Friday, February 4, 2022

BAADA YA KUOKOKA

  BAADA YA KUOKOKA

 

KUOKOKA-:

Ni kitendo cha kutubu dhambi zako mbele ya Mungu na wanadamu. Kwa kukiri kwa kinywa chako mwenyewe kwamba umeacha dhambi zako na hautozirudia tena   “namkataa shetani na mambo yake yote”. Kwahiyo tunapo okoka miili yetu  inabaki vilevile lakini roho zetu zinakuwa mpya kwa kutakaswa na Damu ya Yesu Kristo.

Kama vile Mungu Baba alivyo tangulia kuwajua katika kutakaswa na roho hata mkapata kutii na kunyunyizwa Damu ya Yesu kristo. Neema na amani na ziongozwe kwenu” 1petro1:2

 

Kuokoka: Ni mpango wa Mungu kwa wanadamu katika kuishinda dhambi.au ni kitendo cha kumkiri  Yesu kwa kinywa chako na kuamini moyoni mwako kuwa ni Bwana na mwokozi wako.

Kwa sababu ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana na kuamini moyoni  mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka  kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu”. Warumi 10:9-10

 

Tunapokuwa tumeokoka tunakuwa tumezaliwa mara ya pili kiroho yaani mambo ya kale tunayaacha .

Yesu akajibu akamwambia amini amini nakwambia mtu asipozaliwa mara ya pili hawezi kuona ufalme wa Mungu”.  Yohana 3:3

 

Ahimidiwe Mungu Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo ambaye kwa rehema zake nyingialituzaa mara ya pili ili tupate tumaini lenye uzima kwa kufufuka kwake Yesu katika wafu tupate na urithi  usioharibika usio na uchafu, usionyauka uliotunzwa mbinguni kwa ajili yenu”1petro 1:3-4

Hivyo basi baada ya kuokoka tunapata uzima wa milele ambao Yesu Kristo ametuandalia huko mbinguni, na tunakuwa tunalindwa na nguvu za Mungu hapa duniani kwa njia ya imani.

Nanyi mnalindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya imani hata mpate wokovu uliotayari kufunuliwa wakati wa mwisho “1Petro 1:5

 

WOKOVU

Wokovu ni mpango wa Mungu kumtafuta mwanadamu alie potea kupitia dini, Roho Mtakatifu na watumishi wake. Kwahiyo njia ya wokovu ni Yesu Kristo

“Yesu akamwambi mimi ni njia ya kweli na uzima mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi” Yohana 14:6.

Wokovu tulio nao ni wa muhimu sana tunatakiwa kuulinda kwa nguvu zetu zote maana ni kwa ajili ya roho zetu, inapaswa  tumpende Yesu hata kama hatumuoni kimwili lakini kiroho yupo pamoja na sisi.

Naye mwampenda ijapokuwa hamkuomwona ambaye ijapokuwa hamwoni sasa mnamwini na kufurahi sana kwa furaha isiyoneneka yenye utukufu katika kuupokea mwisho wa imani yenu yaani wokovu wa roho zenu”1Petro 1:8-9.

 

Tunapokuwa  ndani ya wokovu hatutakiwi tena kujifananisha na tamaa zetu za kwanza za ujinga. Tunapaswa kuyashika na kuyatii yale anayotaka Yesu Kristo ndiyo tuishi nayo.

Kama watoto wakutii msijifananishe na tamaa zenu za kwanza za ujinga wenu bali kama yeye alie waita alivyo mtakatifu ninyi iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote, kwa maana imeandikwa mtakuwa watakatifu kwa kuwa mimi ni mtakatifu “1Petro:14-16

 

Tuliokolewa si kwa vitu viharibikavyo, Yesu Kristo alikufa kwa ajili yetu kwa aibu ili sisi tupate thamani kubwa ya maisha yetu ya sasa na yabaadaye, maana alitutoa kwenye mwenendo usiofaa.

