ATA WAKUZUIE VIPI UTAVUKA TU
Katika
maisha tunayoishi kuna mambo mengi,ambayo yanafanyika sirini juu ya mtu Fulani
ili aharibikiwe.Na katika kukuharibia huko wanaana na kukuzuia kwamba
usipenye,usivuke,uziende,usipite.Kutoka 14:15-16
Walivuka
bahari ya shamu (Red sea-bahari nyekundu) Mathayo 14:22,Marko 4:35,Torati 9:1
ukivuka utamiliki, Matendo 16:9 Paulo aliona maono avuke akawasaidie watu
VITA YA KIUCHUMI
Uchumi ni
jumla ya shughuli za watu zenye lengo la kutosheleza mahitaji mfano
uzalishaji,matumizi ya bidhaa,usambazaji.
Uchumi ni
rasilimali ni namna gani unaweza kuzitumia mfano ardhi,elimu,kipaji 2Wakoritho
8:9
Yesu alikuja
ili awaokoe watu kiroho na kimwili kutoka kwenye umasikini Mwanzo 12:16,Mwanzo
13:2,Mwanzo 13:2,Mwanzo 26:12-14,Torati 8:17-20,8:1-16,Matendo 12:21-23,Ayubu
1:1-------,Ayubu 42:10-----
Kanuni ya uchumi
·
Kufanya
kazi
·
Kuwa
na maarifa
·
Kuwa
na bidii
·
Kuweka
akiba
·
Utoaji
·
Usishindane
(usiige)
PINDUA MEZA
Pindua maana
yake ni kuharibu.1Wakoritho 10:21,2Wakoritho 6:16,Waamuzi 1:6-7
MIKONO YA KUZIMU
Zaburi
49:15,Mithali 5:5,Isaya 28:15,Matendo 2:27
MUNGU ATIMIZE NENO LAKE
Neno la
Mungu lina nguvu,mamlaka uweza,ni moto,nyundo,upanga Yeremia 1:11-12,Isaya
38:6-7
KUHESHIMISHWA NA MUNGU
Matendo
4:13,Yohana 12:26
BWANA YESU AIAMURU BARAKA IJE KWANGU
Torati
28:8,Hagai 2:8
BWANA NI NURU YANGU
Zaburi
27:1-5,Zaburi 27:10-14
MTAABISHAJI WA MAISHA YAKO
Mtaabishajilinatokana
na neno taabika
No comments:
Post a Comment