Thursday, February 24, 2022

MIKATABA YA MOTO PART 2

 Baada ya kukirishwa maneno na kupokea kipigo ambacho hujawai pigwa,kumbuka Kuna MAJINA ya sehemu hiyo wao wameweka kinamba,Kuna namba 6,5,4,3,2 zote sehemu hizo unakula kipigo.Namba moja unapelekwa kunyooshwa then unapigwa usingizi mzito na kupelekwa namba 6 na kukurudisha nyumbani kwako na kutoa/kukutoa kumbukumbu zako yaani wanayachomoa matukio,ukiamka unasema nimeota ndoto za kutisha,Kama uliota ndoto za kutisha Tisha na hukumbuki, lengo la shetani NI usitafute msaada,unajisikia amani kwenda kinyume na mapenzi ya Mungu.Mambo ya Ki-Mungu huna habari nayo na unachoka,kuomba unashindwa kusoma Biblia usingizi mzito Sana hata mistari miwili umalizi yaani unachoka.Mfano ukaamua kuanza kumtafuta Mungu,yanatumwa mapepo na wanaacha kazi zao ili wakushughulikie na kuhakikisha unarudi au unakuwa upande wao.Mtu mwenye mkataba wa Moto akaombewa mfano kuacha ulevi,uzinzi,uasherati,wizi n.k anarudia Tena na Tena,hawezi kuacha atajitahidi siku mbili au wiki moja hata mwezi mtamkuta Tena anafanya yaleyale na yuko radhi kupewa Sala ya toba,ukikutana na mtu Kama huyo muombee kwa kuvunja mikataba ya Moto aliyounganishwa kwa kwa kujua au kutokujitambua

KWA MTU ALIYEOKOKA

Shetani atakuuliza unataka kumtumikia Yesu au shetani?ukisema nitamtumikia Yesu, unapelekwa kwa bwana Moto,atakupokea HUYU MWILI wake wore unawaka Moto au tuseme umejengwa kwa Moto,ukiingizwa huko anamchomoa mtu wako wa NDANI kwa kukupasua sehemu yako ya kifua na anamchomoa mtu wa NDANI na anaweka pepo NDANI yako na kukurudisha na hukumbuki unamkataba unakuwa na siku 7-10,KILA baada ya siku 7,8 ugonjwa unakusumbua,hapa wanakuwekea MWILI wa kuzimu kwa matarumbeta na unapelekwa zone namba 9.Hapa Kuna uzio wa kioo kwenda zone namba 10 yaani NI uwanda wa mateso.Sehemu hii ndiyo ya kwenda kwa Mungu au kwa shetani.Mpaka hapo utakuwa umenielewa,Cha kuongezeka je,utafanyaje Sasa mtu asiingie,asiingizwe huko maana watu wengi wameunganishwa bill was kujua au kutokujua,Sasa Cha kukusaidia omba Maombi haya

MAOMBI YA KUJITOA KWENYE MIKATABA YA MOTO

1.Omba msamaha mbele za Mungu,muambie akusamehe maovu yako yote

2.Wasamehe wore waliokukosea na uwaacholie,Biblia inasema msipo wasamehe watu makosa Yao hata Baba wa mbinguni hata wasamehe ninyi makosa yenu,achilieni nanyi mtaachiliwa

3.Jivue KILA MWILI wa kuzimu uliovishwa

4.Mkomboe mtu wako wa NDANI

5.Vunja mikataba yote ya Moto uliyounganishwa kwa kujua au kwa kutokujua

BWANA YESU awe pamoja nawe na akupe kibali Cha kuomba



Wednesday, February 23, 2022

MAOMBI YA KUJINASUA NA MIKATABA YA PICHA

 MAOMBI haya inabidi uombe kwa imani usiwe na Shaka yoyote

MAOMBI

NINAVUNJA KILA MADHABAHU ZA TALAKA KWENYE NDOA KATIKA JINA LA YESU.NINAKOMBOA KITOVU CHANGU MAHALI POPOTE KILIPO,NINAKOMBOA VITOVU VYA WATOTO  WANGU KWA JINA LA YESU . NINAKOMBOA NGUO ZANGU KWA JINA LA YESU.NINAKOMBOA CHOCHOTE KINACHONIHUSU KWA JINA LA YESU.NINAKOMBOA CHOCHOTE KINACHONIHUSU WATOTO WANGU KWA JINA LA YESU,KILA PICHA ZANGU ZILIPOWEKWA KWENYE CHUNGU,CHUPA,KIBUYU NA MAHALI POPOTE,KILA PICHA ZA WATOTO WANGU NAZIKOMBOA TOKEA MAHALI POPOTE KWA JINA LA YESU,MAJINA YANGU NA YA FAMILIA YANGU YALIYOPELEKWA KWENYE MADHABAHU ZA KISHETANI NINAYAKOMBOA,KILA DAMU YANGU ILIYOCHUKULIWA NA MGANGA WA KIENYEJI NA KUIWEKA KWENYE MADHABAHU ZAKE NAIBADILISHA KWA JINA LA YESU.KILA MASHETANI YANAYOSIMAMIA PICHA ZANGU,KILA MAUTI,MMAGONJWA YALIYOTENGENEZWA KUPITIA PICHA ZANGU TEKETEA,KILA PICHA ZA FAMILIA YANGU NAZIKOMBOA,NAZIKOMBOA PICHA ZETU KWA DAMU YA YESU.KILA PICHA ZETU ZILIPOWEKWA KWENYE VYOO,NDANI YA CHOO,NDANI YA SHIMO LEO NAZIKOMBOA.NYOTA ZANGU NAZIKOMBOA,ZA WATOTO ZA MKE/MME NAZIKOMBOA KWA DAMU YA YESU KRISTO.KILA AINA YA PICHA YANGU WALIYOININ'GINIZA KWA MGANGA NAIKOMBOA,IWE PORINI NA SEHEMU YOYOTE KWA JINA LA YESU.KILA MTU ANAYENUIZIA PICHA ZANGU NAMRIPUA KWA MOTO WA ROHO MTAKATIFU.KILA PICHA ZANGU ZILIZOZIKWA KWENYE MAKABURI,MAJENEZA,BAHARINI LEO NAZIKOMBOA.KILA PICHA NA NYOTA ZANGU ZILIZOFANYIKA NA KANIKI,KITAMBAA CHEUSI AU KITAMBAA CHA AINA YOYOTE,NAACHILIA MOTO KWA JINA LA YESU.KILA MIKOBA YENYE PICHA ZANGU NINAZIKOMBOA,KILA PANGO LENYE PICHA ZANGU NAZIKOMBOA,NINAKWENDA KUJIKOMBOA PICHA NA NYOTA ZANGU KWA  JINA LA YESU, NINAKOMBOA PICHA ZANGU KWENYE MITO, MAZIWA,MABONDE,KILA PICHA ZANGU ZILIPOWEKWA KUZIMU,NAZIKOMBOA,NATUMA MALAIKA TOKA MBINGUNI WAENDE WAKAKOMBOE PICHA NA NYOTA ZANGU KWA JINA LA YESU.KILA KITI CHA KISHETANI KILICHOSHIKILIA NA KUMILIKI PICHA NA NYOTA  ZANGU,NAKIPASUA KWA JINA LAYESU.ENYI MASHETANI ACHIAA PICHA NA NYOTA ZANGU KWA JINA LA YESU.

Nipende kusema Maombi haya NI machache,unaweza kuendelea kuomba MAOMBI mengine zaidi ya hayo ya kukomboa picha na nyota zako na familia yako katika jina la Yesu

BWANA YESU AKUFUNGUE,KWA JINA LA YESU.AMEN!!!!!!!

MIKATABA YA PICHA NA JINSI YA KUJINASUA

 Mikataba ya picha

Sasa hivi kutokana na kukua kwa teknolojia hasa ya mawasaliano.Kuna mitandao ya kijamii mbali mbali ipo a inaanzishwa kwa kasi,mfano Facebook,ins Instagram, WhatsApp, Twitter no., ambapo zinakupa Uhuru wa kutuma picha,maneno na hata video.Shetani naye anatumia mbinu zake kwa kushirikiana na mawakala wake ili wakupate au wampate mtu.Siku hizi unaweza kukuta mtu amegombana na mwenzake,utakutana amepost hisia zake kwenye mitandao (DON'T POST YOUR FEELING IN SOCIAL NETWORKS

Inawezekana ulipiga picha na mtu ulinua NI kwa furaha tu,kumbe mwenzako alikuwa na Nia mbaya na wewe.Au anaichukua picha yako kutokana kwenye mtandao wa kijamii.Inawezekana happy Mwanzo ulikuwa na mpenzi wako lakini zikatokea sintofahamu ukamuacha,ulipiga picha naye au ulimpa picha zako au Kuna mtu alichukua picha zako za harusi n.k

Anampelekea mganga wa  kienyeji ili aifanyie vitu Fulani Fulani vibaya, mganga huyo anaweza

1.Kuizika picha hiyo kwenye kaburi

2.Kuikata kata na visu au viwembe na vitu vingine vyenye ncha Kali3.Kuichora vitu Fulani

4.Kuihifadhi kwenye chungu,kibuyu,chupa n.k

5.Wanaweza kuichoma Moto na majivu wakayaifadhi

6.Wanaweza kuining'iniza sehemu mbalimbali

Na mambo kadha wa kadha ,wakazifanyia JINSI wanayotaka wait,ili mambo mabaya yampate mtu.