Nanyi mfahamu kwamba mlikombolewa si kwa vitu viharibikavyo kwa fedha au dhahabu mpate kufika katika mwenendo wenu usiofaa mlioupokea kwa baba zenu bali kwa damu ya thamani kama ya mwanakondoo asiye na ila,asiye na waa yaani ya Kristo “1Petro 1:18-19

Tunapo okoka tunapaswa kuwa vielelezo kwa watu wengine (yaani ndugu,marafiki,majirani na jamii kwa ujumla ). Kama tukiwa na matendo mazuri mbele za watu,  hata wewe mwenyewe binafsi, hapo Mungu anatukuzwa kupitia wewe ulieokoka, wewe ni alama ya Yesu Kristo hapa duniani.

 

Wapenzi nawasihi kama wapitaji na wasafiri ziepukeni tamaa za mwili zipinganazo na roho mwe na mwenendo mzuri kati ya mataifa ili iwapo huwasingizia kuwa watenda mabaya wayatazamapo matendo yenu mazuri wamtukuze Mungu siku ya kujiliwa “1Petro 2:11-12 hata nabii Isaya anasisitiza hilo.

“Jiosheni jitakaseni ondoeni uovu wa matendo yenu usiwe mbele za macho yangu, acheni kutenda mabaya” Isaya 1:16

Mungu siku zote anatuwazia mema na hataki mtu yeyote apotee kwenye Jehanamu ya moto, yeye ni mwenye huruma anataka tusogee mbele zake na tusemezane naye kuhusu dhambi zetu tulizo zitenda kwa kujua au kwakuto kujua tunazozifahamu na tusizozifahamu anatutaka tuwe watii kwenye kutubu dhambi zetu.

 

“Haya njooni tusezane asema BWANA, dhambi zenu zipojapokuwa nyekundu sana zitakuwa nyeupe kama theluji, zijapokuwa nyekundu kama bendera zinakuwa nyeupe kama sufu kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi, bali kama mkikataa na kuasi mtaangamizwa kwa upanga, maana kinywa cha BWANA kimenena haya” Isaya 1;18-20

Tunapo tubu dhambi zetu mbele za Mungu kwanza anatusamehe maovu yetu, pili anatuponya  magonjwa yetu, tatu anatukomboa uhai wetu na kaburi, nne anatuvika taji ya fadhili na rehema, tano aushihisha mema uzee wako na sita aurejesha ujana wako.


 

“Akusamehe maovu yako yote,akuponya magonjwa yako yote, aukomboa uhai wako na kabuli akutia taji ya fadhili na rehema, aushibisha mema uzee wako, ujana wako ukarejezwa kama tai “Zaburi 103:3-5.

 

Hapo Mungu alikuwa na maana hii;

a)     Akusamehe maovu  yako yote

Kabla ya kuokoka ulikuwa unaishi maisha ya dhambi, ambayo yalikuwa hayampendezi Yesu anakuwa amekusamehe yale maovu yako yote uliyokuwa unayatenda, hivyo unakuwa mpya mbele za Mungu.

b)    Akuponya magonjwa yako yote.

Mungu akisha kusamehe anaanza kushugulika na afya yako maana umefungua moyo wako kwake, na kama ulikuwa na magonjwa ataanza kukuponya.

c)     Aukomboa uhai wako na kaburi.

Kama ulitakiwa kufa basi hapo Mungu anakomboa uhai wako, kutoka kwenye mauti na kukuingiza uzimani tena.

d)    Akutia taji ya fadhili na rehema.

Hapa Yesu Kristo anakuangalia upya tena kwa huruma zake na kukuhurumia.

e)     Aushibishe mema uzee wako.

Mungu  kwa vile yeye ni mwema na mwaminifu uzee wako anaushibisha mema (yaani anakupa mambo mazuri wakati wa uzee wako)


 

f)      Ujana wako ukarejezwa kama tai.

Yale mambo uliotakiwa yakupate mazuri wakati wa ujana wako na sasa yamepotea huna tena zile Baraka za ujana, Yesu Kristo anakwenda kukurejeshea tena kwa nguvu ya ukombozi kwa jina la Yesu halelujaah.

