Kiongozi wa kiroho anapaswa kuyatekeleza mambo yafuatayo
1.Kuwa na Nia ya kuwajili wengine
Unapokuwa kiongozi unapaswa kuwa na Nia nzuri kwa wale unaowaongoza.Nia NI idara ya fikra,hivyo kill unachofikilia au kukiwaza je,Nia yako NI kuwafanya watu wamjue Mungu,kuwasaidia na sio kuwanyonya au kuwalazimisha kutekeleza Jambo Fulani halafu wao hawana uwezo nalo,Nia yako siku zote yakupasa iwe njema
"Iweni na Nia iyo hiyo NDANI yenu ambayo ilikuwamo pia NDANI ya Kristo Yesu" Wafilipi 2:5
2.Kuwapatanisha watu na Mungu
Yohana 8:26-30
3.Kuwa na hekima
1Wafalme 10:1-4
4.Kuwa na uweza
5.Kuwa na maarifa
6.Kumcha Mungu
Isaya
No comments:
Post a Comment