"Simama Sasa na uganga wako na wingi wa uchawi wako,uliojitaabisha nao tangu ujana wako,labda unaweza KUPATA faida,labda unaweza kushinda".Isaya 47:12

Mtu anapokwenda kwa mganga akishampa picha ya mtu husika.Aliyepeleka atadaiwa apeleke jina la muhusika,apeleke kuku,mbuzi,ng'ombe n.k. Ataandaa vitu kwa ajili ya kutimiza Hilo kusudi lake baya,Ataandaa madhabahu,kafara ataipeleka kwa miungu yake

"Lakini watendeeni hivi,zivunjeni madhabahu zao zibomosheni nguzo zao,yakateni maashera Yao,ziteketezeni kwa Moto sanamu zao za kuchonga".Torati 7:5

Wanaiunganisha picha hiyo kwa miungu Yao kwa kuifanyia mikataba I'll mtu yule apate matatizo Kama vile laana,mauti,usiolewe au kuoa,kuvunja ndoa,masomo,kazi, biashara,nuksi,shida,taabu na Kila Aina ya udhaifu.Leo tunakwenda kuvunja mikataba ya picha kwa jina la Yesu Kristo

MAOMBI YA KUVUNJA MIKATABA YA PICHA

BABA MUNGU KATIKA JANA LA YESU,BWANA YESU NAKUOMBA UNISAMEHE DHAMBI ZANGU ZOTE KATIKA JINA LA YESU.ASANTE YESU KWA KUNISAMEHE.NINAALIKA MALAIKA KUTOKA MBINGUNI WAUNGANE NAMI,ROHO MTAKATIFU AUNGANE NAMI KATIKA VITA HII KWA JINA LA YESU.NINAINGIA KWENYE ULIMWENGU WA ROHO MUDA HUU NA MALAIKA WA MBINGUNI NA ROHO MTAKATIFU,NINASIMAMA KINYUME NA KILA MADHABAHU ZA KISHETANI ZILIZOFANYIKA KWENYE PICHA ZANGU,NINAVUNJA KILA MIKATABA YA PICHA ILIYOFANYWA JUU YANGU,NINAVUNJA KILA MIKATABA ILIYOFANYWA KWA WATOTO WANGU,NINAHARIBU KAFARA ZOTE ZILIZOTOLEWA JUU YA PICHA YANGU KWA JINA LA YESU.NINAHARIBU KILA KAFARA ZOTE ZILIZOTOLEWA KWENYE PICHA ZA WATOTO WANGU,NINAWATEKETEZA MIUNGU WOTE WA MADHABAHU ZA KISHETANI KWA JINA LA YESU,NINATEKETEZA MUNGU WA MADHABAHU ZA KISHETANI KWA JINA LA YESU.KILA PICHA ZANGU ZILIZOPELEKWA KWENYE MADHABAHU ZA KICHAWI NAZIBOMOA KWA JINA LA YESU,KILA PICHA ZA WATOTO WANGU  ZILIZOPELEKWA KWENYE MADHABAHU ZA KICHAWI,NAZIBOMOA,KILA MAHALI POPOTE PICHA ZANGU ZILIPOWEKWA KWENYE MAKABURI NINAZIKOMBOA,KILA MAHALI POPOTE ZILIPOWEKWA PICHA ZA WATOTO WANGU NAZIKOMBOA,NINAKOMBOA NYWELE ZANGU KUTOKA KWENYE MADHABAHU ZA KISHETANI



Monday, February 21, 2022

MIKATABA YA MOTO

 Mikataba ya Moto hii NI unaweka Kati ya mtu na shetani ukiwa na akili zako zote,shetani anapenda Kila mtu aishi kwa mapenzi yake.Unapokuwa umelala yanatumwa mapepo na kukubeba wanakupeleka sehemu inayoitwa SEHEMU YA MOTO,hapa unabebwa mzima mzima siyo roho yako na wanahakikisha ulinzi unawekwa was kutosha kwenye nyumba yako, yaani asitokee mtu akazuia Kama NI mtu wa MAOMBI wanahakikisha wore wamelala usingizi.Ukifika huko unaamshwa na unaulizwa unataka kwenda kinyume na mapenzi ya shetani?

ANAYEPELEKWA HUKO

NI mtu aliyesikia ijili akaokoka na kuacha,NI mtu aliyesikia injili akaokoka lakini anatamani kuacha,aliyesikia injili,akaombewa na Hana mashaka kabisa na YESU I'll I'll hajawai kuokoka,anasema najipanga Kwanza.Ukiwa kule chagua moja ukitaka kumtumikia Mungu wako hutoki.Kama unataka kumtumikia shetani utarudi nyumbani mwako na mkataba,unakirishwa maneno na unapokea kipigo.Ngoja niishie hapa nitaendelea part 2

Saturday, February 19, 2022

RATIBA MPYA YA TAMISEMI KWA SHULE ZOTE



 

Hii ni RATIBA MPYA ya shule zote za Tanzania

NJIA RAHISI KABISA YA KUWEKA MATANGAZO KWENYE BLOG YAKO

 Kwa kawaida Kuna makampuni mbali mbali ya matangazo ambayo yanasaidia blog zizidi kuendelea kwa kuweka matangazo Yao.Makampuni hayo Kila mmoja anamasharti yake, kampuni hizo zingine masharti Yao NI magumu Kama ukiangalia nchi Kama Tanzania,mtu umwambie tunatakiwa Blog YAKO iwe na content za kiingereza (English Language), nakuambia hapo hizo content zitakutaka na is zoo na but also nyingi Sana na hata ujumbe anaotaka kuufikisha kwa watu itakuwa kazi ngumu mno na hata hao walengwa wenyewe English haipandi kiviile na ukipelekea Watanzania hatutaki kusoma soma vitabu na makala mbali mbali ataona anapoteza muda tu kwenye content zako za English Language, mfano kampuni ya Adsense wao wanataka Blog YAKO iwe na content za English Sasa unadhani umeandika kindengeleko, kingoni, kinyamwanga, kindali nk,watakupa matangazo?happy no BIG NO!!!

Sasa naona unashauku kubwa ya kujua yaliyomo si ndiyo, yaliyomo yanafurahisha na kazi inaendelea.Sasa Basi nitazungumzia makampuni machache tu ambayo hayachagui lugha YAKO na namna ya kuweka matangazo Yao au kukubaliwa kwa urahisi.Soma Kwanza kwa kuyasoma hayo maelekezo Kwanza sio kukimbilia mbele tu wakati umeacha maelekezo nyuma ambayo yanasaidia kufanikisha hicho unachokiitaji baadae ukafanya YAKO wakakukatalia ukasema Mimi nimekudanga.Watanzania sisi tunapenda kumtangulia mtu yaani tunataka short cut.Soma Kwanza maelekezo hapo.Pole kwa kueleza maneno mengi ndugu yangu.Haya Sasa soma maelezo haya kwa umakini usipokuwa makini hujaelewa na Mimi nitatumia short cut Kama wewe unavyopenda.

MAKAMPUNI HAYA HAYACHAGUI LUGHA

1.Revenuehits

Hii NI kampuni bora Sana kwako ya matangazo,chakufanya nenda kwenye Google andika Revenuehits.com baada ya hapo sign up au creat.Jaza details zako unazotakiwa JINSI wanavyokuambia,kuelekeza,ukifanikisha kujisajili,watakutumia ujumbe kwenye email YAKO,kumbuka iwe active.Sasa fuata maelekezo wanayokuambia then malizia yote wanayotaka wao.Kama unapewa jibu siku hiyo hiyo NI sawa ila uwe unaifungua baada ya dakika 3-5.Tufanye umemaliza usajili.Nenda kwenye Google ifungue blog yako,hapa NI vyema utumie computer na sio simu maana ukipewa hizo code utapesti kivipi?

How can you copy and paste?

Hapa zingatia uwe unaifungua TAB mbili au tatu, yaani ya Blog YAKO, Revenuehits na email YAKO.Haya Sasa upo kwenye Dashboard ya Revenuehits,nenda kwenye New placement chagua Desk top placement,select your placement mfano unataka matangazo ya banner, pop-under,slide nk.Fuata maelekezo happy unapewa code,copy hizo code na nenda kwenye blog yako,fuata sehemu iliyoandikwa LAYOUT and click add a gadget,bofya HTML/JavaScript and paste ad copy zako hapa.Baada ya hapo bofya save,mpaka happy utakuwa umemaliza

2.Adsterra

Hapa sitarudia Tena maelekezo yaliyopita Kama unaipenda hii kampuni ya matangazo niliyokueleza happy juu kwenye Revenuehits.Mtu anaweza kujiuliza nayo hii inakubali lugha yoyote?jibu NI ndiyo inakubali lugha yoyote hata kisukuma.Nenda kwenye blog yako,seh seh ya menu tafuta LAYOUT click add a gadget,select HTML/JavaScript na upesti code zako hapa.Bofya save,mchezo hapo utakuwa umemaliza

3.Bidvertiser

Nenda kwenye LAYOUT ya blog yako click widget (add a new widget),bofya HTML/JavaScript widget na paste code hizo ulizopewa,baada ya hapo bofya save.Kazi umeimaliza

4.Propeller

Hii pia inakubali lugha yoyote futa kile wanachokuelekeza na maelekezo niliyokuamboa happy yatumie Kama ujuzi.