Yesu Kristo akishakusamehe dhambi zako hazikumbuki tena na anaziweka mbali nasi

Kama mashariki ilivyo mbali na magharibi, ndivyo alivyoziweka mbali dhambi zetu mbali nasi” Zaburi 103:12

“Mimi naam mimi ndimi nifutaye makosa yako kwa ajili yangu mwenyewe wala sitazikumbuka dhambi zako” Isaya 43:25

“Nimeyafuta makosa yako kama wingu zito na dhambi zako kama wingu unirudie maana nimekukomboa “ Isaya44:22

 

ALIZICHUKUA DHAMBI ZETU

Yesu Kristo alikuja hapa duniani kwa ajili ya kuja kuchukua maovu yetu ili atengeneze upatanishi kati ya wanadamu na Mungu Baba.

Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi tuwe hai kwa mambo ya haki na kwa kupigwa kwake mliponywakwa maana mlikuwa mnapotea kama kondoo lakini sa mmerudia mchungaji na mwangalizi wa roho zenu. 1Petro 2:24-25.

 

Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu alichubuliwa kwa maovu yetu sababu ya amani yetu ilikuwa juu yake na kwa kupigwa kwake sisi tumepona”. Isaya 53:5.

Yesu Kristo alijeruhiwa kwa ajili ya makosa yetu , maovu na adhabu zetu alizibeba yeye mwenyewe ili sisi tupone, ni jambo la thamani mno alilolifanya Yesu Kristo kwetu ili sisi tupone .

 

Yesu kristo alipigwa, alitemewa mate ili mimi na wewe tupone.

“Wengine wakaanza kumtemea mate wakamfunika uso na kumpiga mkonde na kumwambia tabiri hata watumishi nao wakampiga makofi.”Marko 14:65.

Yesu Kristo alivishwa taji la miiba kichwani.

Wakamvika vazi la rangi ya zambarau wakasokota taji ya miiba wakamtia kichwani.” Marko 15:17.

Yote hayo aliyavumilia ili watu waokolewe  kutoka kwenye dhambi.

 

Yesu Kristo alivuliwa nguo kwa ajili yetu.

        “wakavua nguo wakamvika vazi jekundu

          Mathayo    27:28.

Yesu Kristo alidhihakiwa kwa ajili yetu .

walipokwisha kumthihaki wakalivua lile vazi wakamvika mavazi yake wakamchukua kumsulubisha.” Mathayo 27:31


Walipokwisha kumthihaki waligawa mavazi yake wakapiga kura ili litimie neno lililo nenwa na nabii waligawa nguo zangu kati yao na juu ya vazi langu walipiga kura” Mathayo 27:35

Yesu Kristo alipewa nyongo kwa ajili yetu.

“Wakampa kunywa divai iliyochanganyika na nyongo lakini yeye alipoionja hakutaka kunywa.”

 

Mathayo 27:34 “mara mmoja wao                                                                                                                                                                                                                                                                akaenda mbio akatoa sifongo akaijaza siki akaitia juu ya mwanzi akamnywesha”   Mathayo 27:48.

 

Yesu Kristo alichomwa mkuki ubavuni kwa ajili yetu.

 

lakini askari mmojawapo alimchoma ubavu kwa mkuki na mara ikatoka damu na maji” Yohana 19:3, damu na maji yaliyokuwa yakitoka ubavuni mwake, moja moyo wake ulikuwa umepasuka kwa sababu ya mkuki huo.

Hivyo Yesu Kristo aliteswa katika mwili wake na mateso yote aliofanyiwa ili sisi tuokolewe na dhambi ya moto tuliotakiwa, tuliostahili lakini yeye  “aliyachukua maovu yetu” Kama yeye alifanya hivyo kwa ajili yetu basi nasi hatuna budi tuendelee kumtumkia yeye na kuziacha tamaa mbaya za dunia hii kama wafanyavyo mataifa, maadamu tumemkiri yeye tundelee kuwa naye siku zote za maisha yetu.

