Baada ya kukirishwa maneno na kupokea kipigo ambacho hujawai pigwa,kumbuka Kuna MAJINA ya sehemu hiyo wao wameweka kinamba,Kuna namba 6,5,4,3,2 zote sehemu hizo unakula kipigo.Namba moja unapelekwa kunyooshwa then unapigwa usingizi mzito na kupelekwa namba 6 na kukurudisha nyumbani kwako na kutoa/kukutoa kumbukumbu zako yaani wanayachomoa matukio,ukiamka unasema nimeota ndoto za kutisha,Kama uliota ndoto za kutisha Tisha na hukumbuki, lengo la shetani NI usitafute msaada,unajisikia amani kwenda kinyume na mapenzi ya Mungu.Mambo ya Ki-Mungu huna habari nayo na unachoka,kuomba unashindwa kusoma Biblia usingizi mzito Sana hata mistari miwili umalizi yaani unachoka.Mfano ukaamua kuanza kumtafuta Mungu,yanatumwa mapepo na wanaacha kazi zao ili wakushughulikie na kuhakikisha unarudi au unakuwa upande wao.Mtu mwenye mkataba wa Moto akaombewa mfano kuacha ulevi,uzinzi,uasherati,wizi n.k anarudia Tena na Tena,hawezi kuacha atajitahidi siku mbili au wiki moja hata mwezi mtamkuta Tena anafanya yaleyale na yuko radhi kupewa Sala ya toba,ukikutana na mtu Kama huyo muombee kwa kuvunja mikataba ya Moto aliyounganishwa kwa kwa kujua au kutokujitambua
KWA MTU ALIYEOKOKA
Shetani atakuuliza unataka kumtumikia Yesu au shetani?ukisema nitamtumikia Yesu, unapelekwa kwa bwana Moto,atakupokea HUYU MWILI wake wore unawaka Moto au tuseme umejengwa kwa Moto,ukiingizwa huko anamchomoa mtu wako wa NDANI kwa kukupasua sehemu yako ya kifua na anamchomoa mtu wa NDANI na anaweka pepo NDANI yako na kukurudisha na hukumbuki unamkataba unakuwa na siku 7-10,KILA baada ya siku 7,8 ugonjwa unakusumbua,hapa wanakuwekea MWILI wa kuzimu kwa matarumbeta na unapelekwa zone namba 9.Hapa Kuna uzio wa kioo kwenda zone namba 10 yaani NI uwanda wa mateso.Sehemu hii ndiyo ya kwenda kwa Mungu au kwa shetani.Mpaka hapo utakuwa umenielewa,Cha kuongezeka je,utafanyaje Sasa mtu asiingie,asiingizwe huko maana watu wengi wameunganishwa bill was kujua au kutokujua,Sasa Cha kukusaidia omba Maombi haya
MAOMBI YA KUJITOA KWENYE MIKATABA YA MOTO
1.Omba msamaha mbele za Mungu,muambie akusamehe maovu yako yote
2.Wasamehe wore waliokukosea na uwaacholie,Biblia inasema msipo wasamehe watu makosa Yao hata Baba wa mbinguni hata wasamehe ninyi makosa yenu,achilieni nanyi mtaachiliwa
3.Jivue KILA MWILI wa kuzimu uliovishwa
4.Mkomboe mtu wako wa NDANI
5.Vunja mikataba yote ya Moto uliyounganishwa kwa kujua au kwa kutokujua
BWANA YESU awe pamoja nawe na akupe kibali Cha kuomba
No comments:
Post a Comment