Nipende kusema hongera Sana najua utakuwa umeelewa,lakini Kama hujaelewa unaweza kunitumia sms au ukanipigia simu hii:0765101507,+255765101507.ASANTE SANA YATENDEE KAZI HAYO



Thursday, February 10, 2022

NAFSI YA MTU

 Nafsi:NI ile sehemu ambayo in ufahamu was mtu mwenyewe au kiini Cha ubinafsi wa mtu

Nafsi unaweza kusema NI sehemu yenye ufahamu ambapo vitu vyake kujifunza au elimu au kumbukumbu vinakaa happy.

Na Roho huipa nafsi nguvu au kuwa mahiri kwenye eneo Fulani ambalo rohoni umebarikiwa ili hicho kitu kizihirke kwenye ulimwengu wa MWILI na kazi ya nafsi NI kufikiri,kutafakari,kuona hisia,utashi,Nia,kuamua,upendo no"BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi,akampulizia puani pumzi ya uhai mtu akawa nafsi hai".Mwanzo 2:7

"Ndivyo ilivyoandikwa mtu wa Kwanza,Adamu,akawa nafsi iliyo hai,Adam A wa mwisho NI roho yenye kuhuisha".1Wakorintho 15:45

"Vivyo hivyo na imani isipokuwa in matendo imekufa nafsini mwake". Yakobo 2:17

"Ambaye nafsi ya kilichoweka hai I mikononi mwake.Na pumzi zao wanadamu wore"".Ayubu 12:10

Hivyo nafsi ya mtu anaweza kufungwa ili yule mtu aliyekusudiwa na Mungu happy duniani kuyatenda you're yampasayo mtu huyo atashindwa.Kwahiyo nafsi inawezwa kuwekwa kifungoni

"Uitoe nafsi yangu kifungoni.Nipate kulishukuru jina lako.Wenye haki watanizunguka,kwa kuwa wewe unanikirimu".Zaburi 142:7

"Maana fadhili zako kwangu NI nyingi Sana,umeiopoa nafsi yangu na kuzimu". Zaburi 86:13

"Maana umeniponya nafsi yangu na mauti,je,hukuizuia miguu yangu isianguke?Ili nienende mbele za Mungu katika nuru ya walio hai". Zaburi 56:13

MAOMBI

BABA Mungu katika jina la Yesu Kristo ,leo ninasimama kinyume na kala roho zote za Giza zilizofunga nafsi yangu,nakivunja Kila kifungo kilichofunga nafsi yangu kwa jina la Yesu.Ninaiopoa nafsi yangu ilipowekwa kuzimu na mtu awaye yoyote kwa jina la Yesu.Kila falme za Giza zilizoichukua nafsi yangu ninaiamuru niachie mara moja kwa jina la Yes.Katika jina laYesu Kristo ewe nafsi yangu nisikie mahali popote ulipo,Leo nakutoa happy ulipo kwa jina la Yes.Kila anayeniharibia nafsi yangu isiniletee matunda mema,leo naamuru upigwe na kupiga kwa jina la Yes Yesu.Kila aliyeitaabisha nafsi yangu kwa mateso nakuchoma Moto mpaka majivu kwa jina la Yes.Ewe mzimu wa familia,ukoo,mji,nchi uliyeizuia nafsi yangu nafanya Vita na wewe kwa jina la Yes.Nafsi yangu ulipo wekwa chini ya mti, nakutoa kwa jina la Yes.afsi yangu ilipowekwa juu ya mti,leo nakutoa happy kwenye huo mti kwa jina la Yes.Nafsi yangu ilipowekwa madukani,kwe kwe ofisi, kwenye magodauni leo nakutoa kwa jina la Yes.Kila aliyefunga nafsi yangu nakuponda kwa nyundo ya Bwana Yes,kati ka jina la Yes.Kila shimo ,kaburini lililofunga nafsi yangu leo Sasa hivi naikomboa kwa jina la Yes.Kila pingu lililofunga nafsi yangu naliwashia Moto kwa jina la Yes.Kila wakala wa kishetani aliyeitaabisha au anayeitawala nafsi yangu leo naitoa kwenye utawala wako kwa jina la Yes.Kila gereza,Kila nyumba iliyofunga nafsi yangu leo naivunja kwa jina la Yes.Kila jeneza lililoweka nafsi yangu NDANI yake nalipasua na kulichoma Moto kwa jina la Yes.Kila anga lililokamata nafsi yangu leo niachie mara moja kwa jina la Yes.Kila sayari iliyo au inayoimiliki nafsi yangu leo natuma malaika wa mbinguni wa Yes Kristo wakaitoe nafsi yangu kwa jina la Yes.Ewe jua unayoichoma nafsi yangu leo nakuripua kwa jina la Yes Kristo.Ewe mwezi ulioishikilia nafsi yangu leo niachie mara moja kwa jina la Yes.Kila kimondo kilichofunga nafsi yangu leo Sasa hivi nakutowesha kwa jina la Yes.Ewe nafsi yangu nakutoa kwenye Kila bahari ilipowekwa iwe chini ya bahari au juu ya bahari nakukomboa kwa Moto kwa jina la Yes.Kila kisiwa kilichofunga nafsi yangu leo nakuteketeza kwa jina la Yes.Kila choo au bafu la kuogea lililoweka nafsi yangu leo niachie kwa jina la Yes.Kila shamba lililoweka nafsi yangu leo nalitekeza kwa Moto wa Roho Mtakatifu,kwa jina la Yes Kristo


SEHEMU ZA MTU KIROHO PART 2

 Mwanzo niliishia sehemu ya nne za mtu kiroho.Kumbuka mwanadamu silaha kubwa aliyokumpa Mungu NI MAOMBI na Kila mtu anaye adui wake ama unajua ama ujui.Sasa hebu tuendelee

5.Mji wa heshima:Hii NI sehemu inayohusika na mtu kuheshimiwa sio kuogopwa,maana kun kuheshimiwa na kuogopwa NI vitu viwili tofauti.Ni Bora kiongozi au mzazi watu wakuheshimu kuliko kukuogopa,maana watafanya vitu NI kwasababu ya kukuogopa, unaweza kutoa hojo Kila mtu anasema ndiyooo mkuu ujua wanakudanganya lakini akitokea wakusema hapana huyo unapaswa kumsikiliza vizuri.Sehumu Hii NI ya adabu,hekima,busara za mtu,utii,no,na sio kutii Kila kitu wakati unaona Kuna hatari.Sehemu Hii ndiyo itiayo mfanya mtu au kiongozi aongoze,Kuna mtu akikuona leo anatamani akuone Tena au akusikie Tena,kwanini NI kwasababu ya heshima uliyonayo.Kwahiyo ukimuona mtu Hana heshima ujue sehemu hii imeharibiwa,mfa mf unamkuta mtu anadharauliwa,kupuuzwa,kuvaa nguo fupi,milegezo no,watu kwa vili hawamtakii mema utawasikia umependeza Sana lakini muhusika hajui kama hiyo NI kejeli.

6.Mji wa mapombano:NI sehemu inayohusika na nguvu za KIROHO,NI uwanja wa Vita,Vita ninayozungumzia hapa siyo ya kimwili Bali NI ya rohoni yaani nguvu za KIROHO ,mashambulizi you're yanafanyaka hapa.Pepo akitumwa anakuja happy anatawala then anafanya mashambulizi--aumivu.Hapa NI kituo Cha pepo aliyetumwa,pepo linaweza kukaa Kama hakiba.Ndiyo maana tunatakiwa kuomba MAOMBI ya kupambana mtu unapaswa kuwa na nguvu za KIROHO ,JINSI unavyoomba nguvu zinaongezeka.Ukimuona mtu anashindwa kuomba hata maneno kumi ujue sehemu hiyo imeshambuliwa leo mtoe pepo aliyakaa kwenye mji wako wa mapombano kwa jina la  Yes Kristo.Kikawaida unapokoka tu unapewa nguvu hiyo ili Sasa iweze kuongezeka NI bidii YAKO sasa 

7.Mji wa ndoto:NI sehemu inayohusika na uweza,nyota.Kikawaida Kila mtu anaota ndoto hata mtoto mdogo,ukimsikia mtu anasema Mimi sioti ndoto sio kweli anaota ila anazisahau kutokana na sababu mbalimbali yamkini shetani ameiiba,ndoto asili yake NI Kama upepo,pia ulikuwa ulimwengu wa roho no ndiyo maana umesahau.Kikawaida mtu kwa siku anaota ndoto elfu 10, ndoto ndiyo kihashilia mtu atakuwa nani,vile vile happy ndipo penye uwezo wa kutafsiri ndoto mfano Yusufu mwana wa Yakobo aliota ndoto zaidi ya moja,Mungu alikuwa anamuonyesha atakuja kuwa kiongozi mkubwa,soma Mwanzo 37:1-36;sura ya 40'41 zote utaona habari yake

8.Sheria:NI sehemu inayohusika na kanuni,taratibu,hiyari ya kutenda jambo,kufuata sheria,mtu anaweza kufanya Jambo kubwa kuliko uwezo wake.Vile vili NI kanunu unazojiwekea kwamba kill siku lazima niombe kuanzia saa sita usiku au saa nane,asubuhi ukiamka,au kutofanya mambo mabaya no.

