MASHAMBA YA KIROHO
Shamba ni sehemu inayotumika kupandia
mbegu.Kiroho shamba ni moyo na mbegu ni Neno la Mungu Mathayo 13:3-,Luka
8:1----
UTUPE LEO RIZIKI YETU
Riziki maana yake ni
Baraka,mafanikio,mali,afya,fedha n.k
Mathayo 6:9-11,Mathayo 7:7-11,hagai
2:8,
3Yohana 1:2,Isaya 45:1-6
NEEMA YA KUOMBA ALFAJIRI NA ASUBUHI
Zaburi 5:1-3
Ni maombi ya mamlaka ya kuharibu
mipango ya kishetani iliyofanyika juu yako.
Ni maombi yenye uweza wa kupata
Baraka na kibali
ALIYEFUNGWA
·
Kifungo ni hali ya kuwa utumwani
·
Ni hali ya kuwa kwenye mateso
·
Ni hali ya kuwa kwenye shida
·
Ni hali ya kutokuwa huru
·
Ni kupindishwa/kuzuiwa
Marko 11:1-11
Luka 19:29-40
Mathayo 21:1-11
Luka 14:1-6
Hesabu 22:22---------
Baraki anabariki na kulaani
MWEZI WA KUKUTANA NA MUNGU
Namba sita kibiblia ni namba ya
mwanadamu
Mwanzo 1:26-31
Ezekieli 8:1-4
Hagai 1:14-15
Luka 1:26
TANZI ZA MAUTI
Mithali 13:14
Mithali 14:27
2Wafalme 4:40,Ayubu 5:20,Zaburi
49:14,Zaburi 68:20,Mathayo 4:16,2Wakorintho 2:15-16
KISIWA CHA MATESO
Kisiwa ni eneo la nchi kavu katikati
ya bahari,ziwa au mto linalozungukwa na maji. Ufunuo 1:9,Ufunuo 16:20,matendo
28:7,Matendo 28:9
Yohana-alitumbukizwa kwenye pipa la
mafuta yaliyokuwa yanachemka,aliwekwa kwenye gereza la migodi kisiwa cha Patimo
(Uturuki)
AGANO LA KITOVU
Agano ni mkataba au makubaliano kati
ya watu wawili au zaidi,kati ya pande mbili.Kuna agano la Kimungu na agano la
kishetani.Shida unayopitia ni kutakana na agano lililofanyika juu yako kupitia
kitovu ulipozaliwa kuna jambo lilifanyika. Zaburi 71:6-sala /maombi ya
Daudi.Ezekieli 16:1-5,1Wafalme 18:17-19
MGONGANO WA FALME MBILI
Mathayo 4:23----
Isaya 5:14-15
UMWINUA MNYONGE
1Samweli 2:8,Torati 17:17,1Wafalme
11:1-----
ATAAGIZA MALAIKA WAKULINDE
Zaburi 91:10------
Zaburi 35:1-7
ULIANZA MWENYE HUZUNI
1Nyakati 4:9-10
Danieli 6:3-4
Danieli 3:28
WAKUACHE UONEKANE
Wafilipi 3:9-10
1Samweli 16:1-17