  

“Basi kwa kuwa Kristo aliteswa katika mwili wake, ninyi nanyi jivikeni silaha ileile kwa maana yeye aliyeteswa  katika mwili ameachana na dhambi. Tangu sasa msiendelee kuishi katika tama  za mwanadamu, bali katika mapenzi ya Mungu wakati wetu wa kuaa hapa dunian. Maana wakati wa maisha yetu uliopita watosha kwa kutenda mapenzi ya mataifa kuenenda katika ufisadi na tama na ulevi na karamu za ulafi na vileo na idadi ya sanamu isiyo halali. Mambo ambayo wao huna kuwa ni ajabu ya ninyi kutokwenda mbio pamoja nao katika ufisadi uleule usio na kiasi, 

Thursday, February 3, 2022

BADILI MUONEKANO WA BLOG YAKO KWA KUWEKA TEMPLATE MPYA

 Kikawaida watu wengi wanaangaika Sana na hawajui JINSI ya kuweka Template lakini usiwe na wasi wasi leo jibu umelipata na moja kwa moja nitakufahamisha.lakini hapa sizungumzii Template za kawaida Bali nazungumzia zile ambazo umezidownload au kuzinunua na Sasa hapo unashindwa JINSI ya kuibadilisha ileile Kwanza na kuweka MPYA. 

Ifungue blog YAKO Kama siku zote unavyofanya yaani kwa kuisaini-email na password.Nenda upande wa kushoto wa blog YAKO utakutana na vimistari vitatu,bofya hapo.Tafuta sehemu iliyoandikwa Theme ukishaiona bonyeza hapo then tafuta neno lililoandikwa restore,bon bony happy.Tafuta neno lililoandikwa upload, bonyeza hapo.Tafuta file la Template uliyoidownload,bofya hapo ikimamalizika ku upload utakuwa umefanikisha zoezi Zima kwa urahisi kabisa

JINSI YA KUIFUFA BLOG YAKO

 Watu wengi wanajiuliza nitawezaje kuifuta blog yangu? Inawezekana kutokana na sababu mbalimbali ulizoziona wewe.Kuna vitu mbalimbali vilivyoousababishia mpaka kuitaka kuifuta blog YAKO, inawezekana ikisearch kwenye Google watu hawaioni,huioni.Nina maanisha haitokei na sababu nyinginezo.Sasa usiwe na wasi wasi jibu umelipata,na pia kumbuka unapotengeneza blog YAKO no vyema ukatafuta jina la pekee-unique,happy itakuwa rahisi kuonekana  mfano:Blo B yangu hii ya Dalusofa hakuna jina Kama hili duniani kote isipokuwa NI mimi nililolibuno.Kwahiyounapaswa kutulia kidogo na kuwa mbunifu,siku zote unapotengeneza blog YAKO ijalibu baada ya wiki moja.Je ,jina la blog YAKO linatokea? Kama hakuna badilisha jina Hilo.Naona mpaka happy umenielewa,Sasa nisipoteze muda naona unashauku Sana ya kujua JINSI ya kuifuta blog YAKO. 

1.Nenda kwenye Google search andika blogger.com 

2.Sign in,zile taarifa zako ulizofungua blog YAKO yaani email na password 

3.Ikifunguka blog YAKO ,nenda sehemu yenye vialama vitatu upa de wa kushoto,bonyeza happy,utakutana na create post,Sasa wewe itafute setting bonyeza hapo

4.Ikifunguka shuka pole pole  mpaka kwenye neno remove your blog bonyeza hapo  fuata maelekezo utakuwa umemaliza.Kama ujaelewa niulize kwenye email yangu-tuma ujumbe.Asante