Sasa nimeeleza mambo mbalimbali kuhusiana na sehemu hizi za mtu kiroho,mtu anaenda kwa mganga wa kienyeji na huyo mganga anadeal na hayo.Kuwa making muombe Mungu siku zote bill kukata tamaa Kama jibu hujalipata Leo kesho utalipata.Mungu akubariki na kukulinda katika jina la Yesu Kristo.

Kama hujaelewa unaweza kuwasiliana nami kwa namba hizi 0765101507,Outside  TZ +255765101507(TANZANIA)

SEHEMU ZA MTU KIROHO

 Kikawaida sisi wanadamu tuna sehemu mbalimbali kiroho,hizo zikiharibiwa happy mtu maisha yake kimwili na hata mambo ya kiroho mtu huyo anaaribikiwa.Na shetani anadili Sana na vitu hivyo,au tuseme mawakala wake wanaangalia vitu hivyo kwa mtu na kuanza kuviharibu au kuweka vitu vyake vingine.Mfano utamsikia mtu anasema tutaona Kama utaolewa,au utafanikiwa katika maisha YAKO,ujue mtu huyo anakwenda kudili na vitu nane ambavyo Kila mtu anavyo

 Au mtu anaweza asikuambie moja kwa moja lakini akitaka kukuharibia anafanya vitu vyake kwa kutamka maneno mabaya juu ya mtu,hata watumishi was Mungu utamsikia anasema tutaona au anasema nakufut kazi na na mambo mengine mabaya,Leo nataka nikupe Siri yake anavyo fanya.Kitu Cha Kwanza atafunga mifungo kwa ajili YAKO na kuomba MAOMBI ya uharibifu na wewe Wala hujui chochote kinachoendelea,unanyamaza hauombi nakuambia mabaya yatakuja kwanini wanasimamia neno linalosema maneno NI roho,Tena NI uzima  na wachawi wanafanya hivyo hivyo na ndiyo maana Yes anasema tuombe Kila siku.Ukifuatilia makala zangu nalisha Seema namna ya kufanya MAOMBI,hakika mpaka happy umenielewa,Sasa Basi hebu twende tuziangalie hizo sehemu.

1.Mji wa mafanikio:Sehem S hii inahusika na utajiri wa mtu,mali, mafanikio,Raha,starehe,furaha, maisha mazuri,n.k ukiona mtu afanikiwi ujue Kuna mtu amefanya yake happy.

2.Mji wa afya:Hii NI sehemu inayohusika na afya,uhai,uwepo,kifo no.Hivyo ukiona mtu mgonjwa Kila siku ujue happy sehemu ya mji wa agya umeharibiwa,kwahiyo ombea afya yako,wanajua ukiwa mgonjwa huwezi kufanya kazi,biashara,kulima no.

3.Mji wa mahusiano:Hii NI sehemu ya undugu,ujamaa,urafiki,ndoa na mambo yote yanayohusiana na mahusiano iwe kazini,kwe kwe biashara,ofisini no.au unaweza kusema NI vile vitu unavyofanya vipenda au uvipendi,wakiharibu happy utakutana na chuki,ugomvi nk,,ila katika maisha si watu wore watakupenda,mtu anaweza kukuchukia bill sababu yoyote ile.Ukimpenda mtu hauangalii watu wanasemaje hata awe mbaya vipi utampenda tu.Shetani hakichafua happy utamsikia Kila mtu,shetani anaweza kumuondoa mumeo au mkeo kwenye mji huu ukawa unamuona wa kawaida tu.

4.Mji wa kumbukumbu:NI sehemu inayohusika na akili ya mtu,happy ndipo kichaa kinatengenezwa,kuvulugikiwa akili,kutokujitambua,kupoteza kumbukumbu,happy Jambo linafanyika ili mtu atimize malengo yake au yasitimie,happy ndipo kwenye kifaa Cha kukumbuka,pakiharibiwa happy,mtu anaweza kuchanganyikiwa au unaweza kusema msongo wa wa mawazo-stress.Kwa Sasa ngoja niishie hata nitaendelea na sehumu zingine.



Friday, February 4, 2022

KUOKOKA KWA MTU KUNA MAANA SANA

 BAADA YA KUOKOKA

 

KUOKOKA-:

Ni kitendo cha kutubu dhambi zako mbele ya Mungu na wanadamu. Kwa kukiri kwa kinywa chako mwenyewe kwamba umeacha dhambi zako na hautozirudia tena   “namkataa shetani na mambo yake yote”. Kwahiyo tunapo okoka miili yetu  inabaki vilevile lakini roho zetu zinakuwa mpya kwa kutakaswa na Damu ya Yesu Kristo.

Kama vile Mungu Baba alivyo tangulia kuwajua katika kutakaswa na roho hata mkapata kutii na kunyunyizwa Damu ya Yesu kristo. Neema na amani na ziongozwe kwenu” 1petro1:2

 

Kuokoka: Ni mpango wa Mungu kwa wanadamu katika kuishinda dhambi.au ni kitendo cha kumkiri  Yesu kwa kinywa chako na kuamini moyoni mwako kuwa ni Bwana na mwokozi wako.

Kwa sababu ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana na kuamini moyoni  mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka  kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu”. Warumi 10:9-10

 

Tunapokuwa tumeokoka tunakuwa tumezaliwa mara ya pili kiroho yaani mambo ya kale tunayaacha .

Yesu akajibu akamwambia amini amini nakwambia mtu asipozaliwa mara ya pili hawezi kuona ufalme wa Mungu”.  Yohana 3:3

 

Ahimidiwe Mungu Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo ambaye kwa rehema zake nyingialituzaa mara ya pili ili tupate tumaini lenye uzima kwa kufufuka kwake Yesu katika wafu tupate na urithi  usioharibika usio na uchafu, usionyauka uliotunzwa mbinguni kwa ajili yenu”1petro 1:3-4

Hivyo basi baada ya kuokoka tunapata uzima wa milele ambao Yesu Kristo ametuandalia huko mbinguni, na tunakuwa tunalindwa na nguvu za Mungu hapa duniani kwa njia ya imani.

Nanyi mnalindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya imani hata mpate wokovu uliotayari kufunuliwa wakati wa mwisho “1Petro 1:5

 

WOKOVU

Wokovu ni mpango wa Mungu kumtafuta mwanadamu alie potea kupitia dini, Roho Mtakatifu na watumishi wake. Kwahiyo njia ya wokovu ni Yesu Kristo

“Yesu akamwambi mimi ni njia ya kweli na uzima mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi” Yohana 14:6.

Wokovu tulio nao ni wa muhimu sana tunatakiwa kuulinda kwa nguvu zetu zote maana ni kwa ajili ya roho zetu, inapaswa  tumpende Yesu hata kama hatumuoni kimwili lakini kiroho yupo pamoja na sisi.

Naye mwampenda ijapokuwa hamkuomwona ambaye ijapokuwa hamwoni sasa mnamwini na kufurahi sana kwa furaha isiyoneneka yenye utukufu katika kuupokea mwisho wa imani yenu yaani wokovu wa roho zenu”1Petro 1:8-9.

 

Tunapokuwa  ndani ya wokovu hatutakiwi tena kujifananisha na tamaa zetu za kwanza za ujinga. Tunapaswa kuyashika na kuyatii yale anayotaka Yesu Kristo ndiyo tuishi nayo.

Kama watoto wakutii msijifananishe na tamaa zenu za kwanza za ujinga wenu bali kama yeye alie waita alivyo mtakatifu ninyi iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote, kwa maana imeandikwa mtakuwa watakatifu kwa kuwa mimi ni mtakatifu “1Petro:14-16

 

Tuliokolewa si kwa vitu viharibikavyo, Yesu Kristo alikufa kwa ajili yetu kwa aibu ili sisi tupate thamani kubwa ya maisha yetu ya sasa na yabaadaye, maana alitutoa kwenye mwenendo usiofaa.

