Thursday, May 1, 2025

MASHAMBA YA KIROHO

 

MASHAMBA YA KIROHO

Shamba ni sehemu inayotumika kupandia mbegu.Kiroho shamba ni moyo na mbegu ni Neno la Mungu Mathayo 13:3-,Luka 8:1----

 

UTUPE LEO RIZIKI YETU

Riziki maana yake ni Baraka,mafanikio,mali,afya,fedha n.k

Mathayo 6:9-11,Mathayo 7:7-11,hagai 2:8,

3Yohana 1:2,Isaya 45:1-6

NEEMA YA KUOMBA ALFAJIRI NA ASUBUHI

Zaburi 5:1-3

Ni maombi ya mamlaka ya kuharibu mipango ya kishetani iliyofanyika juu yako.

Ni maombi yenye uweza wa kupata Baraka na kibali

 

ALIYEFUNGWA

·        Kifungo ni hali ya kuwa utumwani

·        Ni hali ya kuwa kwenye mateso

·        Ni hali ya kuwa kwenye shida

·        Ni hali ya kutokuwa huru

·        Ni kupindishwa/kuzuiwa

Marko 11:1-11

Luka 19:29-40

Mathayo 21:1-11

Luka 14:1-6

Hesabu 22:22---------

Baraki anabariki na kulaani

 

MWEZI WA KUKUTANA NA MUNGU

Namba sita kibiblia ni namba ya mwanadamu

Mwanzo 1:26-31

Ezekieli 8:1-4

Hagai 1:14-15

Luka 1:26

TANZI ZA MAUTI

Mithali 13:14

Mithali 14:27

2Wafalme 4:40,Ayubu 5:20,Zaburi 49:14,Zaburi 68:20,Mathayo 4:16,2Wakorintho 2:15-16

 

KISIWA CHA MATESO

Kisiwa ni eneo la nchi kavu katikati ya bahari,ziwa au mto linalozungukwa na maji. Ufunuo 1:9,Ufunuo 16:20,matendo 28:7,Matendo 28:9

Yohana-alitumbukizwa kwenye pipa la mafuta yaliyokuwa yanachemka,aliwekwa kwenye gereza la migodi kisiwa cha Patimo (Uturuki)

 

AGANO LA KITOVU

Agano ni mkataba au makubaliano kati ya watu wawili au zaidi,kati ya pande mbili.Kuna agano la Kimungu na agano la kishetani.Shida unayopitia ni kutakana na agano lililofanyika juu yako kupitia kitovu ulipozaliwa kuna jambo lilifanyika. Zaburi 71:6-sala /maombi ya Daudi.Ezekieli 16:1-5,1Wafalme 18:17-19

 

MGONGANO WA FALME MBILI

Mathayo 4:23----

Isaya 5:14-15

UMWINUA MNYONGE

1Samweli 2:8,Torati 17:17,1Wafalme 11:1-----

 

ATAAGIZA MALAIKA WAKULINDE

Zaburi 91:10------

Zaburi 35:1-7

 

ULIANZA MWENYE HUZUNI

1Nyakati 4:9-10

Danieli 6:3-4

Danieli 3:28

 

WAKUACHE UONEKANE

Wafilipi 3:9-10

1Samweli 16:1-17

 

 

No comments:

Post a Comment