ROHO YA UFUKARA
Ufukara ni
hali ya kuishi zaidi ya umasikini.Ufukara ni roho inayoishi ndani ya nchi na
familia,ukiangalia familia nyingi za Kiafrika na zile nchi zinazoendelea,roho
hizi zinaendelea kizazi baada ya kizazi,kutoka ukoo au familia.Mambo waliyoyafanya
huko nyuma na vitu hivi vinaenda mpaka kwenye damu,bila kuvunja na kujitenga
huwa zinafuatilia.Yeremia 17:5-8
MALI ILIYOFICHWA
Mali ni
Baraka.Isaya 45:3
KUFUTA RATIBA ZA KUZIMU
Ratiba ni mpangilio au utaratibu uliowekwa
kwa makusudi ya jambo Fulani mfano ratibaza kanisani,ratiba za harusi,ratiba za
mikutano,ratiba za nchi,ratiba binafsi
Nuru:Mungu alimwambia atengeneze safina
maana ataachilia mvua siku 40 Mwanzo 7:11-12
Ratiba za
kishetani/kuzimu ni ratiba anazotumia shetani kwa kutumia mawakala wake,ni
namna gani wamuandalie mtu jambo baya,muda,mwezi,tarehe,mwaka,siku huwa
wanazingatia vitu hivi.Waamuzi 16:15-17
KUFUTA DAMU ILIYOMWAGWA KWA AJILI
YAKO
Damu ya Yesu
ilimwagwa kwa ajili ya anguko la dhambi Mwanzo 26:28 na kwenye damu kuna uzima
Yohana 6:54-56,Warumi 3:15,Torati 12:23,Zaburi 79:3
ARDHI IKUTAMBUE
Kuna siri
kubwa kwenye ardhi (udongo) nchi.Maisha ya mtu yako kwenye ardhi. Mwanzo
2:7,Mwanzo 3:17.Tabu unayopitia inatokana kwenye ardhi Yeremia 22:29-30,Mfalme
wa Yuda alionea mgeni,mjane,yatima Isaya 34:9,Ayubu 28:5-6,ufunuo 12:15-16
KUTAMBUA NYAKATI
Nyakati ni
mabadiliko ya vipindi
Aina za nyakati Kibiblia
i.
Wakati
wa uumbaji (Adamu)
ii.
Wakati
wa sheria (Musa/Yoshua)
iii.
Wakati
wa Waamuzi (Deborah,Samsoni)
iv.
Wakati
wa Wafalme (Sauli,Daudi)
v.
Wakati
wa Manabii (Isaya,Yeremia)
vi.
Wakati
wa injili ya mbinguni (Yesu)
vii.
Wakati
wa nyakati za Mitume (Paulo,Petro,Mathayo n.k)
viii.
Wakati
wa ufunuo na uumbaji Mpya
Mwanzo 1:1----