Thursday, May 15, 2025

ATA WAKUZUIE VIPI UTAVUKA TU

 

ATA WAKUZUIE VIPI UTAVUKA TU

Katika maisha tunayoishi kuna mambo mengi,ambayo yanafanyika sirini juu ya mtu Fulani ili aharibikiwe.Na katika kukuharibia huko wanaana na kukuzuia kwamba usipenye,usivuke,uziende,usipite.Kutoka 14:15-16

Walivuka bahari ya shamu (Red sea-bahari nyekundu) Mathayo 14:22,Marko 4:35,Torati 9:1 ukivuka utamiliki, Matendo 16:9 Paulo aliona maono avuke akawasaidie watu

VITA YA KIUCHUMI

Uchumi ni jumla ya shughuli za watu zenye lengo la kutosheleza mahitaji mfano uzalishaji,matumizi ya bidhaa,usambazaji.

Uchumi ni rasilimali ni namna gani unaweza kuzitumia mfano ardhi,elimu,kipaji 2Wakoritho 8:9

Yesu alikuja ili awaokoe watu kiroho na kimwili kutoka kwenye umasikini Mwanzo 12:16,Mwanzo 13:2,Mwanzo 13:2,Mwanzo 26:12-14,Torati 8:17-20,8:1-16,Matendo 12:21-23,Ayubu 1:1-------,Ayubu 42:10-----

Kanuni ya uchumi

·        Kufanya kazi

·        Kuwa na maarifa

·        Kuwa na bidii

·        Kuweka akiba

·        Utoaji

·        Usishindane (usiige)

PINDUA MEZA

Pindua maana yake ni kuharibu.1Wakoritho 10:21,2Wakoritho 6:16,Waamuzi 1:6-7

MIKONO YA KUZIMU

Zaburi 49:15,Mithali 5:5,Isaya 28:15,Matendo 2:27

MUNGU ATIMIZE NENO LAKE

Neno la Mungu lina nguvu,mamlaka uweza,ni moto,nyundo,upanga Yeremia 1:11-12,Isaya 38:6-7

KUHESHIMISHWA NA MUNGU

Matendo 4:13,Yohana 12:26

BWANA YESU AIAMURU BARAKA IJE KWANGU

Torati 28:8,Hagai 2:8

BWANA NI NURU YANGU

Zaburi 27:1-5,Zaburi 27:10-14

MTAABISHAJI WA MAISHA YAKO

Mtaabishajilinatokana na neno taabika

No comments:

Post a Comment