Thursday, May 15, 2025

ROHO YA UFUKARA

 

ROHO YA UFUKARA

Ufukara ni hali ya kuishi zaidi ya umasikini.Ufukara ni roho inayoishi ndani ya nchi na familia,ukiangalia familia nyingi za Kiafrika na zile nchi zinazoendelea,roho hizi zinaendelea kizazi baada ya kizazi,kutoka ukoo au familia.Mambo waliyoyafanya huko nyuma na vitu hivi vinaenda mpaka kwenye damu,bila kuvunja na kujitenga huwa zinafuatilia.Yeremia 17:5-8

MALI ILIYOFICHWA

Mali ni Baraka.Isaya 45:3

KUFUTA RATIBA ZA KUZIMU

Ratiba ni mpangilio au utaratibu uliowekwa kwa makusudi ya jambo Fulani mfano ratibaza kanisani,ratiba za harusi,ratiba za mikutano,ratiba za nchi,ratiba binafsi

Nuru:Mungu alimwambia atengeneze safina maana ataachilia mvua siku 40 Mwanzo 7:11-12

Ratiba za kishetani/kuzimu ni ratiba anazotumia shetani kwa kutumia mawakala wake,ni namna gani wamuandalie mtu jambo baya,muda,mwezi,tarehe,mwaka,siku huwa wanazingatia vitu hivi.Waamuzi 16:15-17

KUFUTA DAMU ILIYOMWAGWA KWA AJILI YAKO

Damu ya Yesu ilimwagwa kwa ajili ya anguko la dhambi Mwanzo 26:28 na kwenye damu kuna uzima Yohana 6:54-56,Warumi 3:15,Torati 12:23,Zaburi 79:3

ARDHI IKUTAMBUE

Kuna siri kubwa kwenye ardhi (udongo) nchi.Maisha ya mtu yako kwenye ardhi. Mwanzo 2:7,Mwanzo 3:17.Tabu unayopitia inatokana kwenye ardhi Yeremia 22:29-30,Mfalme wa Yuda alionea mgeni,mjane,yatima Isaya 34:9,Ayubu 28:5-6,ufunuo 12:15-16

KUTAMBUA NYAKATI

Nyakati ni mabadiliko ya vipindi

Aina za nyakati Kibiblia

        i.            Wakati wa uumbaji (Adamu)

      ii.            Wakati wa sheria (Musa/Yoshua)

    iii.            Wakati wa Waamuzi (Deborah,Samsoni)

   iv.            Wakati wa Wafalme (Sauli,Daudi)

     v.            Wakati wa Manabii (Isaya,Yeremia)

   vi.            Wakati wa injili ya mbinguni (Yesu)

 vii.            Wakati wa nyakati za Mitume (Paulo,Petro,Mathayo n.k)

viii.            Wakati wa ufunuo na uumbaji Mpya

Mwanzo 1:1----

 

 

No comments:

Post a Comment