Thursday, May 15, 2025

KUONDOA ROHO ZA HASIRA

 

KUONDOA ROHO ZA HASIRA

Hasira ya mtu siku zote haitendi haki.Na hasira inaendana na vitu vitatu,moyo,akili na matendo.Hasira inaweza ikafanya maamuzi mabaya yaani haitendi haki hata mara moja.Siku zote ukiwa na hasira jaribu kujidhibiti,usifanye jambo baya au kufanya maamuzi mabaya na kamwe usiongee maneno mabaya siku zote Yakobo 1:20,Waefeso 4:26,Mhubiri 7:9,Mithali 19:11,Mithali 15:1,18,Mithali 14:17

MTAABISHAJI WA MAISHA YAKO

Mtaabishaji linatokana na neno taabika.Mtaabishaji ni mtu anayeumiza,teas,haribu,anayekukosesha amani,anayekukosesha raha n.k 1Wafalme 18:17-------

MTI WA KIROHO

Mathayo 13:31-32

Mti ni mtu

Ndege ni neno

Shamba ni moyo

Mungu anapanda mbegu kwa Yesu (amepanda ndani ya moyo wa Yesu).Yesu alikuwa mdogo sana kwa Wayahudi,Yesu akakua mpaka mtu mkubwa.Mbegu ni ndogo lakini inathamani kubwa sana Isaya 55:12

ROHO ZA URITHI

Urithi ni hali ya kumilikishwa kitu au vitu

Aina za urithi

·        Urithi wa Kimungu

·        Urithi wa kishetani

Urithi waKimungu

Yushua 19:49,Isaya 54:17---,Zaburi 127:3,Zaburi 16:6-8,Zaburi 33:12,Mithali 13:22,Mithali 19:14,Yeremia 3:19

Urithi wa kishetani

Yeremia 12:8-9,Mathayo 21:38-39

KUANGUSHA BABELI YA KIROHO

Babeli ni mji wa zamani ulikuwa umejengwa huko Mesopotamia mashariki ya kati 2Wafalme 24:11,Babeli ni gereza linalowashikilia watu.Isaya 21:9,Ufunuo 14:8,Ufunuo 17:1-18,Ufunuo 18:21

KUHARIBU ROHO ZA LAANA

Laana ni mkusanyiko wa mambo mabaya yanayompata mtu

Kuna laana ya ardhi na kuna laana ya mtu.Kinachobeba laana mpaka iwe na nguvu ni

·        Maneno Torati 29:19

·        Kafara 1Wafalme 2:8

·        Kiapo Zaburi 10:7,Warumi 3:14

LUCIFER DNA

Vinasaba vya shetani.Ni chembechembe ndogo ambazo hubeba taarifa zote za kibaiolojia kwa kila kiumbe(urithi) yaani uzao 1Yohana 3:10---,Mwanzo 6:1-4,Torati 2:20.Wanasayansi walishawai kugungua vinasaba vilivyochanganyikana na binadamu

No comments:

Post a Comment