Wednesday, February 2, 2022

MAOMBI YA KUJIKOMBOA ROHO YAKO

 Baba Mungu katika jina la Yesu.Naikomboa roho yangu mahala popote ilipo,kwa jina la Yesu.Ewe roho yangu mahali popote ulipo nakuita uje kwangu NDANI ya MWILI wangu kwa jina la Yesu.Roho yangu Kila sehemu iliposhikwa wakuachie kwa jina la Yes.Roho yangu ilipowekwa shimoni nakutoa, ilipowekwa kaburini nakutoa huko kwa jina la Yes.Roho yangu ilipowekwa baharini,kwenye mito,maziwa nakutoa leo kwa jina la Yes,ulipo ilipo kuzimu nakutoa, ilipowekwa kwenye msitu Leo ninaiamuru itoke huko kwa jina la Yesu.Ninaachilia Moto was Roho Mtakatifu uende kwenye Kila Kila chungu kilichoweka roho yangu,Kila pori lililoweka roho yangu nalicho.a Moto kwa jina la Yes.Kila njama zinazowinda roho yangu nazihalibu kwa jina la Yes,Kila mtaabishaji was Roho yangu teketea

MTU WA NDANI

 MTU night Nani?

MTU ni roho mwenye nafsi na inayokaa NDANI ya mwili.Ni roho anayekaa NDANI ya nyumba inayoitwa MWILI

"Mungu was amani mwenyewe awatakase kabisa,nanyi nafsi zenu na roho zenu na miili yenu mhifadhiwe mwe kamili bill lawama wakati was kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo".1Wathesalonike 5:23

Tunaona hapa Kuna mambo matatu

I.Roho(spirit)

I I.Nafsi(soul)

II.Mwili(body)

ROHO NI NINI?

ROHO NI I'll sehemu ya MTU yenye ufahamu was Mungu ambayo hufanywa hai na kupewa nguvu na Roho was Mungu,mfano MAOMBI,kumpokea Roho Mtakatifu,Vita vya kiroho,ndoto na mambo mengine.

"Roho ndiyo itiayo uzima,MWILI haufai kitu,maneno hayo niliyowaambia ni roho  tena ni uzima".Yohana 6:63

"Maana Kama vile MWILI pasipo roho umekufa,vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa".Yakobo 2:26

"Nayo mavumbi kuirudia nchi Kama yalivyokuwa nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa".Mhubiri 12:7


Monday, January 31, 2022

ENGLISH TEST STD VII

 

TUNDUMA TOWN COUNCIL

UHURU  PRMARY  SCHOOL

ENGLISH  MOUNTHLY  TEST - STD VII  2021


1.     He doesn’t ……………… some  juice  a).drinks    b).drunks    c). drink   d).drinking

2.     Did  Asha  ………………… to school yesterday  a).went    b) gone  c).goes   d).going

3.     Anna  and Amina  have  ………………..the examination  well   a).done  b).do  c).doing  d). did

4.     Did  his  father……………………….the exercise book    for  him   a).buy   b).buying   c).buys  d).sold

5.     How ……………. Money  do you  need  to buy a bus  a).much  b). many   c).amount  d).some

6.     The  women  ………………….. their  babies now  a).is  feeding   b).feed  c).are  feeding  d).feeds

7.     My  mom always  ……………….. some  milks  a).likes  b).liked  c)use to like d).eats

8.     She  had  already …………………. To go  to university of  mzumbe  to  study  law   a).decide  b).decided   c).decides  d).deciding

9.     We  were  studying, while hemi …………….. the  school  compound   a).is  sweeping  b).was  sweeping  c)sweep  d).sweeps

10. Not  only  Aisha ……………… Amina  has  failed  the exams.   a).both  b). so  c).but  also  d).and

11. The  children are  playing ……………. The  road   a).under  b) beside  c).along   d).behind

12. ………………… it was  raining  heavily , he went to school  a). although   b).unless  c).if  d) either

13. She  looked …………….in  the  mirror a).himself  b).herself   c).theirself   d)themselves

14. ………………. Kigoma …………… mbeya  are in Tanzania.  a).either …..or  b).all…of   c).neither ………… nor   d). both …………. And

15. …………….it  does not rain the  plant will  die  a) unless  b).when  c).although  d).if