Nanyi mfahamu kwamba mlikombolewa si kwa vitu viharibikavyo kwa fedha au dhahabu mpate kufika katika mwenendo wenu usiofaa mlioupokea kwa baba zenu bali kwa damu ya thamani kama ya mwanakondoo asiye na ila,asiye na waa yaani ya Kristo “1Petro 1:18-19

Tunapo okoka tunapaswa kuwa vielelezo kwa watu wengine (yaani ndugu,marafiki,majirani na jamii kwa ujumla ). Kama tukiwa na matendo mazuri mbele za watu,  hata wewe mwenyewe binafsi, hapo Mungu anatukuzwa kupitia wewe ulieokoka, wewe ni alama ya Yesu Kristo hapa duniani.

 

Wapenzi nawasihi kama wapitaji na wasafiri ziepukeni tamaa za mwili zipinganazo na roho mwe na mwenendo mzuri kati ya mataifa ili iwapo huwasingizia kuwa watenda mabaya wayatazamapo matendo yenu mazuri wamtukuze Mungu siku ya kujiliwa “1Petro 2:11-12 hata nabii Isaya anasisitiza hilo.

“Jiosheni jitakaseni ondoeni uovu wa matendo yenu usiwe mbele za macho yangu, acheni kutenda mabaya” Isaya 1:16

Mungu siku zote anatuwazia mema na hataki mtu yeyote apotee kwenye Jehanamu ya moto, yeye ni mwenye huruma anataka tusogee mbele zake na tusemezane naye kuhusu dhambi zetu tulizo zitenda kwa kujua au kwakuto kujua tunazozifahamu na tusizozifahamu anatutaka tuwe watii kwenye kutubu dhambi zetu.

 

“Haya njooni tusezane asema BWANA, dhambi zenu zipojapokuwa nyekundu sana zitakuwa nyeupe kama theluji, zijapokuwa nyekundu kama bendera zinakuwa nyeupe kama sufu kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi, bali kama mkikataa na kuasi mtaangamizwa kwa upanga, maana kinywa cha BWANA kimenena haya” Isaya 1;18-20

Tunapo tubu dhambi zetu mbele za Mungu kwanza anatusamehe maovu yetu, pili anatuponya  magonjwa yetu, tatu anatukomboa uhai wetu na kaburi, nne anatuvika taji ya fadhili na rehema, tano aushihisha mema uzee wako na sita aurejesha ujana wako.


 

“Akusamehe maovu yako yote,akuponya magonjwa yako yote, aukomboa uhai wako na kabuli akutia taji ya fadhili na rehema, aushibisha mema uzee wako, ujana wako ukarejezwa kama tai “Zaburi 103:3-5.

 

Hapo Mungu alikuwa na maana hii;

a)     Akusamehe maovu  yako yote

Kabla ya kuokoka ulikuwa unaishi maisha ya dhambi, ambayo yalikuwa hayampendezi Yesu anakuwa amekusamehe yale maovu yako yote uliyokuwa unayatenda, hivyo unakuwa mpya mbele za Mungu.

b)    Akuponya magonjwa yako yote.

Mungu akisha kusamehe anaanza kushugulika na afya yako maana umefungua moyo wako kwake, na kama ulikuwa na magonjwa ataanza kukuponya.

c)     Aukomboa uhai wako na kaburi.

Kama ulitakiwa kufa basi hapo Mungu anakomboa uhai wako, kutoka kwenye mauti na kukuingiza uzimani tena.

d)    Akutia taji ya fadhili na rehema.

Hapa Yesu Kristo anakuangalia upya tena kwa huruma zake na kukuhurumia.

e)     Aushibishe mema uzee wako.

Mungu  kwa vile yeye ni mwema na mwaminifu uzee wako anaushibisha mema (yaani anakupa mambo mazuri wakati wa uzee wako)


 

f)      Ujana wako ukarejezwa kama tai.

Yale mambo uliotakiwa yakupate mazuri wakati wa ujana wako na sasa yamepotea huna tena zile Baraka za ujana, Yesu Kristo anakwenda kukurejeshea tena kwa nguvu ya ukombozi kwa jina la Yesu halelujaah.

Yesu Kristo akishakusamehe dhambi zako hazikumbuki tena na anaziweka mbali nasi

Kama mashariki ilivyo mbali na magharibi, ndivyo alivyoziweka mbali dhambi zetu mbali nasi” Zaburi 103:12

“Mimi naam mimi ndimi nifutaye makosa yako kwa ajili yangu mwenyewe wala sitazikumbuka dhambi zako” Isaya 43:25

“Nimeyafuta makosa yako kama wingu zito na dhambi zako kama wingu unirudie maana nimekukomboa “ Isaya44:22

 

ALIZICHUKUA DHAMBI ZETU

Yesu Kristo alikuja hapa duniani kwa ajili ya kuja kuchukua maovu yetu ili atengeneze upatanishi kati ya wanadamu na Mungu Baba.

Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi tuwe hai kwa mambo ya haki na kwa kupigwa kwake mliponywakwa maana mlikuwa mnapotea kama kondoo lakini sa mmerudia mchungaji na mwangalizi wa roho zenu. 1Petro 2:24-25.

 

Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu alichubuliwa kwa maovu yetu sababu ya amani yetu ilikuwa juu yake na kwa kupigwa kwake sisi tumepona”. Isaya 53:5.

Yesu Kristo alijeruhiwa kwa ajili ya makosa yetu , maovu na adhabu zetu alizibeba yeye mwenyewe ili sisi tupone, ni jambo la thamani mno alilolifanya Yesu Kristo kwetu ili sisi tupone .

 

Yesu kristo alipigwa, alitemewa mate ili mimi na wewe tupone.

“Wengine wakaanza kumtemea mate wakamfunika uso na kumpiga mkonde na kumwambia tabiri hata watumishi nao wakampiga makofi.”Marko 14:65.

Yesu Kristo alivishwa taji la miiba kichwani.

Wakamvika vazi la rangi ya zambarau wakasokota taji ya miiba wakamtia kichwani.” Marko 15:17.

Yote hayo aliyavumilia ili watu waokolewe  kutoka kwenye dhambi.

 

Yesu Kristo alivuliwa nguo kwa ajili yetu.

        “wakavua nguo wakamvika vazi jekundu

          Mathayo    27:28.

Yesu Kristo alidhihakiwa kwa ajili yetu .

walipokwisha kumthihaki wakalivua lile vazi wakamvika mavazi yake wakamchukua kumsulubisha.” Mathayo 27:31


Walipokwisha kumthihaki waligawa mavazi yake wakapiga kura ili litimie neno lililo nenwa na nabii waligawa nguo zangu kati yao na juu ya vazi langu walipiga kura” Mathayo 27:35

Yesu Kristo alipewa nyongo kwa ajili yetu.

“Wakampa kunywa divai iliyochanganyika na nyongo lakini yeye alipoionja hakutaka kunywa.”

 

Mathayo 27:34 “mara mmoja wao                                                                                                                                                                                                                                                                akaenda mbio akatoa sifongo akaijaza siki akaitia juu ya mwanzi akamnywesha”   Mathayo 27:48.

 

Yesu Kristo alichomwa mkuki ubavuni kwa ajili yetu.

 

lakini askari mmojawapo alimchoma ubavu kwa mkuki na mara ikatoka damu na maji” Yohana 19:3, damu na maji yaliyokuwa yakitoka ubavuni mwake, moja moyo wake ulikuwa umepasuka kwa sababu ya mkuki huo.

Hivyo Yesu Kristo aliteswa katika mwili wake na mateso yote aliofanyiwa ili sisi tuokolewe na dhambi ya moto tuliotakiwa, tuliostahili lakini yeye  “aliyachukua maovu yetu” Kama yeye alifanya hivyo kwa ajili yetu basi nasi hatuna budi tuendelee kumtumkia yeye na kuziacha tamaa mbaya za dunia hii kama wafanyavyo mataifa, maadamu tumemkiri yeye tundelee kuwa naye siku zote za maisha yetu.

  

“Basi kwa kuwa Kristo aliteswa katika mwili wake, ninyi nanyi jivikeni silaha ileile kwa maana yeye aliyeteswa  katika mwili ameachana na dhambi. Tangu sasa msiendelee kuishi katika tama  za mwanadamu, bali katika mapenzi ya Mungu wakati wetu wa kuaa hapa dunian. Maana wakati wa maisha yetu uliopita watosha kwa kutenda mapenzi ya mataifa kuenenda katika ufisadi na tama na ulevi na karamu za ulafi na vileo na idadi ya sanamu isiyo halali. Mambo ambayo wao huna kuwa ni ajabu ya ninyi kutokwenda mbio pamoja nao katika ufisadi uleule usio na kiasi, 

KURUDISHA KILICHOIBIWA KIROHO

 KURUDISHA KILICHOIBIWA KIROHO

Kurudisha:Ni hali ya kurejesha kile ulichopoteza,inawezekana ulipoteza mwenyewe au mtu Fulani alikuchukulia au kukuibia na wewe haunacho tena.

Kimsingi Baraka zote zinaanzia katika ulimwengu war oho.Shetani anachokifanya ni kukuibia. Mungu anakuwa ameachilia Baraka zake kwako lakini yupo anayejitokeza anakuibia.

