Kikawaida watu wengi wanaangaika Sana na hawajui JINSI ya kuweka Template lakini usiwe na wasi wasi leo jibu umelipata na moja kwa moja nitakufahamisha.lakini hapa sizungumzii Template za kawaida Bali nazungumzia zile ambazo umezidownload au kuzinunua na Sasa hapo unashindwa JINSI ya kuibadilisha ileile Kwanza na kuweka MPYA.
Ifungue blog YAKO Kama siku zote unavyofanya yaani kwa kuisaini-email na password.Nenda upande wa kushoto wa blog YAKO utakutana na vimistari vitatu,bofya hapo.Tafuta sehemu iliyoandikwa Theme ukishaiona bonyeza hapo then tafuta neno lililoandikwa restore,bon bony happy.Tafuta neno lililoandikwa upload, bonyeza hapo.Tafuta file la Template uliyoidownload,bofya hapo ikimamalizika ku upload utakuwa umefanikisha zoezi Zima kwa urahisi kabisa
No comments:
Post a Comment