FIMBO YA MUNGU
Fimbo ni
kifaa kinachotumika katika kutegemea mfano wapanda milima huwa wanatumia fimbo
kama kitegemezi ambacho kinawarahisishia kupanda mlima vizuri.
Fimbo kiroho
ni mtu aliye na neno la Mungu ambalo linaweza likamsaidia kwenye utegemezi.Kutoka
17:9---,Zaburi 2:8-9,Mithali 22:15,Mithali 23:13-14,Waebrania 1:7-8.Yesu Kristo
ni fimbo tembelea
KUONDOA NGUVU YA KABURI YA KISHETANI
Hosea
13:14,Zaburi 49:15,Zaburi 6:5
KUWAANGAMIZA WATAABISHAJI WETU
Mtaabishaji
linatokana na neno taabika.Mtaabishaji ni mtu
anayeumiza,teas,haribu,anayekukosesha amani,raha n.k anataabisha
kazi,ndoa,biashara,masomo na elimu,watoto,huduma n.k 1Wafalme 18:13-40.Omri
alikuwa ni Jemedari wa jeshi alitawala Israeli,baada ya kufa akashikilia motto
wake Ahabu ambaye alitawala miaka 22 wakati wa kipindi cha mfalme Asa.Baadaye
alimuoa Yezebeli binti Ethbaali mfalme wa Sidoni.
Ahabu
alifanya mabaya machoni pa Mungu alimjengea baali madhabahu na Ashera.1Wafalme
19:15-17,2Wafalme 10:18-28
Maombi
-kuwakusanya
wataabishaji
-kuwapiga
wataabishaji
KUONDOA ROHO ZA MAGONJWA
Kutoka
23:25,Kutoka 7:15,2Wafalme 1:2,Mathayo 4:23
UTAITWA MBARIKIWA
Mbarikiwa ni
mtu aliye na Baraka/aliyepata Baraka (mafanikio) mfano
fedha,ndoa,elimu,kazi,afya njema,mali,ustawi n.k Luka 1:42-48,Luka 1:49-50,Luka
1:26-41,Luka 3:3-6
SIRI YA MAOMBI
2Wafalme
20:3-9,Zaburi 54:2
KUMFUNGA MKUU WA KUZIMU
Ufunuo
20:1-10,Mathayo 16:19
KILA ULITENDALO LITAFANIKIWA
Zaburi
1:1-3,Isaya 55:11,Torati 6:3,Torati 6:18,Torati 12:28,Yoshua 1:7,1Wafalme
2:3,Ayubu 12:16,Zaburi 122:7
UTAPATA SHANGWE NA FURAHA
Isaya
51:11,Zaburi 126:5,Isaya 25:8
UPEPO WA UHARIBIFU
Upepo ni
hali Fulani isiyoweza kuonekana wala kushikika.Yohana 3:8,Mhubiri 11:5,Marko
4:35-41
UZIMA NDANI YAKO
1Yohana
5:11-14,Mathayo 7:7----
YESU NI MWAMINIFU
1Wathesalonike
5:16----
NURU IMEWAANGAZA
Isaya 9:1-7
KUWA JUU YA FALME
Yeremia
1:4----
Maana yake
Mungu amekuumba kwa makusudi,kuna kusudi juu yako ,atakupa na kazi ya kufanya.
NAIENDEA NCHI YENYE MAZIWA NA ASALI
Maana yake
ni kumiliki mafanikio,Hesabu 13:25-33,Hesabu 14:1-9,Torati 1:21,Yoshua
1:3-9,Yoshua 2:24
UTUMISHI (MTUMISHI)
Utumishi ni
uwezo wa kutumika kwa ajili yaw engine
Mtumishi ni
mtu anayetumika kwa ajili yaw engine au kuwa mtumwa kwa wengine.Marko
10:42-45,Luka 22:24-27,Yohana 31:12-16,1Petro 5:2-6
Kanuni za utumishi (mtumishi)
·
Mnyenyekevu
na mpole Mathayo 11:29
·
Mwenye
heshima 1Petro 3:7
·
Mwenye
Roho Mtakatifu Matendo 2:4
·
Anauwezo
wa kufundisha na mvumilivu 2Timotheo 2:24-26
·
Mtii
Waefeso 6:5
·
Mwaminifu
na mwenye imani Luka 16:10,Waebrania 11:29