Isaya 42:6-7

Isaya 26:19

Isaya 42:22

 

ULICHOBEBA NDIYO VITA YAKO

Kuna watu wanafikiri kwasababu ya wazazi wao hawapo,hawana fedha,hawajasoma,hana mtaji,wagonjwa n.k ,hayo yote siyo ni kwasababu ya ulichokibeba ndani yako kutoka Mbinguni

Yeremia 1:4-

-Aliye gizani anaona sana kuliko wa nuruni mfano mama jusi Mathayo sura ya 2

Matendo 9:1-, Matendo 13:9,Zaburi 51:5

-Shetani anaangalia baadhi ya watu muhimu ili awatende mabaya

-Kuna matukio yanakupata wewe,simama nauseme sio hili mfano:Abrahamu,Yakobo aliwaita watoto wake

Gadi:Akamwambia jeshi litamsonga ila yeye atawasonga mpaka visigino Mwanzo 49:19 ,kuna watu wanasongwa kila mahali mfano:kwenye biashara,ndoa,kazini n.k.Yakobo aliona kwenye familia miaka ijayo atatokea mmoja atasongwa na jeshi lakini atalikanyaga mpaka visiginoni

Sifa za Wagadi

-Mashujaa

-Nyuso zao kama samba

-Walikuwa na uwezo wa kupigana vita

-Wepesi milimani

-Walikuwa viongozi wa jeshi

-Aliyekuwa mdogo analingana na watu 100

-Aliyekuwa mkuu (mkubwa) analingana na watu 1000

1Nyakati 12:8-

Shetani anakuona wewe ni mwepesi wa kufanikiwa,ukiachiwa upenyo tu umefanikiwa,ndiyo maana wanasema wakudhibiti na kukusonga lakini saa imefika uwasonge wao mpaka kisigino kwa jina la Yesu.Wana wa Gadi walimiliki ufalme wa Sihoni na familia ya Bashani,Wanefili na mali zao

 

KUWAFYEKA WATAABISHAJI WETU

Mtaabishaji:Ni mtu au mashetani yanayomzuia mtu asifanikiwe kimaisha.

1Wafalme 18:17

Zimri (Jemedari wa magari) alifanya fitina kwa mfalme (alimpiga),alitawala siku 7(Tirza).Wakaamua Omri Jemedari wajeshi awe mfalme.Alinusuru mji wa Tirza,kukatokea mabishano kati ya Tibni na Omri (alishinda)

Roho ya Yeroboamu alikuwa nayo.Omri alitawala miaka 12 Israel na miaka 6 Tirza alifanya mabaya akafa,akatawala Ahabu miaka 22 akafanya mabaya naye.

 

KUWAANGAMIZA MAKUHANI WA KISHETANI

Makuhani:Ni viongozi wanaotumika kwenye madhabahu.

Aina za Makuhani

a.Makuhani wa Mungu waefeso 4:11

b.Makuhani wa kishetani Torati 18:10-13 ,Isaya 47:12-15

Tunashindana na binadamu anayetumiwa na mashetani kuharibu maisha yetu

1Wafalme 18:15-40,19:15-27

Wachawi wameloga sana nchi mpaka imegawanyika.Eliya alimfunga lufifa,mashetani ,miungu ,majoka n.k

2Wafalme 10:18-27

 

MPAKA ILIYOHAMISHWA

Mpaka:Ni alama zinazoonesha eneo la umiliki wa mtu katika ardhi,anga,kwenye maji n.k au ni sehemu,mahali panapoonesha mwisho wa umiliki halali wa mtu.Kuna michoro yake na ramani zake,kuna mipaka ya wilaya,mkoa,nchi n.k.

Mungu baada ya kumuumba mwanadamualimuwekea mipaka yake ya utawala,kutiisha,kumiliki nchi,bahari na anga.Inawezekana kabla ya kuokoka ulikuwa baa mipaka yako ikaamishwa,wachawi wanaweza kuhamisha mipaka ya mtu mfano:kwenye biashara,afya,ndoa,kazi,elimu,fedha,mafanikio n.k Luka 4:1

Unaona hapa shetani hasemi kuwa vyote ni vyangu bali anasema vipo mikononi mwangu.akimaanisha vile alivyonavyo shetani alivipokonya kwa mmiliki wake (mwanadamu).Shetani ndivyo alivyohamisha mipaka.Endapi Mungu alikusudia wewe uishi miaka 120 wachawi hupenda kuipunguza ili usifike umri huo au kuwa waziri,mbuge ukiwa na miaka 40 ukikalibia wanafanya uganga  uugue ukose sauti ya kufanya kampeni au uwe Rais,mkurugenzi,daktari,mchungaji n.k lakini ukianza masomo ya kukufikisha huko unashindwa.

Mithali 23:10,Torati 27:17,Hesabu 5:10

Bwana Yesu anaweza kubadilisha tena Kutoka 34:24,Torati 11:24-25

Bwana Yesu anakwenda kuipanua mipaka yako iliyopindishwa kwa jina la Yesu

 

KUVUNJA ROHO YA  UMASIKINI

Umasikini:Ni hali ya kukosa mahitaji muhimu mfano chakula,maradhi,nguo.

Masikini:Ni mtu anayekosa mahitaji muhimu

Kuna umasikini ngazi ya Taifa na umasikini ngazi ya mtu binafsi

Mhubiri 9:14-16,10:19

Shetani anatumia kifungo hiki kuwafunga watu wa Mungu Ufunuo 2:8-9,Mathayo 6:24,Wafilipi 4:19

 

KUIKOMBOA MIGUU YANGU

Uumbaji wa Mungu,Mtu ni roho.Mtu anasehemu 3 .Shetani naye anawinda sana maeneo hayo

+ Ardhi kwa ajili ya kuujenga ufalme wa Mungu

+ Masikio kwa ajili ya kusikia. Zaburi 103:20

+ Miguu ni milango ya nafsi,ni ishara ya kumiliki eneo,ni kama silaha ya vita

Mithali 6:18,Luka 10:19,Torati 11:24-25,Zaburi 56:6,Ayubu 33:11,Zaburi 57:6

 

NIMEYASIKIA MAOMBI YAKO

Maombi:Ni mawasiliano kati ya mtu na Mungu kuhusiana na jambo Fulani ili ulipate.

Kiroho:Ni mawasiliano kati ya mtu na Mungu kuhusiana na jambo Fulani ili ulipate

2Wafalme 20:5-11, Matendo 10:30-31

 

ROHO YA UPATANISHI

Kupatanisha:Ni kitendo cha kuondoa migongano kati ya pande majo na pande nyingine Mathayo 5:9

Baada ya kufa Yoshua waamuzi waliojitokeza:Yuda,Othniel,Elihudi,Debora,Gideoni,Tola Yairi,Yeftha,Samson,Yesu

 

NGUVU YA NDOTO

Ndoto:Ni picha au matukio yanayotokea kwenye akili yako baada ya kulala Mfano:nimeota ndoto nimenunua gari,ni tumaini/wazo unalokuwa nalo la maisha yako mazuri ya baadae

Aina za ndoto

-Za KiMungu

-Za kishetani

-Za kawaida

Ndoto ina nguvu-nguvu yake ni pale inapotokea kwake.taarifa,maelekezo n.k

Ayubu 33:14,Habakuki 2:2-3

Mfano Yusufu ndoto zake zilitimia.soma Mwanzo sura ya 37

 

KIFUNGO CHA TANGU UTUTUNI

Kifungo:Ni gereza analofungiwa mtu au kitu kwa sababu za kweli au za uongo

Mhubiri 4:14

Marko 9:17-29

-mtoto wake anapepo bubu

-anampagawisha

-humbwaga chini

-hutuka povu

-kukonda

Walipompeleka kwa Yesu mambo  yakatokea

-alipomuona Yesu Yule pepo alimtia kifafa

-akaanguka chini

-akatokwa na povu

Yesu akamuuliza baba yake,amepatwa na haya tangu lini?

-tangu utoto

-mara nyingi amemtupa katika moto,katika maji

-amwangamize

 

AMEFUNGWA KWENYE MTI

Mti ulitumika kwenye Biblia kama sehemu ya mwisho ya hukumu kwa mtu.Mtu akifungwa kwenye mti baada ya hapo ni kifo,wachawi wanaweza kuutumia mti kama gereza kuyafunga maisha ya mtu au mafanikia ya mtu Yoshua 8:28-29,Esta 7:8-10,2:23,Daniel 4:13-14,Mathayo 27:38-40

 

KUONDOA VIZUIZI VYA KISHETANI

Vizuizi:Ni vikwazo

Adui wa maisha ya kila mtu ni shetani.shetani ni roho hutenda kazi kupitia mawakala wake ambao ni wachawi,wasoma nyota,waganga wa kienyeji n.k wanauwezo wa kukuua kwenye masomo,elimu,ndoa,kazi,biashara,fedha,maendeleo n.k

1Thesalonike 2:18,Mathayo 8:23-28,Daniel 10:11-14

 

KUTENGENEZA NJIA KATIKATI YA GIZA

Giza:Ni jambo Fulani lisilokuwa na nuru au lisilo la nuru

Mwanzo 1:1-5,Yohana 1:1-5,Isaya 9:2,Yohana 8:12,Luka 1:79

 

MWEZI HUU NAPATA NEEMA YA MUNGU

Neema:Ni upendeleo ambao mtu hakustahili kuupata

Luka 1:26

 

HATA SASA BWANA AMETUSAIDIA

Kusidia:Ni kitendo cha kutoa msaada vile usivyokuwa navyo kuhusiana na jambo Fulani

1Samwel 7:12-14, Mathayo 7:1-,Mathayo 28:1

 


UWEZA WA MAOMBI,

 UWEZA WA MAOMBI,

Uweza; Maana yake ni nguvu

Maombi; Maana yake ni mawasiliano au kuzungumza na Mungu.

