Haya ni
mafundisho kwa wale Watumishi wa Mungu ambao wanahitaji kuhubiri,masomo haya
yanaweza kuwapa mwangaza katika kufikisha ujumbe,nimeandika kwa kifupi ila Roho
Mtakatifu atakufunulia mengi na kukupa mafunuo zaidi
ARDHI ILIYOLAANIWA
Mwanzo
3;17-19
Mwanzo
4:10-15
Ayubu 28:2-6
Isaya 34:19
SHERIA ISIYOBADILIKA
Sheria:Ni kanuni au amri zinazowekwa ili kulinda au kusimamia kitu Fulani
-
Kuna
sheria za kiroho
-
Kuna
sheria za kimwili
Sheria ya Mungu
Mwanzo 26:5
Kutoka 16:4
Walawi 19:37
Zaburi 1:2-3
Kama hakuna sheria hutaona kosa
Warumi 5:13
Esta 4:16
Esta 1:16-19
Daniel 6:7-9
KUHARIBU KINYWA CHA
LAANA
Laana ni mkusanyiko wa mambo mabaya yanayompata mtu
Zaburi 10:7-9
Hesabu 22:4-6,
Hesabu 22:12
,Hesabu 22:22,
Hesabu 23:1--------
IMETOSHA SASA
Imetosha ni kitendo cha kuamua kuchukua hatua au ni kitendo
cha kuchoka kutokana na hali Fulani,mfano;shetani anakutesa na matatizo Fulani kama
vile laana,umasikini,kuonewa n.k
Torati 1:6-7
Torati 1:8-9
Torati 2:1-3
Torati 32:30
Hesabu 33:1-3
Hesabu 33:5
Hesabu 33:37
Yoshua 23:10
KUVUKA MIPAKA YA
KIMATAIFA
Yoshua 1:3-4
1Nyakati 4:9-10
KUFUTA PICHA MBAYA
AKILINI MWAKO
Picha ni mtazamo ambao mtu anao kuhusiana na jambo Fulani mfano
ugonjwa
1Samweli 17:1-58
Hesabu 13:17----------
CHANZO NI NINI?
Chanzo ni mwanzo wa kitu au kianzilishi au ni kisababishi au
ni sababu.mfano umasikini chanzo chake ni nini?
Mithali 1:7-9
Mithali 8:26
2Wafalme 2:19-22
HUMWINUA MNYONGE TOKA
MAVUMBINI
Mnyonge ni masikini,mtu asiyejiweza,hana mtetezi,mtu wa chini
hana maana
1Samweli 2:8
1Samweli 1:1
-Rama (msufi)
-nchi ya vilima vilima
-Penina & Hana
-Raheli
Danieli
6:1----------------
KUTAPIKA ULICHOLISHWA
Kulishwa ni
hali ya kula kitu kwa njia mbalimbali na kinapelekwa mpaka tumboni
Mfano:
1. Kupitia mdomoni
2. Kupitia masikioni (kile unachokisikia
kizuri au kibaya)
3. Kupitia macho
4. Kupitia puani
5. Kupitia kwenye ngozi n.k
Ufunuo
10:9-10
Danieli 1:1-22
Mwanzo 2:17
KUZIHARIBU PEMBE ZA GIZA
Pembe ni
mamlaka au ni kifaa ambacho kipo kwa wanyama Fulani
i.
Kifaa
hicho kinatumika sana na wachawi kama dira,inayowaelekeza kwa ajili ya kufanya
uharibifu kwa watu
ii.
Jamii
nyingi za Kiafrika wanazo na wanatumia
iii.
Vipembe
hivi vinawekwa kama zindika
Danieli
7:7-11
-
Samba
(anambawa)
-
Dubu
-
Chui
vichwa 4
-
Mnyama
mwenye kutisha
-
Bahari
ni ulimwengu
-
Zekaria
1:18