16. Diamond platinum is a famous  musician……………..? a).isn’t it   b).is he  c).isn’t   he  d).is not

17. Idugu  bought  a ……… bicycle a).newly  b).more  new  c)knew  d) new

18. Juma  is  suffering ……………….malaria since last  week      a).to   b). off   c).from  d)since

19. Mayasa  is  very  good ……………..mathematics   a).at    b).in  c).with   d). to

20. Asha  is  the …………….. beautiful  girl in  the  class   a).most   b).the  most  c). the  more  d).less

21. We  are  going to ……………… a  national  song   a)sang  b).singing  c).sing  d). sings

22. The  plural of  the  word  “mouse” is ………………..  a).mouses   b).mousses  c).mice   d).mices

23. Our  leader told  us to make  sure  that  we  go home as  soon ………………possible   a).same   b).us  c). like  d).as

24. The  superative of the word  “active” is …………………

25. He  injured   himself …………….. a knife   a)with  b).by    c).on   d).and

26. They ……………….a new house  next  year    a).built  b).is  built   c).will build  d).are  built

27. He  looks ………………… younger since  he  come back from sudan   a).many   b).very    c).since   d).much

28. The  bicycle that Adam  ride is not ………………… a). their  b).himself  c).his self  d).his

29. Pupils had………….. to London   a).flew    b).flied  c).fly  d).flown

30. Those  days  most  parents hard  to  give their  children a good  life  a).works  b).foods  c).  work  d)working

VOCABULARY

For  each of the  following question , chose  the  correct answer and  write its letter .

31. He does  not eat  meat or  fish. He is a ………………..a).veteran    b).vegetarian   c)veterinary     d).vegetation 

32. Halima  like to  flies from one  country  to  another  country  for touring. So she  is ……………………

33. A  person  who knows  things without  being  taught by  teacher or  other  person is  called ………………………  a). clever   d).genius    c).jelous    d).general 

34. Orchid   rose, daisy and  hibiscus  can be  classified under ………………  a).beverages   b).food    c). florist  d).flowers

35. Amina’s    husband  has  been  dead  by  the  accident  that  took  place  at  kitonga  hills. So  Amina  is ………. a).widow  b).passanger    c)widower  d).a  dead  woman

36. A  person  who  works  at  hospital is  called   …………………. a).doctor  b).teacher  c).accountant   d).proacher  

 

 

Arrange   the following  sentences  in a correct order  use   A,  B,   C,  D.

37. She flies  all  over   Tanzania, and  sometimes  she  flies  out  side  Tanzania        too.

38. Dorothy  is a pilot who  works  for  air  Tanzania

39. Her  home  is  in dar  es  salaam  but  she  loves travelling  around  the  word

40. Sometimes  she  flies  large  planes  and sometimes  she  flies  small  planes

  

SECTION D: COMPREHENSION :  READ  AND ANSWER  THE QUESTIONS.

 

Parent  are  very  important people to our lives everybody must respect  his/her   parents. We would  not be  here if there were  no  parent  even  if our parent  have  passed away. We still have  to  remember  them  due  to  contribution  they  have  made  in our lives. You  want  be able  to  pay them  despite   that  you  are a  millionaire 

 

Questions .

41. Who  are  important  to  us?  a).teacher     b).parents   c).elders   d).pupils

42. Are  we  able  to pay  them  for  what they  have done  for us?   a).yes  b).no  c).ok    d).may  be

43. What  is  the title for this  passage ?  a).we   b).us   c).parents  d).relatives

44. Who  are millionaire

45. What  should ever body  do  to  parent


   

PATA MAHARIFA ZAIDI

 

THE PRESIDENT OFFICE REGIONAL ADMISTRATION AND LACAL GOVERNMENT

MWANGAZA TUTION CENTRE

PHYSICS WEEKLY TEST FORM ONE

INSTRUCTIONS  :