-Ni mamlaka ya Mungu inayotenda kazi katika ulimwengu wa roho.

-Ni nguvu za Mungu zinazohusika kwa kujibu jambo Fulani.

 

AINA ZA MAOMBI

1.     Maombi ya kawaida.

Mfano:- maombi ya kumbariki mtu

-         Maombi ya toba na rehema

-         Maombi ya kuombea chakula

-         Maombi ya kuombea safari

-         Maombi ya kumshukuru Mungu

-         Maombi ya kuombea ndoa  n.k

2.     Maombi ya vita

Mfano- maombi ya mkesha.

-maombi ya mfungo

-maombi ya kuharibu falme na  mamlaka za giza

- maombi ya kuombea wagonjwa.

- maombi ya kufunguliwa

- maombi ya ukombozi

- maombi ya urejesho (kurudisha) n.k.

Vilevile maombi ya muda mrefu na maombi ya muda mfupi yapo katika hizo aina za maombi.


 

MAMBO UNAYOPASWA KUYAJUA KUHUSU MAOMBI.

i). kupitia maombi Mungu anaweza kufanya mambo yote

‘lakini Yule malaika akamwambia, usiogope Zakaria maana dua yako imesikiwa na mkeo Elisabeti atakuzalia mtoto mwanaume na jina lake utamwita Yohana ‘Luka 1;13

 

Siku hizo Hezekia akaugua akawa katika hatari ya kufa, Isaya nabii mwana wa Amozi akamjia akamwambia Bwana asema hili , tengeneza mambo ya nyumba yako maana utakufa wala hutapona Basi Hezekia akaelekeza uso wake ukutani, akamwambia Bwana ukumbuke sasa jinsi nilivyokwenda mbele yako katika  kweli na moyo mkamilifu na kutenda  yaliyomema machoni pako Hezekia akalia sana sana. Ikawa kabla Isaya hajatoka katika mji wa kati, neno la Bwana likamjia kusema, Rudi ukamwambie Hezekia mkuu wa watu wangu Bwana Mungu wa Daudi baba yako asema hivi, nimeyasikia maombi yako na kuyaona machozi yako, tazama nitakuponya siku ya tatu utapanda nyumbani kwa Bwana, Tena nitazidisha siku zako kiasi cha miaka kumi na mitano, name nitakuokoa wewe na mji huu na mkono wa mfalme wa Ashuru, name nitakulinda mji huu kwa ajili yangu na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu, 2wafalme 1-6.

 

ii). Maombi kwa Mungu yanapaswa kuwa ni ya kuendelea kuwa sehemu ya maisha ya mkristo.

‘Akawaambia mfano ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu siku zote, wala wasikate tama Luka 18;1.

 

iii). Katika maombi tunatakiwa kupeleka haja zetu kwa Mungu.

‘Msijisumbue kwa neno lolote bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru haja zenu na zijulikane na Mungu.

 

iv). Tunatakiwa tuwe na imani.

‘Lakini mtu wa kwenu akipungukiwa na hekima na oambe dua kwa Mungu, awapaye wote kwa ukarimu, wala hakemei naye atapewa. Ila na aombe kwa imani, pasipo shaka yoyote maana mwenye  shaka ni kama wimbi la bahari lililichukuliwa na upepo na kupeperushwa huku na huku “ Yakobo 1;5-6.

“Na kule kuomba kwa imani kutamwokoa mgonjwa Yule na Bwana atamwinua hata ikiwa amefanya dhambi atasamehewa Yakobo 5;15.

 

v). Tunatakiwa kuomba kwa jina la Yesu

“Nanyi mkiomba lolote kwa jina langu hilo nitalifanya ili baba atukuzwe ndani ya mwana.

Yohana 14;13.

 

vi). Mungu anasikia maombi ya watu wote

“ katika shida yangu nalimwita Bwana na hekaluni mwake, kilio change kikaingia maskioni mwake , ndipo nchi iliyotikisika na kutetemeka, misingi ya  milima ikasuka-suka…. “Zaburi 18;6-7.

 

“kwa kuwa Bwana huwaakia wahitaji wala hawadharau wafungwa wake Zaburi 69;33.

 

Vii). Mungu anajibu maombi.

“ walilia naye Bwana akasikia , akawaponya na taabu zao zote,  Zaburi 34;17.


Lakini panapo usiku wa manane Paulo na sila walikuwa wakimwomba Mungu na kumwimbia nyimbo za kumsifu na wafungwa wengine walikuwa wakiwasikiliza ghafla kukatokea matetemeko kuu la nchi hata msisingi ya gereza ikatikisika na mara hiyo milango ikafunguka vifungo vya wote  vikalegezwa. Matendo 16;25-26.

 

viii). Tunapaswa kuomba kwa bidii.

Eliya alikuwa mwanadamu mwenye tabia moja na sisi, akaomba kwa bidii mvua isinyeshe na mvua haikunyesha juu ya nchi muda wa miaka mitatu na miezi sita, Akaomba tena mbingu zikatoa mvua, nayo nchi ikazaa matunda yake , Yakobo 5;17-18.

 

Maana ya kuomba kwa bidii,

-kuomba kwa kuweka akili zako zote kwenye jambo hilo

-kuomba kwa ujasiri

-kuomba kwa nia yako bila kukata tama.

-kuomba kwa nia moja.

-kuomba kila siku bila kuchoka.

-kuomba bila kuogopa

-kuomba kwa maarifa

-kuomba kwa mamlaka ya Mungu

Kumbuka sisi ni wana wa Mungu, hivyo tumepewa amri juu ya nguvu za giza kwamba tukitamka neno juu yao linakuwa vile vile kwa jina la Yesu- Amen.

 

Tazama nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge na nguvu zote za Yule adui wala hakuna kitu kitakacho wadhuru


Tumepewa amri ya kukanyaga nyoka na nge.

*kukanyaga tunguli

*vipembe

*mikoba

*kukanyaga nguvu za adui

*mapepo na majini

*kukanyaga silaha zote za kichawi.

Kila kitu kinatakiwa kukitakasa kwa Damu ya Yesu Kristo.

Kila sehemu tunayoingia tunatakiwa kupatakasa kwa Damu ya Yesu Kristo.

Hakuna kitakachowadhuru

 

FAIDA ZA MAOMBI

a)    Hutusaidia kukua kiimani.

“Kisha akawaleta nje akasema Bwana zangu yanipasa nifanye nini nipate  kuokoka? Wakamwambia mwamini Bwana Yesu nawe utaokoka pamoja na nyumba yako, Matendo 16;30-31.

b)    Mambo yako ya ndani yatafunguliwa

Unifumbue macho yangu niyatazame maajabu yatokayo katika sheria yako “zaburi 119;18.

 

c)     Maombi ni ulinzi

Basi akamfukuza huyo mtu akaweka makerubi upande wa mashariki wa bustani ya Edeni na upanga  wa moto uliogeuka huko na huko kulinda njia ya mji wa uzima “Mwanzo 3;24.

 

d)    Maombi yanatufanya tumtafute Mungu,

Nanyi mtaniita mtakwenda na kuniomba, nami nitawasikiliza, Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa mioyo yenu yote.

 

 Yeremia 29;12-13.

Ndipo Bwana akaniambia umeona vema kwa maana ninaliangalia neno langu ili nilitimize ‘Yermia 1;12’

Naliangalia neno langu ili nilitimize, hivyo Mungu hawezi kujipinga mwenyewe.

e)     Utamruhusu Roho mtakatifu akutumie

“Kadharika Roho naye kutusaidia udhaifu wetu kwa maana hatujui kuomba jinsi itupasavyo, lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa kuugua kusikoweza kutamkwa “warumi 8;26.

‘Lakini kazi hizi zote huzitenda Roho huyo mmoja yeye Yule akiangamia kila  mtu peke yake kama apendavyo yeye. “1wakoritho 12;11.

 

f)      Utatumika vizuri kwa Mungu.

Basi hawa walipokuwa wakimfanyia Bwana ibada na kufunga, Roho Mtakatifu akasema, nitengeeni Barnaba na Sauli kwa kazi ile niliyowaitia ndipo wakiisha kufunga na kuomba, wakaweka mikono yao juu yao wakawaacha waende zao, Matendo 13;2-3.

