Wednesday, May 25, 2022
Saturday, May 7, 2022
Wednesday, May 4, 2022
Sunday, April 17, 2022
Monday, March 28, 2022
NGUVU YA KIONGOZI WA KIROHO
Kiongozi wa kiroho anapaswa kuyatekeleza mambo yafuatayo
1.Kuwa na Nia ya kuwajili wengine
Unapokuwa kiongozi unapaswa kuwa na Nia nzuri kwa wale unaowaongoza.Nia NI idara ya fikra,hivyo kill unachofikilia au kukiwaza je,Nia yako NI kuwafanya watu wamjue Mungu,kuwasaidia na sio kuwanyonya au kuwalazimisha kutekeleza Jambo Fulani halafu wao hawana uwezo nalo,Nia yako siku zote yakupasa iwe njema
"Iweni na Nia iyo hiyo NDANI yenu ambayo ilikuwamo pia NDANI ya Kristo Yesu" Wafilipi 2:5
2.Kuwapatanisha watu na Mungu
Yohana 8:26-30
3.Kuwa na hekima
1Wafalme 10:1-4
4.Kuwa na uweza
5.Kuwa na maarifa
6.Kumcha Mungu
Isaya
Sunday, March 13, 2022
Tuesday, March 8, 2022
Saturday, March 5, 2022
MAONO YAKO YAMEENDA WAPI?
MAONO NI fikra za kinjozi au mtu mwenye uwezo wa kuona mbali au NI ile Hali ya kitu au tukio lioneoanalo kwenye akili lakini kiuhalisia halipo,picha ambayo ipo kwenye akili zako,kwamba unataka kuwa Nani,unataka kufanya Nini?
AINA ZA MAONO
1.Maono Binafsi
NI Yale MAONO ambayo NI ya kwako wewe mwenyewe Binafsi,lazima ujue Nini unataka katika maisha YAKO na Kama unataka kuendelea kamwe usiogope watu watasema Nini kuhusu wewe
2.Maono ya Familia
Hapa NI pale unavyovipa vipaumbele vyenu vya maisha yenu mapya ya ndoa
3.Unamfanyia Nini Mungu
Hapa NI vile au NI Yale mambo yanayomuhusu Mungu ambayo unapaswa kuyatenda
MAONO Ndiyo dira ya Safari yako ya mafanikio.Pasipo MAONO watu huacha kujizuia (kuangamia)
"Pasipo maono watu huacha kujizuia Bali Ana heri mtu yule aishikaye sheria".Mithali 29:18
Kimsingi Mwanzo ulikuwa na mipango mingi Sana (maono),kwamba nikiwa mkubwa nitafanya hivi na vile.Nikipata hell nitafanya hili na Lile la maendeleo,yaani unakuwa na mipango lukuki lakini ukizipata hizo hela hakuna kinachoendelea,nakuuliza maono yako yako WAPI?
"BWANA akajibu akasema iandike njozi ukaifanye iwe wasi Sana katika vibao,ili aisomae apate kuisoma Kama maji.Maana njozi hii bado NI kwa wakati ulioamriwa,inafanya haraka I'll kuufikilia mwisho wake,Wala haitasema uongo.Ijapokawia,ingojee kwa kuwa Haina budi kuja,haitakawia".Habakuki 2:2-3
"Nawe angalia ya kwamba uvifanye Kama mfano wake,uliooyeshwa mlimani".KUTOKA 25:40
"Nawe utaisimamisha hiyo maskani sawasawa na mfano wake uliooyeshwa mlimani".KUTOKA 26:30
Leo hii maono yako YAMEENDA WAPI? Nani kayachukua? Mbona hayajatimia? Hujue happy wajanja wameshafanya Yao.Leo amka na simama Anza kudai maono yako Sasa kwa jina la Yesu Kristo
MAOMBI
BABA MUNGU KATIKA JINA LA YESU.LEO NIMETAMBUA KWAMBA MAONO YANGU YA KUJENGA NYUMBA,KUSOMA,KUOA,KUOLEWA,NK,YAMEIBIWA,YAMECHUKULIWA.NASOGEA KWENYE KITI CHA ENZI CHA MBINGUNI KULETA HAJA YANGU HII,KATIKA JINA LA YESU KRISTO.KILA MADHABAHU ZA KISHETANI ZILIZOSHIKILIA MAONO YANGU LEO NAZIPASUA KWA JINA LA YESU.LEO NATAKA MAONO YANGU UYAACHIE KWA JINA LA YESU .KILA MWENYE NGUVU ALIYEYAIBA MAONO YANGU NAMSHAMBULIA.MAONO YA BIASHARA,KUZAA,HUDUMA,LEO NAYATAKA KWA JINA LA YESU.EWE MZIMU WA UKOO ULIYOKAMATA MAONO YANGU YA KUFANIKIWA NAKUTEKETEZA,EWE MCHAWI NA MGANGA WA KIENYEJI ULIYOYAZUIA MAONO YANGU TEKETEA,NAYATAKA LEO MAONO YANGU YA KUSOMA CHUO KIKUU,YALE MAONO YANGU YA TANGU UTOTONI MWANGU NAYATAKA LEO KWA JINA LA YESU.NINAFANYA VITA KWENYE ULIMWENGU WA ROHO NA KILA MAMLAKA ZA GIZA ZILIZONICHUKULIA MAONO YANGU KWA DAMU YA YESU.KILA KITI CHA KISHETANI KILICHOSHIKILIA MAONO YANGU NA KUYAZUIA,LEO NAKIPASUA KWA JINA LA YESU.EWE MKUU WA BAHARI,ANGA,ARDHI ULIYE NA UNAYEMILIKI MAONO YANGU NAKULIPUA KWA MOTO WA ROHO MTAKATIFU.LEO MAONO YANGU YATIMIE KWA JINA LA YESU,MAONO YANGU YA HUDUMA YATIMIE,MAONO YANGU YA KUSOMA, YATIMIE,MAONO YANGU YAKUJENGA NYUMBA,NDOA,KUZAA,KUOA,KUOLEWA NK YATIMIE KWA JINA LA YESU.NASAMBAZA DAMU YA YESU IENDE KILA MADHABAHU ZA KISHETANI IKAHARIBU NGUVU ZAO KWA JINA LA YESU.NINAANGAMIZA KILA MIPANGO MIBAYA JUU YA MAONO YANGU KWA JINA LA YESU.NATEMBEZA MOTO KILA MAHALI PENYE MAONO YANGU YALIYOKAMATWA,KILA KUZIMU YOYOTE ILIYOKAMATA MAONO YANGU NALIPUA KWA JINA LA YESU.NAMSAMBALATISHA KILA MTAWALA WA MAONO YANGU ANAYE YAMILIKI KWA JINA LA YESU.AMEN
MUNGU AWABARIKI NINI NYOOTE