Wednesday, February 2, 2022

MTU WA NDANI

 MTU night Nani?

MTU ni roho mwenye nafsi na inayokaa NDANI ya mwili.Ni roho anayekaa NDANI ya nyumba inayoitwa MWILI

"Mungu was amani mwenyewe awatakase kabisa,nanyi nafsi zenu na roho zenu na miili yenu mhifadhiwe mwe kamili bill lawama wakati was kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo".1Wathesalonike 5:23

Tunaona hapa Kuna mambo matatu

I.Roho(spirit)

I I.Nafsi(soul)

II.Mwili(body)

ROHO NI NINI?

ROHO NI I'll sehemu ya MTU yenye ufahamu was Mungu ambayo hufanywa hai na kupewa nguvu na Roho was Mungu,mfano MAOMBI,kumpokea Roho Mtakatifu,Vita vya kiroho,ndoto na mambo mengine.

"Roho ndiyo itiayo uzima,MWILI haufai kitu,maneno hayo niliyowaambia ni roho  tena ni uzima".Yohana 6:63

"Maana Kama vile MWILI pasipo roho umekufa,vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa".Yakobo 2:26

"Nayo mavumbi kuirudia nchi Kama yalivyokuwa nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa".Mhubiri 12:7


No comments:

Post a Comment