwa mdogo
sana kwa Wayahudi,Yesu akakua mpaka mtu mkubwa.Mbegu ni ndogo lakini inathamani
kubwa sana Isaya 55:12
ROHO ZA URITHI
Urithi ni
hali ya kumilikishwa kitu au vitu
Aina za urithi
·
Urithi
wa Kimungu
·
Urithi
wa kishetani
Urithi
waKimungu
Yushua
19:49,Isaya 54:17---,Zaburi 127:3,Zaburi 16:6-8,Zaburi 33:12,Mithali
13:22,Mithali 19:14,Yeremia 3:19
Urithi wa
kishetani
Yeremia
12:8-9,Mathayo 21:38-39
KUANGUSHA BABELI YA KIROHO
Babeli ni
mji wa zamani ulikuwa umejengwa huko Mesopotamia mashariki ya kati 2Wafalme
24:11,Babeli ni gereza linalowashikilia watu.Isaya 21:9,Ufunuo 14:8,Ufunuo
17:1-18,Ufunuo 18:21
KUHARIBU ROHO ZA LAANA
Laana ni
mkusanyiko wa mambo mabaya yanayompata mtu
Kuna laana
ya ardhi na kuna laana ya mtu.Kinachobeba laana mpaka iwe na nguvu ni
·
Maneno
Torati 29:19
·
Kafara
1Wafalme 2:8
·
Kiapo
Zaburi 10:7,Warumi 3:14
LUCIFER DNA
Vinasaba vya
shetani.Ni chembechembe ndogo ambazo hubeba taarifa zote za kibaiolojia kwa
kila kiumbe(urithi) yaani uzao 1Yohana 3:10---,Mwanzo 6:1-4,Torati
2:20.Wanasayansi walishawai kugungua vinasaba vilivyochanganyikana na binadamu
No comments:
Post a Comment