KUZIKOMBOA SEHEMU ZA MTU
-Roho
-Nafsi
Mwili
Kikawaida
ili mtu aweze kuharibikiwa au asifanikiwe,shetani huwa anashughulika na sehemu
hizo,ili kuleta uharibifu
1.
Mji wa Mafanikio
Hapa tunazungumzia mali,fedha,uchumi mzuri,utajiri,maisha mazuri n.k
Torati 28:1-13
Hapa ni sawa na kusema password za maisha
2.
Mji wa Afya
Hapa tunazungumzia afya njema,uhai,kuishi
3Yohana 1:2,Mithali 3:7-8,Isaya 58:8,Yeremia 30:17,33:6.
Shetani akipachezea ndiyo mtu anakuwa mgonjwa,mauti,kifo,maumivu n.k
3.
Mji wa Mahusiano
Hapa tunazungumzia Mungu,urafiki,undugu,upendo.Shetani akipachezea
hapa,chuki itatengenezwa hapa,unaweza kumuona mke/mumeo kawaida tu.1Samweli
18:1-5,Waamuzi 19:3,Yohana 15:13
4.
Mji wa Kumbukumbu
Hapa hunazungumzia akili,ufahamu,maarifa,kuelewa,kuyashika unayofundishwa.Hapa
pakichezewa utaona mtu amejiua,amechanganyikiwa,kusahausahau n.k
5.
Mji wa Sheria
Hapa tunazungumzia kanuni,taratibu,hiyali ya
mtu,amri,hekima,adabu,heshima,maadiki.Mithali 3:1
Hapa wizi ndio unapoanza kwa mtu kama pakiharibiwa
6.
Mji wa Ndoto
Hapa tunazungumzia uwezo wa kutafsiri ndoto,kuota,macho ya
rohoni-kufunguka jicho la tatu.Danieli 5:12
7.
Mji wa Vita
Hapa tunazungumzia ulinzi,vita vya rohoni,maombi,mashambulizi,nguvu za
kiroho
Hapa ndiyo kituo cha pepoau jinni Torati 20:19-20,Hesabu 21:14,waefeso 6:10-12
No comments:
Post a Comment