KUBOMOA TAWALA ZA KISHETANI
Mamlaka ni
utawala,nguvu,amri,jeshi,fedha
Serikali-Ikulu,Bunge, na mahakama
1.Mkuu wa anga
Huyu ni shetani anayekaa na kutawala
kwenye anga kwa ajili ya kuzuia maombi Danieli 10:11-13
2.Mkuu wa ardhi
Huyu ni shetani anayesimamia kuharibu
ardhi
Ufunuo 9:11
Ufunuo 13:11
Mkuu wa bahari
Huyu ni shetani anayetawala maeneo
yote yanayohusioana na maji na ndiye anayesimamia
Ufunuo 13:1
KILA ULIMI ULIOINUKA JUU YAKO
Ulimi ni kiungo kimoja wapo ndani ya
mtu,wanyama na viumbe vingine
Isaya 54:17
Zaburi 10:7
Mithali 12:18
Mithali 15:4
Mithali 18:20-20
Yakobo 1:26
KUIKOMBOA NAFSI
Mtu ana sehemu tatu
i.
Roho (spirit)
ii.
Nafsi (soul)
iii.
Mwili (body)
1Wathesalonike 5:23
1Wakoritho 15:44-49
Kazi ya nafsi ni kuunganisha mwili na
roho
Roho:Inahusisha mambo ya Mungu
·
Maombi (ibada)
·
Ushirika na Mungu
·
Vita vya Kiroho
·
Ndoto
·
Dhamiri (kupambanua)
·
Shuhuda kwa watu
Nafsi:Kigiriki maana yake ni kiumbe
kilicho hai.Kiebrania maana yake ni kile kinachopumua.Nafsi ni ile sehemu
ambayo ina ufahamu wa mtu mwenyewe
Kazi yake
·
Hisia,tama,upendo
·
Utashi,nia,kuamua
·
Kufikiri,kutafakari,kuona
Mwili:unahusika na mambo ya ulimwengu
MSHAURI WA AJABU
Mshauri:Ni mtu anayetoa maelekezo
kuhusu kutengeneza jambo Fulani/ni mapendekezo kuhusiana na jambo Fulani Warumi
11:33-36,Isaya 9:6
BARAKA ZA ROHONI
Baraka:Ni mafanikio juu ya mtu.Mambo
yote unayoyaona ulimwengu wa mwili yanaanzia ulimwengu war oho kwasababu sisi
ni roho pia ni mwili Waefeso 1:3------
VUKA
Ni kitendo cha kushinda kukwepa
vikwazo/ni kitendo cha kwenda upande wa pili yaani ng’ambo
Matendo 16:9-11
Luka 8:22-------------
MBEGU MBAYA ILIYOPANDWA
Mbegu ni chanzo cha uhai
Aina za mbegu
-mbegu njema (Neno la Mungu)
-mbegu mbaya (Neno la shetani)
Kwanini mbegu ni chanzo cha uhai?
Ufalme wa mbinguni unaanza na mbegu Mathayo 13:24-30,Mathayo 13:36------
·
Mbegu njema ni Mwana wa Adamu
·
Lile konde ni ulimwengu (shamba)
·
Mbegu njema ni wana wa ufalme
·
Magugu ni wana wa Yule mwovu
·
Aliyepanda magugu ni ibilisi
(shetani)
·
Wavunao ni malaika
·
Mavuno ni mwisho wa dunia
·
Ghalani ni uzima wa milele
Ufunuo 14:14-18
No comments:
Post a Comment