Thursday, May 15, 2025

KUVUNJA ROHO YA TALAKA

 KUVUNJA ROHO YA TALAKA

Talaka ni hati ya kiapo cha kuvunja ndoa

Aina za ndoa

        i.            Ndoa ya kidini yaani ya Kikristo na Kiislamu

      ii.            Ndoa ya kiserikali

    iii.            Ndoa ya kimila

Mwanzo 2:24

Ndoa na iheshimiwe Waebrania 13:4

Madhara ya talaka

·        Kuzuia hatima za watoto wenu zisitimie kwa wakati

·        Kuleta magonjwa

·        Familia kusambalatika

·        Heshima itapungua

·        Kuyumbisha watoto

·        Kuleta mauti

Marko 10:4-12,Malaki 2:16

Maagizo ya ndoa

 1Wakorintho 7:1-6,1Wakorintho 7:8-16,1Wakoritho 7:33-34,7:39

WAKUACHE UONEKANE

Ili mtu ufanikiwe kwenye jambo Fulani ni lazima aonekane,iwe kibiashara,kindoa,kikazi n.k Wafilipi 3:9-10,Mithali 17:8,Mhubiri 6:4

VINYAGO VYA BABAYE

Vinyago ni miungu inayoabudiwa au ni sanamu zinazoabudiwa kulingana na jamii husika,kuna miungu ngazi mbalimbali mfano kwenye familia,ukoo,kwenye wilaya,mkoa,kitaifa na kimataifa,inaabudiwa sehemu mbalimbali kama vile ofisini,nyumbani.Kutoka 20:1-6,Torati 6:14-15,Mwanzo 31:19,Mwanzo 35:2

HAKUNA ATAKAYESIMAMA MBELE YAKO

Yoshua 1:1-3,Yushua 1:-9,Ayubu 5:12,Zaburi 89:20-

No comments:

Post a Comment