ANSWER ALL QUESTIONS

TIME 1:30 HOURS

SECTION A  MULTIPLE CHOICES

1.      Choose the correct letter of correct answer and write it to the box beside

i.                    The people who study physics are called………………….. a).pysicianists  b).physicists   c).physians   d)astronomy.

ii.                  Ascientific study of universe is called……………………… a).astronomy   b).astronologist    c).physics    d).telerography

iii.                One of the following is not feature of physics laboratory…………a).water supply system    b).drainage system   c). slippery floor  d).well illuminated

iv.                 The following are the causes of laboratory accident except   a).slippery floor   b).gas leakages   c).fire  d).correct use and handling of apparatus

v.                   Application of science refer to as…………  a).technology  b).scientifically   c).biological science  d).astronomy

 

2.      SECTION B

i.                    What is physics?....................................................................................

 

ii.                  List down five  ( 5) importance of studying physics

 

A ………………………………………………………………………………………………………

b. ……………………………………………………………………………………………………….

c. ……………………………………………………………………………………………………….

d. ………………………………………………………………………………………………………

e. ………………………………………………………………………………………………..

3.      List down five ( 5) causes of laboratory accidents

a.      ………………………………………………………………………………………………………………..

b.      ……………………………………………………………………………………………………………………..

c.       ……………………………………………………………………………………………………………………………

d.      ………………………………………………………………………………………………………………………………

e.      ………………………………………………………………………………………………………………………………..

4.      A)   Define the following terms

i.                    Physics………………………………………………………………………………………………

ii.                  Science……………………………………………………………………………………………

iii.                First aid…………………………………………………………………………………………

iv.                 First aid kit…………………………………………………………………………………………

     B).  List down five ( 5) importance of first aid

5.           A. what is laboratory?

     B. List down five ( 5 )laboratory rules.

 

 

      

THE PRESIDENT OFFICE REGIONAL ADMISTRATION AND LACAL GOVERNMENT

MWANGAZA TUTION CENTRE

ENGLISH WEEKLY TEST FORM ONE

INSTRUCTIONS  :

ANSWER ALL QUESTIONS

TIME 1:30 HOURS

SECTION A.TENSES AND GRAMMER

1.      Choose the correct answer between choices

i.                    Anania has ……………..a letter to her mother  a). wrote   b).written      c). writes   d). writing

ii.                  Juma is the………………..boy in the class   a). tall   b). tallest   c). taller   d).most tallest

iii.                They will not came on time …………….they use a bus   a). if   b). although  c). unless  d). and

iv.                 ……………….we cooperate together we will achieve our success  a).unless   b).and  c). inspite of  d).if

v.                   Pascal is…………………basic mathematic now in the class   a).teaches   b).teaching  c)teach  d). taught

2.      Fill the blanks with the suitable preposition identified below to each sentences

 

                      At,   on,   in,    of,    along,     opposite

 

i.                    The student comes early …………the morning

ii.                  He will come……………Thursday

iii.                A Post office is…………..to police station

iv.                 The pupils are walking……………the road

v.                   They came yesterday ………….2:00pm

vi.                 Sadamu produced six paper to mwandu stationary out …………..twenty

 

SECTION B

3.      a).  what is a dictionary…………………………………………………………………………………………………….

………………………………………………………………………………………………………………………………………

b).  mention five ( 5) importance of a dictionary

4.      a). what is synonyms?..........................................................................................................

…………………………………………………………………………………………………………………………………………

b). what are the synonyms word of the following

i.           angry………………………………………………………………………………………

ii.          clever……………………………………………………………………………………….

iii.                Silence………………………………………………………………………………………..

iv.                 Features…………………………………………………………………………………………

5.      a). what is antonyms?.....................................................................................................

…………………………………………………………………………………………………………………………………………

b). what are the antonyms word of the following

i.            hate…………………………………………………………………………………………………..

ii.           ugly………………………. …………………………………………………………………………

iii.           slow………………………………………………………………………………………………

  iv.       strong……………………………………………………………………………………………….

v.                   friendly……………………………………………………………………………………………