 

g)    Utakuwa na nguvu za Mungu

“Tangu siku za Yohana mbatizaji hata sasa ufalme wa mbinguni hupatikana kwa nguvu nao wenye nguvu wauteka, Mathayo 11;12

 

h)    Maombi yanainua mtu

“Yesu akamwambia simama jituike godoro lako uende. Mara Yule mtu akawa mzima akajitwika godoro lake akaenda Nayo ilikuwa  ni sabato siku hiyo, Yohana 5;8

 

Na kule kuoma kwa imani kutamwokoa mgonjwa Yule na Bwana atamwinua hata ikiwa amefanya dhambi atasamehewa ‘Yakobo 5;15

 

 

UMUHIMU WA  KUFUNGA (mfungo).

Mfungo; Ni hali ya  kukaa bila kula chakula  au kinywaji ili kutekeleza masuala ya imani yako. Mfungo unatoa sauti inayopenya hadi kwenye kiti cha Mungu Baba na kuleta mabadiliko ya kudumu katika ulimwengu wa mwili, Hii ni kanuni ya ulimwengu wa Roho ili kufanya jambo lililokusudiwa litokee.

 

 

WALIOFUNGA KWENYE BIBLIA.

a)    Yesu kristo,

Yesu kristo alifunga siku arobaini (40)

‘Kisha Yesu alipandishwa na Roho nyikani ili ajaribiwe na ibilisi. Akafunga siku arobaini mchana na usiku, mwisho  akaona njaa, Mathayo4;1-2.

 

b)    Musa

Musa naye alifunga siku arobaini 40)ili asemezane na Mungu.

Nikaanguka nchi mbele za Bwana siku arobaini usiku na mchana kama pale kwanza sikula chakula wala kunywa maji kwasababu ya makosa yenu yote mliyokosa kwa kufanya yaliyo maovu machoni pa Bwana kwa kumkasirisha, Torati 9;18.

Naye alikuwa huko pamoja na Bwana siku arobaini na masiku yake hakula chakula wala kunywa maji. Naye akaandika katika hizo mbao, hayo maneno ya maagano, hizo amri kumi “kutoka 34;28”

c)     Daniel alifunga siku ishirini na moja(21)”Katika “siku zile mimi Daniel nalikuwa nikiomboleza muda wa majuma matatu” Danieli 10;13,”……. lakini mkuu wa ufalme alinipinga siku ishirini na moja” Daniel 10;2.

 

d)    Esta; Esta na wayahudi alifunga siku tatu ili aingie kinyume cha sheria kwa mfalme.

“Uende ukakusanye wayahudi wote  waliopo hapa shushani mkafunge kwa ajili yangu, msile wala kunywa muda wa siku tatu, usiku na mchana nami na wajakazi wangu tutafunga vilevile, kisha nitaingia kwa mfalme kinyume cha sheria, nami nikiangamia na niangamie “Esta 4;16.

e)     Watu wa Ninawi.

Hawa walifunga wakimlilia Bwana awaepushe na hatari iliyokuwepo mbele yao.

“Basi watu wa Ninawi wakamsadiki Mungu, wakatangaza kufunga, wakajivika nguo za magunia tangu yeye aliye mkubwa hata aliye mdogo, Yohana 3;5

f)      Barnaba, Simion, Lukio Mkirene, Manaeni

Nao hawa walifunga ila Biblia haijaonyesha.

Walifunga siku ngapi

Basi hawa walipokuwa wakimfanyia Bwana ibada na kufunga.

Kwahiyo ni mifano michache tu kwa waliofanya kulikana na sababu Fulani Fulani kwao.

 

AINA ZA MIFUNGO (fasting)

1.     Mfungo mwepesi.

Huu ni mfungo ambao mtu aliyefunga anaweza kunywa uji, maji na vitu vyepesi. Lengo la mfungo huu ni kujinyenyekeza mbele za Mungu au kutaka kumpa Mungu nafasi yake. Mfano. Mtu anasema nitafunga siku 3,21 au 40 nitakuwa nakunywa maji na jioni nafungulia.

 

 

2.     Mfungo mkavu.

Huu ni mfungo wa kutaka kitu Fulani kwa Mungu ili ujibiwe haraka. Mfano Esta na wayahudi, walifunga siku tatu bila kula chochote na majibu yakaja bila kuchelewa.

 

SIFA ZA MFUNGO.

a)    Kuongozwa na Roho ,takatifu

Mara Roho akamtoa aende nyikani, Akawako huko jangwani siku arobaini, hali akijaribiwa na shetani, naye alikuwa pamoja na wanyama wa mwitu na malaika walikuwa wakimhudumia , Marko 1;12-13.

 

b)    Mfungo ufanywe katika unyenyekevu,

 ilikuwa watu wangu walioitwa kwa jina langu watajinyenyekesha na kuomba na kunitafuta uso na kuziacha njia zao mbaya, basi nitasikia kutoka mbinguni na kuwasamehe dhambi yao na kuiponya nchi yao” 2zanyakati 7;14

 

c)     Kuambatane na kuomba

“Ndipo mwakiisha kufunga na kuomba, wakaweka mikono yao juu yao wakawaacha waende zao. “matendo 13;3

 

d)    Mfungo ufanywe kwa furaha.

“Tena mfungapo msiwe kama wanafiki wenye uso wa kukunjamana, maana ujiumbua nyuso zao ili waonekane na watu kuwa wanafunga.Amini nawaambieni wamekwisha kupata thawabu yao” Mathayo 6;16.

 

 

e)     Unapofunga watu wasikujue

Bali wewe ufungapo jipake mafuta kichwani unawe uso. Ili usionekane na watu kuwa unafunga ila na Baba yako aliyesirini na Baba yako aonaye sirini atakujazi, ‘Mathayo 6;17-18

 

NDANI YA MFUNGO KUNA VITU HIVI

Siku zote unapomuona kufunga mfungo wa aina yoyote ile tambua vitu hivi lazima vijitokeze au  viwepo.

-Malaika watakuwepo wakikihudumia

-Shetani naye atakuwepo ili akujaribu.

-Utajisikia mchovu au kuishiwa nguvu

-Mwili utaisha (kupungua) lakini mtu wa ndani atakuwa na nguvu za rohoni.

-Utukufu wa Mungu utakufunika.

“Basi Haruni na wana wote wa Israeli walipomwona Musa, tazama ngozi ya uso wake iling’aa nao wakaogopa kumkaribia “kutoka 34;30

 

FAIDA/ UMUHIMU WA MFUNGO

-Kuonyesha utii mbele za Mungu

“Lakini  hata sasa anasema Bwana, nirudieni mimi, kwa miyo yenu yote na kwa kufunga na kwa kulia na kwa kuomboleza Yoeli 2;12

 

-Ili kujinyenyekeza mbele za Mungu

“Ndipo nikaamuru kufunga, hapo penye mto Ahava ili tupate kujinyenyekeza mbele za Mungu na kutafuta kwake njia iliyonyoka, kwa ajili yetu sisi wenyewe na kwa ajili ya watoto wetu na kwa mali yetu yote Ezra 8;21.


 

-Ili kupata msaada,

“Basi tukafunga tukamsihi Mungu wetu kwa ajili ya hayo, naye akatutakabali, Ezra 8;23

 

-Ili katika udhaifu wetu nguvu za Mungu zionekana,

“Magoti yangu yamedhoofu kwa kufunga na mwili wangu umekonda kwa kukosa mafuta  ‘Zaburi 109; 24

 

-Ili kuomba Rehema.

Nikamwelekezea Bwana Mungu uso wangu, ili kutaka kwa maombi na dua pamoja na kufunga na kuvaa nguo za magunia na majivu, Daniel 9;3

 

-Ili Hunao imani na kuongeza ujasiri.

“Uende ukawakusanye wayahudi wote waliopo hapa shushani mkafunge kwa ajili yangu’ Esta 4;16.

 

-Huongeza/ huleta nguvu ya maombi

‘Bali mimi walipougua wao, nguo yangu ilikuwa gunia. Nalijitesa nafsi yangu kwa kufunga, maombi yangu yakarejea kifuani mwangu “ Zaburi 35;13

 

-Kukuza kanisa na huduma ya Mungu isonge mbele.

“Nasi tukitenda kazi pamoja naye twawasihi msipokee neema ya Mungu bure (kwa maana asema wakati uliokubalika na likusudia siku ya wokovu nalikusaidia, tazana wakati uliokubaliwa ndio sasa tazama siku ya wokovu ndiyo sasa)” 2wakoritho 6;1-2.

 


-Kuufanya ulimwengu wa Roho uwe wazi  :”Maana ingawa tunaenda  katika  mwili hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili.(maana silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome) tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka kujiinuacho juu ya elimu ya Mungu na tukiteka nyara kila fikra ipate kumtii kristo ;2wakoritho 10;3-5

 

-Kuutiisha mwili,

‘Basi nasema enendeni katika Roho, wala hamtazitimiza kamwe tama za mwili, kwasababu mwili hutamani ukishindana na Roho na Roho kushindana na mwili, kwa maana hizi zinapingana hata hamwezi kufanya mnayotaka,Lakini mkiongozwa na Roho hampo chini ya sheria’ wagalatia 5;16-18.